Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Messi alimuambia Suarez......

.Messi: Unajua Suarez Leo lazima unipe assist nyingi.....

.Suarez: kwanini Messi???

Messi: Mwanangu anataka ⚽ mpya nimemuahidi nikirudi nampa wa mechi hii ya valencia.

Suarez: Daaahh nami nimemuahidi mwanangu kuwa leo lazima nimpelekee ⚽ mpya sasa tunafanyaje???

Neymar: OK, Msijali Mimi nitawapa assist wote wawili na kila mmoja atampelekea mwanae ⚽.
Arda turan: Nami nitamsaidia neymar msijali.

Baada ya gemu
Wote:

Messi: bado nani mwanae anataka mpira?

Neymar: Mimi mwanangu anautaka ⚽ wa mechi ya Arsenal.
Timu nzima: Na sisi pia watoto wetu wanataka ⚽⚽⚽

Iniesta: sasa nawe kipa unautaka tena utawezaje kupiga Hattrick???

MSN: msijali kila mmoja siku hiyo ataondoka na ⚽ wake
Kocha: Ma mimi pia nautaka.
 
Messi alimuambia Suarez......

.Messi: Unajua Suarez Leo lazima unipe assist nyingi.....

.Suarez: kwanini Messi???

Messi: Mwanangu anataka ⚽ mpya nimemuahidi nikirudi nampa wa mechi hii ya valencia.

Suarez: Daaahh nami nimemuahidi mwanangu kuwa leo lazima nimpelekee ⚽ mpya sasa tunafanyaje???

Neymar: OK, Msijali Mimi nitawapa assist wote wawili na kila mmoja atampelekea mwanae ⚽.
Arda turan: Nami nitamsaidia neymar msijali.

Baada ya gemu
Wote:

Messi: bado nani mwanae anataka mpira?

Neymar: Mimi mwanangu anautaka ⚽ wa mechi ya Arsenal.
Timu nzima: Na sisi pia watoto wetu wanataka ⚽⚽⚽

Iniesta: sasa nawe kipa unautaka tena utawezaje kupiga Hattrick???

MSN: msijali kila mmoja siku hiyo ataondoka na ⚽ wake
Kocha: Ma mimi pia nautaka.
Vipi wewe hutaki kuondoka na mpira siku hiyo?
 
MSN this season:
Suarez 35 goals
Messi 24 goals
Neymar 21 goals

Assnail vs Barcelona in 19 days.

PRAY FOR ASSNAIL
Ndugu naomba ukubali tu kuwa unaigwaya Arsenal, naona washabiki wa timu zingine mnaisakama sana Arsenal, lazima inawamyima usingizi.
 
After 38 games in EPL 2015/2016
1. ARSENAL FC 80
2. MANCHESTER CITY 76
3. LEICESTER CITY 74
4. MANCHESTER UNITED 70
5. TOTTENHAM HOTSPURS. 69
6. LIVERPOOL FC. 68
7. The rest........

This is for the record after the 2015/2016 season ends.
 
Ndugu naomba ukubali tu kuwa unaigwaya Arsenal, naona washabiki wa timu zingine mnaisakama sana Arsenal, lazima inawamyima usingizi.
Hahahaaaa niogope kwann kaka? Mkuu hebu tuwe wakweli aisee, kwa kipi zaidi kitakachofanywa na assnail kuweza kumtoa barca?
 
After 38 games in EPL 2015/2016
1. ARSENAL FC 80
2. MANCHESTER CITY 76
3. LEICESTER CITY 74
4. MANCHESTER UNITED 70
5. TOTTENHAM HOTSPURS. 69
6. LIVERPOOL FC. 68
7. The rest........

This is for the record after the 2015/2016 season ends.
Hahahah mkuu huu utabiri nategemea utatimia
 
Bournemouth VS Arsenal

bournemouth_arsena_3569372b.jpg


Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal Benik Afobe atakabiliana na boss.
 
Arsenal leo wapo mjini Bournemouth moja ya miji ya pwani uliopo pembezoni mwa bahari kusini mwa England kwenye uwanja wa Vitality.

Team News.

Bournemouth: Boruc; Smith, Francis, Cook, Daniels, Surman, Gosling, Artur, Ritchie, Pugh na mbele kuna Benik Afobe

Arsenal wamefanya mabadiliko kwa kuanza na Alex Oxlade Chamberlain badala ya Joel Campbell.

Hivyo timu ni kama ifuatavyo:

Cech; Bellerin, Gabriel, Koscielny, Monreal; Flamini, Ramsey, Alexis, Ozil, Oxlade-Chamberlain na mbele ni Olivier Giroud.

Mwamuzi wa mchezo huu anaitwa Kevin Friend na anatoka mji wa Leicester.
 
ozil_3569646b.jpg


Mathieu Flamini na Mesut Ozil wakielezea ushirikiano wao uwanjani kwenye mahojiano na Sky Sports.

Lakini ni ushirikiano kati ya Flamini na Aaron Ramsey ndio muhimu zaidi.
 
Mpira umeanza na Arsenal hawawezi kukubali kushindwa game hili.
 
Dakika inakwenda ya 6 na goli ni 0-0

Arsenal wanajaribu kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa na Bournemouth hasa Gosling wanawachunga Sanchez, na Ozil.
 
Back
Top Bottom