Mechi ya muhimu kushinda hii
Matokeo ya mpira.Hahahaaaa niogope kwann kaka? Mkuu hebu tuwe wakweli aisee, kwa kipi zaidi kitakachofanywa na assnail kuweza kumtoa barca?
Campbell nje oxlade ndani...! Mda mwingine kama Wenger sijui waga anapenda arsenal isishinde.
Gap la magoli ni kubwa inatakiwa game ya leo wakomae wapunguze aseeeeeArsenal lazima ijaribu kupunguza tofauti ya magoli na Tottenham ambayo mpaka sasa Tottenham wanatuzidi magoli 9
Gap kubwa sana hii ya magoli, inabidi kupunguza kwa mechi hiiArsenal lazima ijaribu kupunguza tofauti ya magoli na Tottenham ambayo mpaka sasa Tottenham wanatuzidi magoli 9