rubaman nilikuambia lakini
Weee! Umenichekesha sana.paulista hajui kingereza hivyo ni vigumu kuwasiliana na timu yake walcott hakuanza maana wenger alihofia mashambulizi kwani welbeck ni mkabaji mzuri na ana ubavu, ila alitakiwa kuingia mapema baada ya monaco kutoshambulia sana, pia bellerin ni kinda mahir sana chamberlain ndo kwanza katoka majeruhi asingeweza kuanza tatizo limekuja baada ya kukosekana kiungo imara wakusumbua beki zao na kupiga mashut golin kwao nae huyu ni Ozil aliyecheza 10 badala ya carzola na rosicky alitakiwa kuanza nafas aliyo kuwa anacheza carzola.
Leo ozil alitakiwa kuanza bench ama kupigwa sab mapema
aliyoyasema henry baada ya mechi ya man city ndo haya tumeyaona leo alisema juu ya carzola kucheza 10 na anavyoibeba timu naamini angecheza 10 hata mambo yangekuwa tofaut sana
Mi naona kabisa tukienda na kupata matokeo. Ni babu akubali vitu vichache kuvibadili ktk mfumo.
.......there's a way! Keep the faith bro.
Kama wao wameweza, sie kitatushinda nini?.....
Labda katika ulimwengu wa maajabu, there's no way we gonna come back from 3-1 to beat them 3-0 in France...No way!
Ahsante sana Mkuu inawezekana kabisa lakini kazi ngumu hasa ukitilia maanani hawa jamaa wamepata magoli matatu ya ugenini. Tunaweza kuwafunga goli tatu lakini wameshagundua ngome yetu ni uchochoro tu unakatiza tu je tukifunga hizo goli tatu tutaweza kuwazuia wasipate hata goli moja!? Maji marefu Mkuu ila inawezekana kuishangaza dunia ya wapenda soka.
Kama leo tungekua tunacheza na Barca au Bayern, jamaa wangecheza mpira wa kueleweka. Ni wazi kuwa jamaa walibweteka baada tu ya kuona kuwa tunacheza na Monaco, kwenye vichwa vyao walikua wanajua piga ua lazima washinde! Inawezekana kusonga mbele japo itakua ngumu sana if am being honest and realistic, tusubiri tuone.
The last team to advance to the QF after losing 2+ goals at home, was Ajax FC in 1969 😎😎😎
Duh mkuu umesahau hao Asernal kama sikosei ilikuwa 2004/2005 walipigwa 3 bila na Inter walivyoenda kule Inter akapigwa 5-1.
1969 Mbali sana.
Hii timu majanga...yaani mpira tucheze sisi na kumiliki sisi alafu tunafungwa sisi. Inasikitisha sana
Arsenal hawana historia ya kubadili matokeo ya kiwango hicho. Ingekuwa chelsea tungesema tusubiri tuone. Lakini kwa Arsenal ndo imetoka hiyo! Waendelee tu kufukuzia malengo yao ya kila mwaka ya kubakia top 4.
Target yao ni hii kwa msimu: kuhakikisha katika EPL wanashika nafasi ya 4 ili waingie kwenye UCL, halafu waishie round ya mtoano ili warudi EPL na kupata muda wa kupigania nafasi ya 4 ili waingie UCL, halafu waishie round ya mtoano ili warudi EPL na kupata muda wa kupigania nafasi ya 4 ili......... endeleza mwenyewe
Ningeshangaa kuona ngoma ya watoto inakesha leo!!!!! Acha wagongwe ili waelekeze nguvu zao kupigania top 4....,.....ha ha ha ha ha ha