MillionHairs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 803
- 406
Mwenzenu nimechanganyikiwa...siamini ninachokishuhudia hapa
Na goons wakipaniki tu, wanakula goli za kutosha 😂😂😂😂
Kwaakili zenu mna fikiri Asernal ni timu iliyojiandaa kucheza mashindano haya
kipindi cha pili profesa atakuja na sub za maana aseno mtashinda 4-1
Mwenzenu nimechanganyikiwa...siamini ninachokishuhudia hapa
Wee acha tu...nilikuwa nakula Jackerz hapa huku nikiwa nimejilaza kwenye sofa lakini baada ya kufungwa lile goli zile Jackerz nimezitupa na hapa naona nyota nyota tu
kwahiyo sisi wa uwongo?acha hizo
Don't panic mate. We'll turn the tables...!
Ila usije ukavaa kamba kama wafanyavyo mashabiki wa Arsenal wa kule Kenya pindi arsenal inapopata matokeo mabovu.
babatoooovu! ndio basi tena. la kuvunda halina ubani...na mdharau mwiba mguu huota tende. mnajifanya barcelona kushambulia hadi akina gibsi wanaingia kwenye boksi, cha moto mmekiona.
Ndivyo wanavyojiita