Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mtazamo wangu: Naona kabisa combination ya ozil, welbeck, giroud pale mbele haina consistence. Alafu wenger kumtia cazorla km mido badala ya 10 nayo inaleta mushkeli kidogo.
 
Mtazamo wangu: Naona kabisa combination ya ozil, welbeck, giroud pale mbele haina consistence. Alafu wenger kumtia cazorla km mido badala ya 10 nayo inaleta mushkeli kidogo.

No!!? Kwa ufupi timu (Arsenal) inacheza vizuri...sema finishing yetu haijatulia...tusubiri kipindi cha pili
 
Everybody thought it was a dream draw for aseno but it is slowly turning to be a nightmare!
 
Mtazamo wangu: Naona kabisa combination ya ozil, welbeck, giroud pale mbele haina consistence. Alafu wenger kumtia cazorla km mido badala ya 10 nayo inaleta mushkeli kidogo.

Mkuu Shefwaa Ulishawahi kuwa hata kocha wa timu za mtaani kwenu!!!!
 
hv aseno mchezaji kama huyu gibsi mlimtoa wapi? wachezaji wenu hawa wa mafungu watawagharimu sana.
 
babatoooovu! ndio basi tena. la kuvunda halina ubani...na mdharau mwiba mguu huota tende. mnajifanya barcelona kushambulia hadi akina gibsi wanaingia kwenye boksi, cha moto mmekiona.
 
Back
Top Bottom