Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

First I'm not Arsenal fun BUT….

Personally I respect Wenga so much as a great manager, but signing these two flop (waste) defenders Sylvester and recently Sol….

Sol and Sylvester are old and they don't have quality to help gunners archive high goals - Jana Sol linapitwa na madogo – Ile ni mizigo.

Uamuzi wako wenga kwa mara ya pili si sahihi.
 
.....kina Peasant, Masa.......naona magego yote nje........!

...ha ha, acha tu...kelele zao miiiiingi lakini hatimaye walikwenda kulala.
Anyway, dirisha dogo la usajili bado li wazi.

AW alimtaka sana Ryan Babel kabla hajakwenda Liverpool. Baada ya 'kuchezea' benchi mfululizo kule kiasi cha kutosha, sasa ugomvi wake na Rafa Benitez umefikia kiwango anatakiwa kuuzwa kinguvu kwa Arsenal... http://www.goal.com/en-india/news/2...nager-rafael-benitez-will-offer-ryan-babel-to

Mnaonaje washika bunduki wenzangu? anatufaa huyu dogo au ni punda kwenye 'fuko la rambo?'
 
...ha ha, acha tu...kelele zao miiiiingi lakini hatimaye walikwenda kulala.
Anyway, dirisha dogo la usajili bado li wazi.

AW alimtaka sana Ryan Babel kabla hajakwenda Liverpool. Baada ya 'kuchezea' benchi mfululizo kule kiasi cha kutosha, sasa ugomvi wake na Rafa Benitez umefikia kiwango anatakiwa kuuzwa kinguvu kwa Arsenal... http://www.goal.com/en-india/news/2...nager-rafael-benitez-will-offer-ryan-babel-to

Mnaonaje washika bunduki wenzangu? anatufaa huyu dogo au ni punda kwenye 'fuko la rambo?'

Anafaa sana huyu..AW asicheze mbali sasa
 
ARSENE WENGER insists he is to blame for Arsenal crashing out of the FA Cup at Stoke.

The boss gave a second debut to Sol Campbell but kept Andrey Arshavin and Eduardo on the bench and left out William Gallas.
Wenger said: "If you win, it's OK. If you don't, it's your fault. I have to stand up for it.

"I've got no regrets about the selection.
"I didn't have much choice as - apart from Gallas - Sagna, Vermaelen and Clichy could not play.
"They will be back for Aston Villa in midweek and might have missed that if they'd played against Stoke - apart from Gallas.
"If you look at our schedule, you can't always play the same eleven."
The Gunners went down to two goals from Ricardo Fuller and one from Dean Whitehead.
Wenger added: "We have 10 injuries and we're going into a period where we cannot rotate very well. I knew it would be tight but I had more hope that putting the three players on near the end would give us more chance of winning the game. It was a risk.
"Some of the players were a bit too young to face a physical fight. It was always important we could cope with a physical game."
Stoke boss Tony Pulis said: "We knew, irrespective of the players he selected, they're a quality team.
"Have we got the Indian sign over them? I hope so because we've got to play them again in the league!"

Source: The Sun

 
...ha ha, acha tu...kelele zao miiiiingi lakini hatimaye walikwenda kulala.
Anyway, dirisha dogo la usajili bado li wazi.

AW alimtaka sana Ryan Babel kabla hajakwenda Liverpool. Baada ya 'kuchezea' benchi mfululizo kule kiasi cha kutosha, sasa ugomvi wake na Rafa Benitez umefikia kiwango anatakiwa kuuzwa kinguvu kwa Arsenal... http://www.goal.com/en-india/news/2...nager-rafael-benitez-will-offer-ryan-babel-to

Mnaonaje washika bunduki wenzangu? anatufaa huyu dogo au ni punda kwenye 'fuko la rambo?'


I love fat Arse fans always use kind of excuse, "We didn't really want to win it".

Arse 3 Stoke 1
 
It was predicted Arsenal would have been out of the top 4 this season, many have been suprised to see us as title contenders.

Ya jana was ajali kazini vijana must prove their potential on wednesday and bury yesterday's disappointment.

These Chelsea, Man Utd, etc fans cant swallow their words they said about us b4 the start of the season now they count every fall out we get.
 
...ha ha, acha tu...kelele zao miiiiingi lakini hatimaye walikwenda kulala.
Anyway, dirisha dogo la usajili bado li wazi.

AW alimtaka sana Ryan Babel kabla hajakwenda Liverpool. Baada ya 'kuchezea' benchi mfululizo kule kiasi cha kutosha, sasa ugomvi wake na Rafa Benitez umefikia kiwango anatakiwa kuuzwa kinguvu kwa Arsenal... http://www.goal.com/en-india/news/2...nager-rafael-benitez-will-offer-ryan-babel-to

Mnaonaje washika bunduki wenzangu? anatufaa huyu dogo au ni punda kwenye 'fuko la rambo?'
dogo anatufaa sana na nitafurahi kuwa na mchezaji aggresive kama yeye pale mbele manake watu mayai sana pale.kama ni kweli hizi habari ni good news sana kwetu wakuu.
 
ARSENE WENGER insists he is to blame for Arsenal crashing out of the FA Cup at Stoke.

The boss gave a second debut to Sol Campbell but kept Andrey Arshavin and Eduardo on the bench and left out William Gallas.
Wenger said: "If you win, it's OK. If you don't, it's your fault. I have to stand up for it.

"I've got no regrets about the selection.
"I didn't have much choice as - apart from Gallas - Sagna, Vermaelen and Clichy could not play.
"They will be back for Aston Villa in midweek and might have missed that if they'd played against Stoke - apart from Gallas.
"If you look at our schedule, you can't always play the same eleven."
The Gunners went down to two goals from Ricardo Fuller and one from Dean Whitehead.
Wenger added: "We have 10 injuries and we're going into a period where we cannot rotate very well. I knew it would be tight but I had more hope that putting the three players on near the end would give us more chance of winning the game. It was a risk.
"Some of the players were a bit too young to face a physical fight. It was always important we could cope with a physical game."
Stoke boss Tony Pulis said: "We knew, irrespective of the players he selected, they're a quality team.
"Have we got the Indian sign over them? I hope so because we've got to play them again in the league!"


Source: The Sun



inama masanilo hizo reasons alizotumia wenger inama kwako hazi make sense? au ndio pombe zako kama kawaida lol?
 
wenger-splash_973108a.jpg


 
inama masanilo hizo reasons alizotumia wenger inama kwako hazi make sense? au ndio pombe zako kama kawaida lol?

Lets go for drinks after a game with Aston Villa regardless of match outcome.....teh teh teh teh
 
...Nicklas Bendtner anarudi uwanjani Jumatano hii (Arsenal Vs Villa), hopefully ile 'partnership' yake na Eduardo itaendelea kuwa tishio!
 
...Nicklas Bendtner anarudi uwanjani Jumatano hii (Arsenal Vs Villa), hopefully ile 'partnership' yake na Eduardo itaendelea kuwa tishio!

Bundi kesho anaanza kuwalilia teh teh teh teh
 
...Nicklas Bendtner anarudi uwanjani Jumatano hii (Arsenal Vs Villa), hopefully ile 'partnership' yake na Eduardo itaendelea kuwa tishio!
mechi ya kesho kwangu mie kama fainali,nataka kuitumia kuona reaction ya wachezaji wetu baada kujua kwamba wako out of fa cup already.je watakaza buti zaidi au style ndio hile hile show game mpaka goli liingie? kama tukiweza kuona wanajituma 100% basi tutegee mambo mazuri mechi zijazo lakini kama watacheza utasema wao ni mabingwa tayari i will be sad to say the season is over for us.
 
mechi ya kesho kwangu mie kama fainali,nataka kuitumia kuona reaction ya wachezaji wetu baada kujua kwamba wako out of fa cup already.je watakaza buti zaidi au style ndio hile hile show game mpaka goli liingie? kama tukiweza kuona wanajituma 100% basi tutegee mambo mazuri mechi zijazo lakini kama watacheza utasema wao ni mabingwa tayari i will be sad to say the season is over for us.


Natumaini Vijana watatutoa kimasomaso Kesho...
 
Re: Jay Z na Osama bin Laden ni mashabiki wa Arsenal FC
KAMA LINKI INAVYOONYESHA HAPO CHINI RAPA MAARUFU WA MAREKANI JAY Z AMBAYE ALIWAHI KUJA TANZANIA KIPINDI FULANI PAMOJA NA KIONGOZI WA AL QAEDA OSAMA BIN LADEN NI MASHABIKI WA ARSENAL FC
KUMBE MPIRA NI KIUNGANISHI CHA JAMII ZA AINA ZOTE.
PENDEKEZO LANGU NI BORA WAMAREKANI WAMTUMIE WENGER NA KIKOSI CHAKE KUSULUHISHA UGOMVI WAO NA OSAMA WAKAACHA MBINU YA VITA.

http://goal.com/en-us/news/85/england/2010/01/25/1761003/rapper-jay-z-i-support-arsenal


Subiri siku wajilipue ndio utajua!....lol😉 In Osama they (Arsenal) trust!🙂
 
Back
Top Bottom