MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 188
Worry not, its about time.
yes..it's a draw!!
Worry not, its about time.
..."@%#$* kabisa!!!,...😡
he he..na bado, presha tuu!!!Pole mwaya
Fat Arse wazembe mechi ilikuwa washinde ......hamtoki na Man utd!
BJ hulali? Cheku check PM zako
Oh Masa!
Ndo nakaribia, tena na ushindi wa man ure juu basi ni raha tu..Powa will check ASAP!
So far matokeo ni 3-3 on aggregate🙂🙂🙂
aaaaaaaaaaaargh..yaani namalizia kuandika hii na Rooney naye anafanya mambo...Pole yao Man City
..."@%#$* kabisa!!!,...😡
Safi sana Rooney!..du, poleni kamanda mana leo ndo hivyo tena arsenal!
Hongereni sana...Ila mhhhh ratiba yetu ilivyokaa mpaka inasikitisha
Jumapili 31/01 Man Utd
Kisha 07/02 yafuata Chelsea
Halafu 10/02 wanafuata Liverpool
Sema iko pouwa tu maana tunamalizana na hawa wakulu mapemaaa kupunguza presha
...halafu Vermaelen naye nje mpaka mwisho wa msimu. Kesho watathibitisha 🙁