Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

While Arsenal are ready to take on Aston Villa away at Villa Park Acheni lote is fearfull of Arsenal "We have to keep pace with Arsenal and United because I believe there will be a sprint finish to the final game."

Game on now.
 
Malouda anaifungia Arsenal goli la kwanza....sorry Chelsea 1 Birmigham 0 dak ya 10
 
Kikojozi naona hutulii kwenye jukwaa lenu

Fabregas hit the woodwork

HT
 
Campbell kumbe bado yumo..kacheza vizuri kwa muda mfupi alioingia...Tumezidiwa kimtindo 1st half,kama tunaogopaogopa kushambulia vile
 
Mkuu tunaangalia mechi tofauti Campbell is a rubbish and will remain that! teh teh teh teh
 
Mkuu tunaangalia mechi tofauti Campbell is a rubbish and will remain that! teh teh teh teh

Ni kosa lipi alilofanya tangu aingie mpaka umuite rubbish...Mi sijaona popote alipokosea na mipira yote iliyomfikia kaicheza vizuri..kaokoa kwa kichwa na kaokoa mipira mingi tu kwa uzuri kabisa sasa sijui huo urubbish unaouzungumzia watoka wapi mazee,labda avurunde 2nd half
 
Ni kosa lipi alilofanya tangu aingie mpaka umuite rubbish...Mi sijaona popote alipokosea na mipira yote iliyomfikia kaicheza vizuri..kaokoa kwa kichwa na kaokoa mipira mingi tu kwa uzuri kabisa sasa sijui huo urubbish unaouzungumzia watoka wapi mazee,labda avurunde 2nd half

Upenzi mbaya sana home boy! Chungulia Man Citeh na Manure bonge la kipute!
 
Upenzi mbaya sana home boy! Chungulia Man Citeh na Manure bonge la kipute!

Hawa jamaa siwapendi hata kidogo,sitaki hata kuwaangalia..Hii inanifanya niipende Chelsik baada ya Arsenal....Ndo maana naomba Chelsik washinde leo(pia Arsenal washinde) ili tuweze kuwaondoa hao wadudu kileleni..Together tunawakilisha...lol
 
Hawa jamaa siwapendi hata kidogo,sitaki hata kuwaangalia..Hii inanifanya niipende Chelsik baada ya Arsenal....Ndo maana naomba Chelsik washinde leo(pia Arsenal washinde) ili tuweze kuwaondoa hao wadudu kileleni..Together tunawakilisha...lol

Hahahahaha nimecheka sana Mazee! Mimi hapa nachecki mechi tatu....Fat Arse, Manchester na ya Chelsea I do enjoy the games!
 
Back
Top Bottom