BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
Hakuna kulala, mwaka huu lazima tuchomoke na kikombe kimoja ninakuhakikishia hili.
Na iwe mkuu maana mna uhaba navyo!..All the best!
Hakuna kulala, mwaka huu lazima tuchomoke na kikombe kimoja ninakuhakikishia hili.
Jamani mi nnatumbo la kuhara hapa.
Stoke wana2tishia amani. Mpaka dk tisini ndo ntarikava.
Haya tumeshatolewa sasa tuelekeze nguvu zetu kwenye EPL. Tuna ngwe ngumu sana kuanzia J'tano ambapo tutakuwa ugenini kwa Aston Villa. We have become a big target, and some of the teams want to stop us by any means from achieving our dreams in 2010.
....mnnh, na wewe BJ unapoteaaaaa!...
haya, dkk ya 90 hiyoooo, hapa sina ujanja tushatolewa bana. dah,...halafu ukiangalia fixture ya EPL na CL naona kidogo kidooogo makombe yanaanza kututoka...
... na donge kitu hapa, stress tupu Arsenal saa nyingine...
Poleni Arsenal..........ndo ukubwa huo
...next two weeks fixtures ngumu ajabu, tuna Manure, Liverpool, Chelski na Aston Villa. Ingesaidia kama tungeshinda angalau FA cup mwaka huu. Priority za AW sijui wapi,... sidhani kama tuna matarajio makubwa CL...
...anyway, acha tukimbizane na Manure na Chelski japo mnhhhh...
Kwa mtindo huu, mwakani inabidi nipeane talaka na ARSENAL. Mimi nimezaliwa, kulelewa na kukulia nikishabikia wana 'Msimbazi' Simba "Taifa Kubwa", Pressure ya nini Ulaya? ...😀
I bet kina Chelski, na Manure watakuja kuninukuu hapa, ha ha ha...
Arsenal, together we stand!!!!
...ha ha haaa, wewe huna jumapili bana? hebu tupe muda kidogo tuugulie. Dah, hiki kichapo kinauma acha tu mazee. Nilikuwa na matarajio makubwa tu leo.
No wonder 'Acheni-lote' sijui 'Anchi-loti' (yule meneja wenu Chelski) anapanga full kikosi hata mkicheza na timu za 'mchangani'.
Yeah, ngumi za usoni. J5 wakipewa nyingine itaondoa ego ya kibabu Wenga, pengine itasaidia kuacha ubahili na kutegemea wachezaji unreliable, akina Vela na Walcot et al. Sielewi alimaanisha nini kuweka watoto wa Carling Cup kwenye mpambano chapwa kama huu.
Leo mumelinywa tu hata mkatae.
Mara sijui eti oooh Chelsea wamepanga 1st eleven ya nini?...N'do matokeo yake hayo..."Ukicheza na mbwa atakufata hadi msikitini"...I know u get my drift!!!!
Leo mumelinywa tu hata mkatae.
Mara sijui eti oooh Chelsea wamepanga 1st eleven ya nini?...N'do matokeo yake hayo..."Ukicheza na mbwa atakufata hadi msikitini"...I know u get my drift!!!!
Titchaz ebu tuwekee picha hapa, yule mweka picha wao kaji-Omondi....lol
Sioni picha zikimiminika hapa leo, kulikoni....kwani hakuna picha za Stoke wakipiga mabao that fat Arse.Ukicheza na mdomo wa Mbwa tegemea kuumwa tu! Sol Campbell is close to 40 naona washika bunduki waona ni kifaa!
Safi sana Arsenal 3 Stoke 1
mkuu campbell mechi zake ndio kama hizo na ni sub kama injury itatokea kati ya varmelen au gallas acha ulevi mkuu usijifanye kama hujui kwanini wenger kamchukua.Ukicheza na mdomo wa Mbwa tegemea kuumwa tu! Sol Campbell is close to 40 naona washika bunduki waona ni kifaa!
Pride of London? more like chavs of London, Aheri nisapoti timu yangu ya mitaani Brentford fc kuliko hawa chavs wa Fulham road.Peasant;759108]Pole sana mkuu, sasa inakuwaje mnashindwa kuifunga Stoke huku mkiwa na Fabregas, Denilson, Walcott, Arshavin, Eduardo, RamseY, Campbell na Silvestre? Hawa wachezaji wakiwa kwenye timu zao za taifa watasema nini kuhusu mechi hii ya leo? kwi kwi kwi kwi? Trophyless as usual....karibu Chelsea "The Pride of London" kama utaama mwakani, anza kujifunza mashairi hapo chini ya Pride of London:
Leo mumelinywa tu hata mkatae.
Mara sijui eti oooh Chelsea wamepanga 1st eleven ya nini?...N'do matokeo yake hayo..."Ukicheza na mbwa atakufata hadi msikitini"...I know u get my drift!!!!
mkuu timu yenu ina wakongwe wakutosha kwenye bench ambao wanaweza kustep up kwenye mechi kama hizi sisi hatuna, bench letu linaundwa na vijana wanao kuzwa.kusema kuchukua risk na first 11 kwenye mechi ya leo noma lazima to protect wachezaji muhimu kwani mechi nyingi mno.wakulaumiwa ni wachezaji waliopewa nafasi kutoweza kutumia nafasi zao thats it.Leo mumelinywa tu hata mkatae.
Mara sijui eti oooh Chelsea wamepanga 1st eleven ya nini?...N'do matokeo yake hayo..."Ukicheza na mbwa atakufata hadi msikitini"...I know u get my drift!!!!
mkuu campbell mechi zake ndio kama hizo na ni sub kama injury itatokea kati ya varmelen au gallas acha ulevi mkuu usijifanye kama hujui kwanini wenger kamchukua.
kwenye hili kusema kweli hata mimi kanishangaza na naona hana nia ya kombe kwani ilikuwa opportunity nzuri sana mwaka huu.sioni tatizo liko wapi kumleta striker atleast on onloan manake number one striker wetu kaumia,AW analeta jeuri yake ya kila siku ndio kwanza anazungumzia ben ku-cover up utasema ben mgeni kwake.hapa proffesor nampinga sana na naona anapoteza season ambayo hiko very open mwaka huu.. Sasa hivi hawana striker wa maana lakini kwa ubahili wake anasubiria Bendtner kana kwamba Bendtner ni bonge la straika kumbeee..another mediocre..
Siwezi acha kulewa mazee matokeo kama haya
Arsenal 3 Stoke 1
Leta round ya Serengeti lager hapa tufurahie ushindi Mkuu! Tamu ya Ushindi si unaijua?