Nasikia wana mgomo baridi dhidi ya Martino, kocha wao!
Wanamuonea tu,management ilifanya uzembe kutofanya usajili.kwenye defence wakamsajili Neymar ili Madrid wasimsajili
Utamkubali tu, subiri tutafute nafasi ya nne kwanza
nishapoa sasa hivii unafiki wangu naupelekka kwa everton kuwaombea msiingie nafasi ya nneHahaaa aisee kumbe ndo ipo hivi? ??. Sorry #haters
ahsante mkuu maisha bila ya unafiki hayaendi..teh teh teh teh teh teh teh teh pole kwa unafiki mkuu.
mmeanza kuatafuta nafasi ya nne tena hamtaki ubingwa??
ila wenger aondoke tu hana jipya tena
Hadi Mei 17, Koscielny, Ozil, Wilshere nadhani watakuwa fit plus bonus ya Diaby tutakuwa na nafasi nzuri katika selection ya wachezaji.
Unamuona alivyomwepesi huyu dogo?
Wenger kuongeza mkataba next week
Dah roho inaniuma wigan kufungwa utafikiri kafungwa man u dah kweli unafiki kazi.
Dah!..........
Wenger atasingizia majeruhi??
Heheee hata kama Arsenal ikifunga Wenger aondkee tuuu
Bora umeonekana leo! Tatizo ni Wenger tu...miaka 9 bila kombe! Huyo ni kocha ama?!
Wigan have massive experience of playing at Wembley than Arsenal in recent years. They can capitalise on this.
Vipi unataka kwenda uwanjani nini? Naona umepania Mchangieni Wacha1 Hiyo game Sema msimchangie siku hizi hakai hapa Kama Mbu bora wakupe wewe au Balatanda ticket! Piere. Fm naye mumchangie Mbu kaenda kuongeza damu game ya Leo imempunguza mwili. Hehehehe.
nishapoa sasa hivii unafiki wangu naupelekka kwa everton kuwaombea msiingie nafasi ya nne
Vipi unataka kwenda uwanjani nini? Naona umepania Mchangieni Wacha1 Hiyo game Sema msimchangie siku hizi hakai hapa Kama Mbu bora wakupe wewe au Balatanda ticket! Piere. Fm naye mumchangie Mbu kaenda kuongeza damu game ya Leo imempunguza mwili. Hehehehe.