Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo FFP ni kama kiini macho imeanza tangu 2011-2012 lakini still timu zimeendelea kununua wachezaji,msimu huu Man City wamewanunua Fernandinho,Navas,Negredo,Demicheles na Jovetic while Chelsea wamenunua Etoo,Matic,Salah,Willian na kibaya zaidi wana wachezaji vijana wengi Cesar,Matic,Oscar,Hazard,Willian,Ginkel,Schurle,Luiz plus Thibout,Lukaku na wengine kibao waliopo nje kwa mkopo

FFP haikatazi timu kununua wachezaji.
 
Wapenzi wenzangu wa Arsenal hivi mnaamini kupata ushindi vs Wigan jmosi? Kwa upande wangu naona tutapigwa ubaya na hawa jamaa, sina imani na hii timu kwa sasa.
 
Mbu
Kuna kutofautiana kwenye uonekano wa timu, Kuna wengi wanaotaka kombe na kuna wachache wenye hisa kubwa wanataka pesa
Nafikiri utanielewa
,.......dahhh?! ndio kusema sie tuendelee kuwa #washiriki tu EPL na CL sio #Washindani wenye lengo la kutwaa Ubingwa?!

No way bana, matakwa yangu Arsenal iwe mshindani na awe Bingwa hata kama sio kila kombe but angalau chupu chupu 2nd place/Runners Up....

Siridhiki na huo mfumo wa kuinua vipaji na kuuza wachezaji, kwa faida ya nani? #Board ?....yes I bet! No wonder walimfanyia njama David Dein aondoke na Lady Nina akauza shares zake.



#MosKwito !
 
Mbu
Kuna kutofautiana kwenye uonekano wa timu, Kuna wengi wanaotaka kombe na kuna wachache wenye hisa kubwa wanataka pesa
Nafikiri utanielewa

mkuu haiko hivyo...kinachofanya tushindwe kununua players amabo ni world class players, ni jambo moja tu...madeni yaliyokithiri nabajeti ndogo kubakia kununua players...hii ni transition iliyokuja toka ujenzi wa uwanja ulipoanza 2003..kwa sababu project ilikomba pesa kama pound milioni 500 (excluding interest rates) sera zifuatazo kufunga mkanda matumizi ni kama ifuatavyo
  1. strict wage structure "socialist wage structure"
  2. wachezaji wenye 30 years na zaidi mikataba mipya haizidi mwaka mmoja
  3. kuuza wachezaji nyota walau mmoja mwisho wa msimu kufidia kiasi cha pesa zinazoenda kwenye deni
  4. tickets za mechi ghali zaidi uingereza
  5. kushiriki UCL kwa sababu za kupanua mapato na kubakia Top club (katika wakati wote wa kipindi cha mpito)

kwa undani zaidi jinsi ujenzi ulivyo ivuruga ARSENAL pitia hapa Emirates Stadium - Wikipedia, the free encyclopedia

na habari zaidi ni kuwa bodi ilitofautiana juu ya mwenendo wa kifedha wa timu hivyo waliona wapate mwekezaji "investor" ila disagreement ilikuja baina ya David Dein na wenzie ambao walikuwa na share nyingi...David akiwa kama Vice chairman alitaka tajiri mwenye fedha za kumwaga timu ipambane na vigogo kama Chelsea na wengine...wengine mtazamo wao ni aje mwekezaji lakini aiwache clabu ijiendeshe yenyewe katika mfumo wa "internal revenues" dein akamuuzia Ulisher usmanov akaishia zake mwaka 2007, kroenke akauziwa na rest of majority share holders akina Danny fizzman (kashafariki huyu jamaa),lady nina bracewell,na peter hillwood akafikia 60% ya ownership...ila inasemekana hana PASSION na soka hata kidogo ni kukomba faida na kutokomea marekani
 
Mkuu
nimekuelewa lakini kama nilivyosema sikutaka kutaja majina
Uwanja ndio kikwazo lakini pia wenye hisa kubwa nao kikwazo
Narudia tena Arsene bado ni kocha mzuri na kila mchezaji aliyeondoka Arsenal bado anamuheshimu huyu mzee
mkuu haiko hivyo...kinachofanya tushindwe kununua players amabo ni world class players, ni jambo moja tu...madeni yaliyokithiri nabajeti ndogo kubakia kununua players...hii ni transition iliyokuja toka ujenzi wa uwanja ulipoanza 2003..kwa sababu project ilikomba pesa kama pound milioni 500 (excluding interest rates) sera zifuatazo kufunga mkanda matumizi ni kama ifuatavyo
  1. strict wage structure "socialist wage structure"
  2. wachezaji wenye 30 years na zaidi mikataba mipya haizidi mwaka mmoja
  3. kuuza wachezaji nyota walau mmoja mwisho wa msimu kufidia kiasi cha pesa zinazoenda kwenye deni
  4. tickets za mechi ghali zaidi uingereza
  5. kushiriki UCL kwa sababu za kupanua mapato na kubakia Top club (katika wakati wote wa kipindi cha mpito)

kwa undani zaidi jinsi ujenzi ulivyo ivuruga ARSENAL pitia hapa Emirates Stadium - Wikipedia, the free encyclopedia

na habari zaidi ni kuwa bodi ilitofautiana juu ya mwenendo wa kifedha wa timu hivyo waliona wapate mwekezaji "investor" ila disagreement ilikuja baina ya David Dein na wenzie ambao walikuwa na share nyingi...David akiwa kama Vice chairman alitaka tajiri mwenye fedha za kumwaga timu ipambane na vigogo kama Chelsea na wengine...wengine mtazamo wao ni aje mwekezaji lakini aiwache clabu ijiendeshe yenyewe katika mfumo wa "internal revenues" dein akamuuzia Ulisher usmanov akaishia zake mwaka 2007, kroenke akauziwa na rest of majority share holders akina Danny fizzman (kashafariki huyu jamaa),lady nina bracewell,na peter hillwood akafikia 60% ya ownership...ila inasemekana hana PASSION na soka hata kidogo ni kukomba faida na kutokomea marekani
 
Hiyo FFP ni kama kiini macho imeanza tangu 2011-2012 lakini still timu zimeendelea kununua wachezaji,msimu huu Man City wamewanunua Fernandinho,Navas,Negredo,Demicheles na Jovetic while Chelsea wamenunua Etoo,Matic,Salah,Willian na kibaya zaidi wana wachezaji vijana wengi Cesar,Matic,Oscar,Hazard,Willian,Ginkel,Schurle,Luiz plus Thibout,Lukaku na wengine kibao waliopo nje kwa mkopo

Mkuu FFP Haizuii timu lununua wachezaji so kwa timu kama Chelsea au Man City kununua wachezaji hao wote kwa msimu mmoja siyo tatizo, tatizo ni kwamba hizo pesa zimetoka wapi??
FFP Inataka timu inunue wachezaji kwa kutumia pesa ambayo inatokana na mzunguko wa mapato mbalimbali katika timu yaani kama vile pesa ya matangazo, mauzo ya jezi, mikataba mbalimbali n.k inachokataza FFP kwa mtu binafsi kuja kutoa pesa zake kununua wachezaji kama ilivyo kwa kina Sheikh Mansour wanavyotoa pesa zao walizozichuma kwenye mafuta na kuziingiza katika timu na kuanza kulangua wachezaji.
Hivyo ndivyo ninavyoilewa FFP.
 
Wapenzi wenzangu wa Arsenal hivi mnaamini kupata ushindi vs Wigan jmosi? Kwa upande wangu naona tutapigwa ubaya na hawa jamaa, sina imani na hii timu kwa sasa.

kwa uhalisia mkuu mechi itakuwa ngumu saana but binafsi nina matumaini makubwa kuwa ushindi utapatikana.
 
Mtanange wetu wa FA cup utakuwa J2 saa 8:05 mchana kwa saa za summer UK. Wale wanoko ooops wauza unga wa kwenye cow shed wanaonunua matokeo nafahamu wanachungulia hapa COYG.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
.......they said it was all over? It is now......#COYG , let us pick up our pieces and move on!

Tuanzane na #postmortem sasa, au bado wenzangu mna matumaini ya #lifesupportmachine aka "mathematically" speaking we still have chances for this and that?

Bro Wacha1 haya matokeo yanafadhaisha, but we are the #Gunners , there's still life after all this trauma..... We'll always bounce back,....keeping the faith!

.... Richard wapi analysis zako mkuu, Balantanda, njoo utupie madongo huku, Viper, rubaman, Wandugu Masanja, Piere. Fm vipi banaa, tuendeleeni kubanana humu!

......#COYG , it's a battle cry, Together We Stand!!!!

View attachment 149788





#MosKwito !


Safi sana Wacha tuhesabu mpunga kwanza kabla ya yote .... .... ..


''Cash: £153.5 million
Arsenal still have almost more free cash than the rest of the Premier League put together. Despite not winning a trophy for nine years, the Gunners still refuse to spend their massive piles of cash in the transfer market.
However, with staggering gross debts of £246.7m, conjured by the building of the Emirates Stadium, Arsenal are doing what any sensible business would do and guarding against catastrophe.
After signing new lucrative sponsorship deals with Emirates and Puma in the last 12 months, Arsenal are in a much better financial position than they were three years ago and proved that by signing Mesut Ozil for a massive £42.5m last summer. Arsenal fans will be hoping for something similar this summer albeit a bit earlier than transfer deadline day.''


COYG
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
.....idadi ya doubtful kucheza plus idadi ya wachezaji majeruhi inakatisha tamaa...

Rosicky, The Ox, Gibbs, Kos the Boss, Ozil,......

Anyway, fingers crossed bro.


#MosKwito !

Theo analea ntonto chacha .... .... .... . safi sana tutapambana na maharamia next season ... .. .
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
.....idadi ya doubtful kucheza plus idadi ya wachezaji majeruhi inakatisha tamaa...

Rosicky, The Ox, Gibbs, Kos the Boss, Ozil,......

Anyway, fingers crossed bro.


#MosKwito !

but Ox na Gibbs leo walikuwepo pale Colney wakipasha na timu kwa uhakika zaidi lets wait kwa taarifa za kesho asubuh, but all in all I still bilieve dat we will reach the FA Cup Final.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mtanange wetu wa FA cup utakuwa J2 saa 8:05 mchana kwa saa za summer UK. Wale wanoko ooops wauza unga wa kwenye cow shed wanaonunua matokeo nafahamu wanachungulia hapa COYG.

kwa mujibu wa skysports game ya fa cup wigan vs arsenal ni 17:07 BST jumamosi yaani kesho.
game zote weekend hii zinaanza 07 minutes after normal hrs kwasababu ya kukumbuka maafa ya washabiki wa liverpool
 
Wakuu kikosi cha leo ni
fabiansk, sagna, matesaker, vermeline, Monreal, Arteta, ramsey, ox, Cazorla, podolsk na sanogo.
Wakati subs kuna
sczeny, kim, gibs, girioud, akpom, jenkson na Esfield.
 
Wakuu [MENTION] Mbu, Wacha.1, Sizinga, Rubman, Richard, Balatanda na wengineo njooni tusupurt chama letu nat give up.
Together we stand.
#COYG .
 
Wigan have massive experience of playing at Wembley than Arsenal in recent years. They can capitalise on this.
 
Back
Top Bottom