RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,795
- 129,627
Hiyo FFP ni kama kiini macho imeanza tangu 2011-2012 lakini still timu zimeendelea kununua wachezaji,msimu huu Man City wamewanunua Fernandinho,Navas,Negredo,Demicheles na Jovetic while Chelsea wamenunua Etoo,Matic,Salah,Willian na kibaya zaidi wana wachezaji vijana wengi Cesar,Matic,Oscar,Hazard,Willian,Ginkel,Schurle,Luiz plus Thibout,Lukaku na wengine kibao waliopo nje kwa mkopo
FFP haikatazi timu kununua wachezaji.