Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

afadhali bayen mmewapa watu adhabu,tulikua hatupumui kitaa,natamani na haya yawakute man u na chelsea pia! Wote wapakwe mafuta tu,
 
Its Ok We have loose this game lets wait and see what will happen in Arianz Arena.
...COYG.....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Tungekuwa na speed ya Walcott tungekuwa na nafasi ila ndo hivyo tena. Bado tuna nafasi nyingine za kushindania atleast Kombe moja kuliko namba saba mgongoni
 
Pamoja na kuwa tumeonewa kwa kipa wetu kupewa redcard,lakini sijawahi kuona timu yenye wachezaji mapimbi hapa Duniani kama Arseanal! Yaani kupungua kwa mchezaji mmoja ndiyo timu yote inarudi kuzuia nyuma badala ya kucheza
mchezo wa kushambulia ukizingatia tuko home!!?...hapana hii hainiingii akilini.

Kwanini nasema hawa wachezaji ni mapimbi? Hivi nyie wanazi wenzangu wa Arsenal mmewahi kuona mchezaji yeyote wa Arsenal anatolewa nje kwa redcard alafu wachezaji wenzake wanaenda kumzonga referee kwa maneno mazito mzito kama
wafanyavyo MAN U,MAN CITY,BARCA,LIVER,CHELSEA nk? Yaani michezaji ya Arsenal ni mijinga sana! Yaani kipa wao anatolewa nje kwa redcard ya kutatanisha alafu hakuna mchezaji hata mmoja wa kwenda kumzongazonga referree kuonesha kuwa hatukubali na umetuonea? Cha ajabu hata yule kipa mwenyewe ameshindwa hata kumfata referree na kumlalamikia.

Hebu pigeni picha au vuteni hisia kama ile redcard angepewa mchezaji wa MAN U...thubutu!!!! Nakuambia Rooney na wenzake wangemzonga yule refarii kiasi kwamba ule mpira ungesimama hata dk 10 za fujo na mabishano tu. Lakini siyo
timu yetu ya Arsenal! Yaani wao mwenzao anapewa red ya utatanishi na wao wananyongea kama nyumbu wa Serengeti national park...ndiyo maana nasema sijapata kuona timu yenye wachezaji mapimbi kama hii. Anyway na safari yetu kwenye
mashindano haya ndiyo yameishia hapa...huko ujerumani ni kwenda kukamilisha tu ratiba yetu.
 
Up next ni Sunderland na bado tunacheza nyumbani.

Leo haikuwa rahisi kwa Arsenal kushinda wakiwa 10 uwanjani, ilitakiwa Mesut Ozil afunge ile penalty, na hiyo ndio angalau ingeleta afya ya kulinda goli.

Tukutane Jumamosi.

COYG!

upo sahihi mkuu na baada ya Ozil kukosa tu Penat akapotea na kupotea katika mchezo.
 
Pamoja na kuwa tumeonewa kwa kipa wetu kupewa redcard,lakini sijawahi kuona timu yenye wachezaji mapimbi hapa Duniani kama Arseanal! Yaani kupungua kwa mchezaji mmoja ndiyo timu yote inarudi kuzuia nyuma badala ya kucheza
mchezo wa kushambulia ukizingatia tuko home!!?...hapana hii hainiingii akilini.

Kwanini nasema hawa wachezaji ni mapimbi? Hivi nyie wanazi wenzangu wa Arsenal mmewahi kuona mchezaji yeyote wa Arsenal anatolewa nje kwa redcard alafu wachezaji wenzake wanaenda kumzonga referee kwa maneno mazito mzito kama
wafanyavyo MAN U,MAN CITY,BARCA,LIVER,CHELSEA nk? Yaani michezaji ya Arsenal ni mijinga sana! Yaani kipa wao anatolewa nje kwa redcard ya kutatanisha alafu hakuna mchezaji hata mmoja wa kwenda kumzongazonga referree kuonesha kuwa hatukubali na umetuonea? Cha ajabu hata yule kipa mwenyewe ameshindwa hata kumfata referree na kumlalamikia.

Hebu pigeni picha au vuteni hisia kama ile redcard angepewa mchezaji wa MAN U...thubutu!!!! Nakuambia Rooney na wenzake wangemzonga yule refarii kiasi kwamba ule mpira ungesimama hata dk 10 za fujo na mabishano tu. Lakini siyo
timu yetu ya Arsenal! Yaani wao mwenzao anapewa red ya utatanishi na wao wananyongea kama nyumbu wa Serengeti national park...ndiyo maana nasema sijapata kuona timu yenye wachezaji mapimbi kama hii. Anyway na safari yetu kwenye
mashindano haya ndiyo yameishia hapa...huko ujerumani ni kwenda kukamilisha tu ratiba yetu.

sasa mkizonga muamuzi ndio atabidili maamuzi yake? Hebu fikiria kwa umakini ww sanasana ushauri wako unaweza pelekea wachezaji wengine wajipatie kadi zisizo na msingi.
 
Nafikiri Philip Lahm na Arjen Robben watakuwa wakijaribu kumchosha Kieran Gibbs upande wa kushoto wa Arsenal.

Wakitumia njia hio basi LAex Oxlade Chamberlain anaweza kutumia nafasi hiyo kukimbia na mpira mara nyingi kuelekea langoni mwa Bayern na hata Santiago Cazorla nae anaweza kupata nafasi kadhaa.

Cha msingi ni Arsenal kutumia kila nafasi waipatayo kufunga magoli.
ozil kawaangusha arsenal.
 
sasa mkizonga muamuzi ndio atabidili maamuzi yake? Hebu fikiria kwa umakini ww sanasana ushauri wako unaweza pelekea wachezaji wengine wajipatie kadi zisizo na msingi.
Wewe nawe vipi? Soccer au football ni mchezo wa fitna...kwa taharifa yako refarii anapozongwa zongwa inasaidia kuzuia msionewe tena na pia inasaidia kupata huruma ya refarii kama mchezaji wa timu pinzani akijichanganya na mafaulo yake ya ugoko basi na wao wanarambwa redcard kutokana na ile pressure mliyompatia na kumuonyeshea mara ya kwanza.
Vinginevyo kama mtakuwa minyumbu ya Serengeti basi hesabuni imekula kwenu
 
I hope leo mganga wake alikwambia usiende Emirates
Mkuu leo sikuenda Emirates. Niko nje ya Jiji kikazi.

Hata hivyo nilifahamu kuwa mechi hii ilikuwa ni ngumu sana kwetu kwa mujibu wa historia na uharisia.

Tukianza kuelezea hapa makosa yaliyofanywa na wachezaji pamoja na meneja haiwezi kusaidia sana. Hilo acha tuwaachie waliopewa kazi hiyo (Football pundit). Let bygones be bygones na hasa ikichukuliwa kuwa tumefungwa na timu nzuri sana.

Mimi nimechukua dakika 20 za kwanza kama ndiyo benchmark kwa Arsenal katika mechi hii. Tuliifanya defence ya Bayern Munich kuonekana ya kawaida kabisa. Hata hivyo kama nilivyosema, ningekuwa na furaha hata kama tungeondoka na point angalau moja.

We win together, We lose together and We stick together.

Hakuna muda wa kukaa na kufikiria sana hii match kwa sababu Jumamosi is around the corner kupambana na Sunderland.

See you on Saturday kwenye mida ya 15:00 GMT katika viwanja vyetu vya kujidai kutoa vidonge kwa Sunderland.
Thanks Gunners.


Once a Gunner, Always a Gunner
 
ozil kawaangusha arsenal.
Ni kweli katuangusha sana...alipaswa pale pale kumshika nyoka na kumkata kichwa kwa kutumia jambia.
Am sure kama lile goli angefunga Bayern wangechanganyikiwa na tungeendelea kuwapiga kwa counter attack
 
What a superb perfomance from bayern,wanapiga mipira mifupi mifupi na ya haraka mno,kiukweli hapa hata barca hatii mguu kwa pasi hizi fupi na za haraka kiasi hiki wameweka historia bayern leo jumla ya pasi 791 wamepiga dhidi ya arsenal.
 
Kilichobaki sasa kwa arsenal ni kusema what if wangepata ile penlat,what if kipa asingepewa nyekundu...
Lakini mnashau kujiuliza what if alaba nae angepata penalty ya bayern...
 
Back
Top Bottom