Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

emirates_2828304a.gif

Karibuni Emirates kama panavoonekana jioni hii.
 
Nafikiri Philip Lahm na Arjen Robben watakuwa wakijaribu kumchosha Kieran Gibbs upande wa kushoto wa Arsenal.

Wakitumia njia hio basi LAex Oxlade Chamberlain anaweza kutumia nafasi hiyo kukimbia na mpira mara nyingi kuelekea langoni mwa Bayern na hata Santiago Cazorla nae anaweza kupata nafasi kadhaa.

Cha msingi ni Arsenal kutumia kila nafasi waipatayo kufunga magoli.
 
Leo tuwashangilie kwa nguvu zote vijana wetu ili wapate morali ya kushinda hii mechi.
 
Kiroho safi tunagonga cheerz coz najua tunashnda
 

Attachments

  • 1392838571517.jpg
    1392838571517.jpg
    14.2 KB · Views: 45
Ninatamani ubao usomeke hivi mpaka full time

Arsenal FC 0 Bayen Munich 4

Dakika 90 ndiyo msema kweli!

Copy kwa lane popote pale alipo!
 
Last edited by a moderator:
Mwamuzi wa mchezo mechi hii ni anaitwa Nicola Rizzoli wa kutoka Italy na kwa kazi yake halisi yeye ni mchoraji wa ramani za majengo.

Kama mtakumbuka fainali ya mwaka jana ni yeye alichezesha na Bayern wakawa mabingwa.

Kwa hio atakuwa amepata ushauri mzuri kabisa kutoka kwa mwamuzi maarufu na nguli Pierluigi Collina.
 
Hello Gunners.

Kwa ufupi tu, hii ni match ngumu sana na kama utakuwa Gunner ambaye ni objective, nitachukua draw na kwenda nyumbani ili itusaidie katika mechi ijayo ya Saturday, 22 February kama feel-good hapa Emirates Stadium tutakapo kutana na Sunderland.

Hata hivyo katika match ya football lolote linaweza kutokea lakini historia na uharisia wa Bayern Munich unanifanya nisite kuchukua hii mantiki.

Gunners, I wish all the best!.

Once a Gunner, Always a Gunner.
 
Arsenal wamevalia jezi zao za nyumbani nyekundu zenye mikono meupe na kaputura pamoja na soksi zina rangi nyeupe.

Bayern Munich wa wamevalia jezi na kaputura zenye rangi ya zambarau.
 
Wakuu mimi ni Liverpool ila Arsenal hadi muda huu wananifurahisha,,,,,,,
 
Back
Top Bottom