Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Man city na Arsenal nje!

Hapo jicho lote kwa baba yeni Mourinho tu na Chelsea
 
Hello Gunners.

Kwa ufupi tu, hii ni match ngumu sana na kama utakuwa Gunner ambaye ni objective, nitachukua draw na kwenda nyumbani ili itusaidie katika mechi ijayo ya Saturday, 22 February kama feel-good hapa Emirates Stadium tutakapo kutana na Sunderland.

Hata hivyo katika match ya football lolote linaweza kutokea lakini historia na uharisia wa Bayern Munich unanifanya nisite kuchukua hii mantiki.

Gunners, I wish all the best!.

Once a Gunner, Always a Gunner.

I hope leo mganga wake alikwambia usiende Emirates
 
Up next ni Sunderland na bado tunacheza nyumbani.

Leo haikuwa rahisi kwa Arsenal kushinda wakiwa 10 uwanjani, ilitakiwa Mesut Ozil afunge ile penalty, na hiyo ndio angalau ingeleta afya ya kulinda goli.

Tukutane Jumamosi.

COYG!
 
Back
Top Bottom