Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni kweli katuangusha sana...alipaswa pale pale kumshika nyoka na kumkata kichwa kwa kutumia jambia.
Am sure kama lile goli angefunga Bayern wangechanganyikiwa na tungeendelea kuwapiga kwa counter attack
huyu inabidi muanze kumpa mapumziko kidogo nahisi hajazoea mikiki ya englanda kwamba kila katikati ya wiki mnakutana na mechi.ila wengi wanasema kiwango chake kimeshuka kidogo kutokana na ramsey kuwa nje ngoja tumuone akisharudi then tutafanya hitimisho ni ramsey alikuwa anambeba au mwenyewe tu uchovu unamuathiri??
 
I think ulikuwa umfatilii Ozil alivyokuwa Real Madrid,Ozil alikuwa flop kwenye most El Classico against Barca na mara nyingi huwa anatolewa.Then angalia perfomance yake kwenye game against Liverpool,United,City na Chelsea .Jana nimemshangaa Wenger amemwacha hadi mwisho akampa Kazi kubwa sana Monreal


walikosea kumtoa sadaka Santi Carzola. #19, maana Wilshere mchezo wako hautofautiani sana na Ozil, lakini Carzola anaweza kupiga mashuti nje ya 18, huenda ingewasaidia sana.

Pole kwa majirani zetu Arsenal; poleni jamani.


CFC the blues;
CHELSEA THE PRIDE OF LONDON.:shock:
 
Ng'wamapalala,
unakumbuka mbwembwe zako? Na bado,wakija Emirates mnachezea nyingine 3.
kushabikia Ars ni kujitafutia bp tu.
 
Last edited by a moderator:
Kwani ilikuwaje jamani mi sijui kitu nimeshngaa jana nafungua tv naona Bayern wanapasiana tu pasi hadi 1,200 kwa dakika kama 20 hv wakati wenzao Arsenal hawajagusa mpira.
 
Bayern wamemtoa Mandzukic kaingia Mueller,baadae kaingia Pizzaro,Schwensteigger yuko benchi hana nafasi....sasa Arsenal wakimtoa Sanogo anaingia nani?Bendtner au Giroud?? MAJANGA!!!
 
Bayern wamemtoa Mandzukic kaingia Mueller,baadae kaingia Pizzaro,Schwensteigger yuko benchi hana nafasi....sasa Arsenal wakimtoa Sanogo anaingia nani?Bendtner au Giroud?? MAJANGA!!!

....kaka, yaani wewe kwenye mpira wa karne hii unasikilizia majina?
Dahh?! Kwa mtaji huo Robin Van Persie na Rooney wasingekuwa na mid table team #MburukengeUnited !

Unawakumbuka Le Galaticos?
Acha hizo za #KampiraNaMpira !!!


#MosKwito !
 
Kuwafunga Bayern Munchen kwao sio muujiza kaka!
Keep the faith!


#MosKwito !

Nahisi unachanganya baina ya miujiza na kutowezekana! Hata kama Arsenal ikisonga mbele japo kwa penalti, bado itabaki kuwa ni miujiza! Simba waliwahi kufungwa 4-0 nyumbani na Mufulira Wonderers ya Zambia. Wao wakawafunga hao Mufulira 5-0 nyumbani kwao. Iliwezekana, ilitokea, lakini ni miujiza!
 
Nahisi unachanganya baina ya miujiza na kutowezekana! Hata kama Arsenal ikisonga mbele japo kwa penalti, bado itabaki kuwa ni miujiza! Simba waliwahi kufungwa 4-0 nyumbani na Mufulira Wonderers ya Zambia. Wao wakawafunga hao Mufulira 5-0 nyumbani kwao. Iliwezekana, ilitokea, lakini ni miujiza!

.....banaaa, acha ku 'twist' maneno... #Yote yanawezekana japo ni #Muujiza kwako.


#MosKwito !
 
Ng'wamapalala,
unakumbuka mbwembwe zako? Na bado,wakija Emirates mnachezea nyingine 3.
kushabikia Ars ni kujitafutia bp tu.
ukwelikitugani Siyo kwa Arsenal peke yake. Kushabikia timu yoyote kama hufahamu maana ya mchezo wa football ni kujitafutia BP.

Kwa watu wanaofahamu football huwa wanapandisha na kupunguza expectation kulingana na timu wanayoshabikia/wanaipenda. As we all know, Misgiving is at the heart of football ndiyo maana wapenzi na washabiki halisi wa Arsenal hawashangai matokeo kama ya jana kwa sababu wanaifahamu vizuri strengths and weaknesses ya timu yao.

Kama unavyofahamu katika ulimwengu wa football, kujikwaa si kuanguka na hata kama timu imeanguka basi haina budi kuamka haraka na kuendelea na mapambano bila kukata tamaa.

This is all part and parcel of football. What's important in football is winning together, losing together and sticking together.

See you at Emirates on Suturday, 15:00 GMT. Tunawakaribisha kwenye uwanja wetu wa kujidai wanaojiita Black Cats.

Once a Gunner, Always a Gunner.
 
Back
Top Bottom