Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

sitaacha kuisikiliza....iinanipa rahaaa.....masafa saafii...nasikia kuna uwezekano baada ya mechi na chelsea masafa yakabadilika ikawa
86.57 fm...sijui kuna ukweli wowote???
huwezi jua inaweza ikawa 98.6 kabisa
 
Wakuu wangu wa nguvu Asalaam Aleikum...dah wikend yangu ilikuwa mbaya sijawahi ona, niliboreka mno kila ninachokifanya hakiwezekani...kichapo pia kilinchanganya! Nikaona nipoteze mda kwenye pooltable nako nikabondwa, hata usingizi sikuupata na sikujisumbua kuangalia what media displays...anyway I'm back to bizness...
Let's keep hope my colleague!
Mbu pierre Wacha1 Richard Katavi Balantanda dully jr
COYG

....kabisa kaka,.....mbele daima, kugeuka nyuma ndio kujigeuza jiwe kama #ManUnited !
 
1689548_693755714016680_673381502_n.jpg

.
IMG657.jpg

.
 
Kwa kweli nimeumia sana, afadhali hata ingekuwa 2-0, lakini .....!, we acha tu, ndio maana wakati mwingine ni bora kupotezea tu. Yaani jumamosi narudi nyumbani watoto wananiambia ,"yaani baba leo tumefungwa sana.......! nikajifanya sikusikia wala sijui wanasema nini! ila imeuma sana.
 
Wakuu wangu wa nguvu Asalaam Aleikum...dah wikend yangu ilikuwa mbaya sijawahi ona, niliboreka mno kila ninachokifanya hakiwezekani...kichapo pia kilinchanganya! Nikaona nipoteze mda kwenye pooltable nako nikabondwa, hata usingizi sikuupata na sikujisumbua kuangalia what media displays...anyway I'm back to bizness...
Let's keep hope my colleague!
Mbu pierre Wacha1 Richard Katavi Balantanda dully jr
COYG
Kaka pole sana, ilikuwa wikendi mbaya sana kwa kweli lakini tutarejea tu katika moto wetu.
 
Feel sorry for whom? Prof, you must be joking, falling at any time is just an accident, it can happen to anybody. People fall everyday at the stations .... ... why this is a big thing? Kwa sababu Gunners tupo kwenye cream za football clubs na wivu ndio unawasumbua, you like other teams go and support them, you hate us thats fine but we cannot agree with people who hide their allegiance to their own teams.

I didn't say I feel sorry for him because he fell in a railway station.
 
Wakuu wangu wa nguvu Asalaam Aleikum...dah wikend yangu ilikuwa mbaya sijawahi ona, niliboreka mno kila ninachokifanya hakiwezekani...kichapo pia kilinchanganya! Nikaona nipoteze mda kwenye pooltable nako nikabondwa, hata usingizi sikuupata na sikujisumbua kuangalia what media displays...anyway I'm back to bizness...
Let's keep hope my colleague!
Mbu pierre Wacha1 Richard Katavi Balantanda dully jr
COYG

Usiwe na wasiwasi mkuu mambo ya kushindwa ni kawaida katika mechi hizi.

Ukumbuke hii ni mechi ya 4 kufungwa kwenye ligi hii.

Tutarekebisha tu na Wenger atafanya mabadiliko ya dharura kwenye first X1.
 
Usiwe na wasiwasi mkuu mambo ya kushindwa ni kawaida katika mechi hizi.

Ukumbuke hii ni mechi ya 4 kufungwa kwenye ligi hii.

Tutarekebisha tu na Wenger atafanya mabadiliko ya dharura kwenye first X1.
Ok pamoja mkuu
 
Atarekibisha km ule ugonjwa Wa kuanguka utakua umepona!

Usiwe na wasiwasi mkuu mambo ya kushindwa ni kawaida katika mechi hizi.

Ukumbuke hii ni mechi ya 4 kufungwa kwenye ligi hii.

Tutarekebisha tu na Wenger atafanya mabadiliko ya dharura kwenye first X1.
 
article-2556753-1B6328A600000578-881_636x382.jpg


article-2556753-1B6301AC00000578-236_634x774.jpg



Balletic: Bacary Sagna shows off his dance moves as Arsenal trained
at London Colney for the last time before their Premier League showdown
with Manure tomorrow night






article-2556753-1B63007300000578-729_634x493.jpg



Swing and a miss: Lukas Podolski puts his best foot forward,
though Tomas Rosicky (left) and Santi Cazorla (centre)
can't conceal their amusement






article-2556753-1B6302D200000578-744_634x760.jpg



Heads you win: Mikel Arteta shows off his ball-juggling abilities
as Arsenal prepare to respond to Saturday's humiliation






article-2556753-1B630A7300000578-256_634x843.jpg



Taking cover: Laurent Koscielny shelters from the rain
during the training session


article-2556753-1B62FBA700000578-998_634x736.jpg


Prof kama kawa

Sage: Manager Arsene Wenger passes on instructions to Jack Wilshere
ahead of the crunch match at the Emirates






article-2556753-1B62F8BC00000578-839_634x483.jpg



On the ball: Lukas Podolski is pursued by German compatriot Serge Gnabry
during a training match






article-2556753-1B62FD9100000578-437_634x514.jpg



Strike a pose: Podolski and Alex Oxlade-Chamberlain
show they mean business

Vijana walikuwa wanajiandaa kwa mtanange wa kesho .... .... ..... ..COYG


 
Photogenic Podilski, such a nice guy....
Ila wakuu hii league sidhani kama ni swala la kufungwa na they claimed top 5 au 6 ni issue, swala ni how una respond na kufungwa na kujitahidi uwe consistent.

Yale mambo ya domo kaya ya little horse, jaguar, money spent, voyeur, a special c*nt na nini hayana maana...

Atakula maneno yake huyu son of a b***h, we heartily hate him...
 
Back
Top Bottom