Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Geovanni-Arsenal-Hull-City-Premier-League_2399049.jpg



Eduardo-Arsenal-Hull-City-Premier-League_2399050.jpg




Abou-Diaby-Arsenal-Premier-League_2399051.jpg
 
Babamkubwa, Mbu, Arsene, BAK, Richard, Balatanda, Next Level, Ngwaza,Radical, Sipo, Shadow na washika mizinga wote humu jamvini Merry X-mas and happy new year, niko tight aisee ila tupo pamoja, jana ushindi mzuri ila kazi ipo mechi ya Villa, nadhani tutapata picha nzuri baada ya mechi ya Villa, ila bado tupo na uwezo kulinyaka mwaka huu. Upinzani kwa kweli ni dhaifu, Looserfool kwishnei, Mannure nao hoi, Chelski pekee ndio naona bado wako gado ila tuangalie leo kama W/ham watapapatua kiume kama wenzao Pompey jana.
Mechi ya jana nimebaini vitu viwili naona vimenitia mashaka kidogo.
1.Eduardo na Arshavin maelewano yao sio mazuri, Eduardo kuna wakati alipata nafasi nzuri ya kumchezesha Arshavin kwa vilie yeye Eduardo alikuwa tight angle matokeo yake alijaribu kufunga mwenyewe wakati alimuona Arshavin yuko nafasi nzuri zaidi ya kufunga!!
2. Mara baada ya kufunga bao la 2 Eduardo alieonekana kuelekea upande wa washabiki wetu kushangilia lakini alipomuona tu Arshavin mbele yake aligeuza ghafla na kuelekea upande wa Diaby na kumkumbatia ilionekana kama vile anam-snub Arshavin. Hatutaki kuona mambo ya Bendtner v Adebayor yanajirudia ama kule Liverpool Torres v Babel na Keane v Gerrard.
 
Babamkubwa, Mbu, Arsene, BAK, Richard, Balatanda, Next Level, Ngwaza,Radical, Sipo, Shadow na washika mizinga wote humu jamvini Merry X-mas and happy new year,...................Eduardo na Arshavin maelewano yao sio mazuri,

Asante kwa salamu mkuu.....nawe twakutakia sikukuu njema.

Mkuu unamanisha hakuna mahusiano mazuri baina ya Eduardo na Arshavin?
 
Asante kwa salamu mkuu.....nawe twakutakia sikukuu njema.

Mkuu unamanisha hakuna mahusiano mazuri baina ya Eduardo na Arshavin?
Ni observation yangu tu inawezekana isiwe hivyo ila body language yao uwanjani naona haiko sawa.
 
kazi munayo arsenal coz hata mwendo wenu bado wa magutu sana hamna zile perfect straight may be 3 or 4 wins, so kwa timu yenye mwendo huo ni hatari sana, its like walivyo totenham hotspur, so kazi bado ni pevu sana, hebu jaribuni kuwasoma watoto wa villa park wanavyotakata kipindi hiki, kawalambisha mchanga wote waitwao big four
 
Babamkubwa, Mbu, Arsene, BAK, Richard, Balatanda, Next Level, Ngwaza,Radical, Sipo, Shadow na washika mizinga wote humu jamvini Merry X-mas and happy new year...

...heri na fanaka kwako pia na familia yako yote mkuu, shukran sana.
Kina Chelsea na Manure wao hata salamu hawapeani, watu wabaya sana wale 😀
 
Babamkubwa, Mbu, Arsene, BAK, Richard, Balatanda, Next Level, Ngwaza,Radical, Sipo, Shadow na washika mizinga wote humu jamvini Merry X-mas and happy new year, niko tight aisee ila tupo pamoja, jana ushindi mzuri ila kazi ipo mechi ya Villa, nadhani tutapata picha nzuri baada ya mechi ya Villa, ila bado tupo na uwezo kulinyaka mwaka huu. Upinzani kwa kweli ni dhaifu, Looserfool kwishnei, Mannure nao hoi, Chelski pekee ndio naona bado wako gado ila tuangalie leo kama W/ham watapapatua kiume kama wenzao Pompey jana.
Mechi ya jana nimebaini vitu viwili naona vimenitia mashaka kidogo.
1.Eduardo na Arshavin maelewano yao sio mazuri, Eduardo kuna wakati alipata nafasi nzuri ya kumchezesha Arshavin kwa vilie yeye Eduardo alikuwa tight angle matokeo yake alijaribu kufunga mwenyewe wakati alimuona Arshavin yuko nafasi nzuri zaidi ya kufunga!!
2. Mara baada ya kufunga bao la 2 Eduardo alieonekana kuelekea upande wa washabiki wetu kushangilia lakini alipomuona tu Arshavin mbele yake aligeuza ghafla na kuelekea upande wa Diaby na kumkumbatia ilionekana kama vile anam-snub Arshavin. Hatutaki kuona mambo ya Bendtner v Adebayor yanajirudia ama kule Liverpool Torres v Babel na Keane v Gerrard.


Happy Holidays too,

Wadau jana nimefurahi sana nikiona the bluez 'wakidoda' na kuacha point mbili wakati wazee wa ngome kongwe wakibabaduliwa 3 kwa taili. Nakubaliana na maelezo yako hapo juu kwa hiyo kipimo chetu ni hawa Aston Villa hiyo Jumapili 12-27-09.
 
kazi munayo arsenal coz hata mwendo wenu bado wa magutu sana hamna zile perfect straight may be 3 or 4 wins, so kwa timu yenye mwendo huo ni hatari sana, its like walivyo totenham hotspur, so kazi bado ni pevu sana, hebu jaribuni kuwasoma watoto wa villa park wanavyotakata kipindi hiki, kawalambisha mchanga wote waitwao big four

Sikubaliani na wewe 100% coz kila timu has not been able to be consinstent. Hata Chelsea wanaoongoza ligi hawajawa consinstent. Labda uwe ulikuwa na maan nyingine!
 
H… Healthy, Hopeful, Humble, Humorous, Hummus eater

A … Appreciative, Approachable, Activist for global peace & justice

P … Peaceful, positive, …

P … Passionate, practical, …

Y… Youthful, yummy, …
 
...'puh-mba-f' kabisa, ...haya sasa Chelsea, Spurs na Manure furahini sasa 😡
We mbona una mihasira namna hiyo vipi? Kwanza mzima? maana naona uliiingia mitini kwa muda kidogo especially baada ya kulalamika kuwa shemeji alikuwa anakununia bila sababu, Heri ya Noel.
 
We mbona una mihasira namna hiyo vipi? Kwanza mzima? maana naona uliiingia mitini kwa muda kidogo especially baada ya kulalamika kuwa shemeji alikuwa anakununia bila sababu, Heri ya Noel.
Jamaa yupo Vekesheni Bongo... Yuko na kina Masanilo, Nguli etc, crew kubwa nadhani
 
We mbona una mihasira namna hiyo vipi? Kwanza mzima? maana naona uliiingia mitini kwa muda kidogo especially baada ya kulalamika kuwa shemeji alikuwa anakununia bila sababu, Heri ya Noel.

Jamaa yupo Vekesheni Bongo... Yuko na kina Masanilo, Nguli etc, crew kubwa nadhani

...Lol!

...kwanza heshima yenu wakuu, nimerudi salama salmini, tena na sun-tan mpya kabisa maana kijijini' jua linapiga si mchezo, halafu vibaka waliniingiza mjini vile vile wakakomba Camera, pesa na vikorombwezo vingine... ndio nyumbani!

...Eqlypz, ...formation mpya ya 'ze Ganaz', ipo kwenye mfumo wa 4-3-3 ili striker wetu Van persie au Bendtner asaidiwe kule mbele na midfielder-cum-wingers ambao ni Nasri, Rozisky, Eboue, Arshavin et al... Strikers wote hao wawili sasa ni majeruhi wa kudumu mpaka mwisho wa msimu. Eduardo nae aliyekuwa majeruhi msimu mzima wa mwaka jana bado ana niggling injuries, anacheza below par...

ndio kusema? Kina Invisible, Peasant, na wana darajani (Chelsea) hawana mpinzani, hata nyie Manure mkitaka nafasi ya pili yenu kabisaaa labda mliboronge mwishoni kwa kujitakia. Champions League ndio kabisaa naanza kuondoa matumaini.

Mwaka huu ulikuwa defining season, ...i bet summer kutakuwa na exodus ya wachezaji kuihama Arsenal wakiongozwa na Fabregas! sijui nihame timu? No, no, no...

Gunners for Life!
 
Mara baada ya kufunga bao la 2 Eduardo alieonekana kuelekea upande wa washabiki wetu kushangilia lakini alipomuona tu Arshavin mbele yake aligeuza ghafla na kuelekea upande wa Diaby na kumkumbatia ilionekana kama vile anam-snub Arshavin. Hatutaki kuona mambo ya Bendtner v Adebayor yanajirudia ama kule Liverpool Torres v Babel na Keane v Gerrard.

Nilicheki re-play jana, ni kwamba Eduardo alitaka kushangilia kwny kibendera cha kulia, but akakumbuka his finish was so simple na aliyefanya kazi kubwa ni Diaby so he turned back to thank him for job well hard done.

Sidhani kama issue was Arshavin.
 
...Lol!

...kwanza heshima yenu wakuu, nimerudi salama salmini, tena na sun-tan mpya kabisa maana kijijini' jua linapiga si mchezo, halafu vibaka waliniingiza mjini vile vile wakakomba Camera, pesa na vikorombwezo vingine... ndio nyumbani!

...Eqlypz, ...formation mpya ya 'ze Ganaz', ipo kwenye mfumo wa 4-3-3 ili striker wetu Van persie au Bendtner asaidiwe kule mbele na midfielder-cum-wingers ambao ni Nasri, Rozisky, Eboue, Arshavin et al... Strikers wote hao wawili sasa ni majeruhi wa kudumu mpaka mwisho wa msimu. Eduardo nae aliyekuwa majeruhi msimu mzima wa mwaka jana bado ana niggling injuries, anacheza below par...

ndio kusema? Kina Invisible, Peasant, na wana darajani (Chelsea) hawana mpinzani, hata nyie Manure mkitaka nafasi ya pili yenu kabisaaa labda mliboronge mwishoni kwa kujitakia. Champions League ndio kabisaa naanza kuondoa matumaini.

Mwaka huu ulikuwa defining season, ...i bet summer kutakuwa na exodus ya wachezaji kuihama Arsenal wakiongozwa na Fabregas! sijui nihame timu? No, no, no...

Gunners for Life!
weee mwanga nini/??mbona unatuwangia wakati ligi ndio kwanza inapamba moto??bado tupo kote na manure au chelski hawatishi kihivyo.
 
Football Association charges Hull and Arsenal

_46989086_hull.jpg

Arsenal and Hull players square up at the Emirates Stadium


Hull and Arsenal have been charged by the Football Association for failing to control their players.
The charge relates to what the FA describes as a "mass confrontation" during Arsenal's 3-0 win at the Emirates Stadium on Saturday.

The flare-up occurred after Gunners midfielder Samir Nasri appeared to tread on Richard Garcia's foot at the end of the first half.

Nasri has escaped further punishment for the initial foul.

Referee Steve Bennett reviewed videotape footage, and decided he would not have shown a red card had he seen the incident.

Nasri was booked for his part in the ensuing melee, along with Hull pair Stephen Hunt and Nicky Barmby.

The feud between the teams appeared to continue in the tunnel as the players left the pitch.

Both clubs have until 13 January to respond to the FA charge.

http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/teams/a/arsenal/8428131.stm
 
wakuu wa emirates nawatakia sikukuu njema na msheherekee salama na furaha kubwa bila matatizo yoyote pamoja na familia zenu.

nategemea pia wachezaji watatupa zawadi hapo tutakapo kutana na aston villa jumapili.

kila la kheri wakuu mpaka jumapili tutakutana tena jukwaani humu.
 
wakuu wa emirates nawatakia sikukuu njema na msheherekee salama na furaha kubwa bila matatizo yoyote pamoja na familia zenu.

nategemea pia wachezaji watatupa zawadi hapo tutakapo kutana na aston villa jumapili.

kila la kheri wakuu mpaka jumapili tutakutana tena jukwaani humu.

Na sisi wageni wenu hatustahili kusherehekea nanyi?
Wenga,Banta,Mbu na wengine wote wa hapa niwatakie Xmas njema na mwaka mpya wenye mafanikio kisoka na niwakaribishe darajani mwakani.
 
Nawatakia Xmas njema na Heri ya mwaka mpya wa 2010 wanamichezo wote wa humu jamvini JF(Wazee wa Mamn Utd,Chelsea,Liverpool,Tottenham,Man City),Bila kuwasahau wapenzi wote wa EPL,VodaCom Premier League,Ligi ya Zenji,Bundesliga,La Liga,Eredivisie,Ligue 1,Serie A Nn.k,nwatakia mafanikio ninyi binafsi na timu mzipendazo katika mwaka mpya wa 2010...Pamo jah
 
Back
Top Bottom