Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Yale yale ya kuona mnapigwa vita, mwenzako kasema FA ina lake jambo kisa mechi za raundi ya pili (na vigogo wengine) ziko back to back, na mimi nikamjibu mbona raundi hii hakucomment au kwa sababu ilikuwa mchekea. Wewe unakuja na mambo ya kukosa usingizi ebo!!!
Teh teh..Mkuu,wengi tu wananyimwa usingizi na Arsenal,angalia tu comments zao humu utawaona..Sory kama nimekukwaza mkuu wangu..Pamoja