Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
naona half time tunaongoza goli moja kupitia denilson.
wabrazil hawaongopi mkuu.Tunahitaji mpiga free kick kama hivi! Nasri angeng'ang'ania yangekuwa yaleyale.
Arsenal 1 Hull 0
wabrazil hawaongopi mkuu.
Halafu huyu Refa naye sijui vipi maana hii penalty aliyowapa Hull hata haieleweki,thank God Almunia kaicheza...Huyu Sylvestre naye anatucost sana pale nyuma
tungemchapa kama angekosa pale ha ha ha. wakina clichy wanarudi lini? naona huyu sylvestre huyu uchochoro.Eduardoooooooooooooo...Goaaaaaaaaaaaaal,cha pili..Mkuu AW naona Dudu kakusikia
tungemchapa kama angekosa pale ha ha ha. wakina clichy wanarudi lini? naona huyu sylvestre huyu uchochoro.
dogo ndio mrithi wa fabregas wenger anamuandaa sio.naona diaby leo akumtuma pacha wake kucheza kaja mwenyewe lol.point tatu zilikuwa muhimu sana na tukiweza kukusanya tatu kwa villa.Hongera kwa ushindi mkuu,ila huyu dogo Aron Ramsey naona kaanza kukomaa now,dogo ni mzuri sana,anacheza mpira wa akili sana,naona atatufaa sana huko mbeleni huyu
hongera na wewe mkuu tunkiweza kusimamaisha speed ya villa itakuwa vizuri sana naona wale wana moto sasa sijui nguvu ya soda au vipi.Mpira umeisha Arsenal 3 Hull City 0..Hongereni sana wana Arsenal,ushindi mnono huu
Kwani hukumbuki last season walikuja na kasi zote lakini wakanywea wenyewe hawana lolote hao Aston villa ni nguvu ya soda.hongera na wewe mkuu tunkiweza kusimamaisha speed ya villa itakuwa vizuri sana naona wale wana moto sasa sijui nguvu ya soda au vipi.