Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

wakuu wa emirates nawatakia sikukuu njema na msheherekee salama na furaha kubwa bila matatizo yoyote pamoja na familia zenu.

nategemea pia wachezaji watatupa zawadi hapo tutakapo kutana na aston villa jumapili.

kila la kheri wakuu mpaka jumapili tutakutana tena jukwaani humu.

Na sisi wageni wenu hatustahili kusherehekea nanyi?
Wenga,Banta,Mbu na wengine wote wa hapa niwatakie Xmas njema na mwaka mpya wenye mafanikio kisoka na niwakaribishe darajani mwakani.

Nawatakia Xmas njema na Heri ya mwaka mpya wa 2010 wanamichezo wote wa humu jamvini JF(Wazee wa Mamn Utd,Chelsea,Liverpool,Tottenham,Man City),Bila kuwasahau wapenzi wote wa EPL,VodaCom Premier League,Ligi ya Zenji,Bundesliga,La Liga,Eredivisie,Ligue 1,Serie A Nn.k,nwatakia mafanikio ninyi binafsi na timu mzipendazo katika mwaka mpya wa 2010...Pamo jah

...Mvina bana,

haya jamani kila la heri kwenu nyoooote pamoja Belinda Jacob, Eqlypz, Belo, Nziku na 'Manure' wote, MTM, Quemu na wa 'Bwawa la maini' wote, Shedafa na ma-'Spuds' wote, Man City na wanazi wa 'Darajani' woooote kina Masa, Ab-titchaz, Invisible...

...'washika bunduki' wenzangu wote,...wembe ule ule 2010!
 
Heri ya Noeli Gunners wote!! Natumaini tutaendelea taratibu kupeleka maumivu kwa wapinzani, tuanze na Aston villa hapo j2. Msherehekee sana, lakini remember to take care, and drive safely...
 
Heri ya Noeli Gunners wote!! Natumaini tutaendelea taratibu kupeleka maumivu kwa wapinzani, tuanze na Aston villa hapo j2. Msherehekee sana, lakini remember to take care, and drive safely...

MpigaFilimbi, asante sana......vipi Noel kwako, ilienda vyema? Natumaini Mbu, Arsene, BAK, Richard, Balatanda, Next Level, Ngwaza,Radical, Sipo, kweli n.k wamesheherekea vyema huko waliko.......nilisikia kuwa kweli, mbu na Balatanda wapo Iraq, sijui walisherekeaje huko.......tehe

Macho na masikio yetu yapo kesho na hao vijana wa Aston.
 
MpigaFilimbi, asante sana......vipi Noel kwako, ilienda vyema? Natumaini Mbu, Arsene, BAK, Richard, Balatanda, Next Level, Ngwaza,Radical, Sipo, kweli n.k wamesheherekea vyema huko waliko.......nilisikia kuwa kweli, mbu na Balatanda wapo Iraq, sijui walisherekeaje huko.......tehe

Macho na masikio yetu yapo kesho na hao vijana wa Aston.

...ha ha ha, Iraqi Insurgents hawasikii la muadhini wala mnadi swala, bora huku huku kwenye kivuli cha JF!

PAMOJA TUNAWAKILISHA!
 
MpigaFilimbi, asante sana......vipi Noel kwako, ilienda vyema? Natumaini Mbu, Arsene, BAK, Richard, Balatanda, Next Level, Ngwaza,Radical, Sipo, kweli n.k wamesheherekea vyema huko waliko.......nilisikia kuwa kweli, mbu na Balatanda wapo Iraq, sijui walisherekeaje huko.......tehe

Macho na masikio yetu yapo kesho na hao vijana wa Aston.
sikukuu tumesheherekea salama tunamshukuru mungu.kesho vijana kusema kweli watatupa zawadi kubwa sana wakishinda manake chelsea kashadondosha point 2 tena leo.
 
.......nilisikia kuwa kweli, mbu na Balatanda wapo Iraq, sijui walisherekeaje huko.......tehe

Macho na masikio yetu yapo kesho na hao vijana wa Aston.


Teh teh teh mkuu BabaMkubwa na ZeGunnaz wote heri ya mwaka mpya kutoka Baghdad teh teh teh🙂
Fabregas yuko 50-50 kucheza leo na Traore anaweza kurudi leo, hii mechi ni muhimu sana tupate point 3. Hatari ya Villa itatokana na Milner huyu mtoto yuko kwenye fomu, tunahitaji Song na Denilson wamzime kabisa huyu kijana kama tunataka ushindi. Gallas nae awe makini kwa Agbanlahor asimpe hata inchi kwa sababu akimtoka hamkamati tena. Tukiweza kuwazuia Milner, Gabby na A.Young tutaibuka na ushindi.
Nadhani timu itakuwa hivi:
-------- --------------------Almunia-------------------

---------------Sagna ------– Gallas –------ Vermaelen – ---------Traore-----------

------ -------------------------Song-----------------------
---------- -----Fabregas-----------------------------------Denilson-------

--------------Eboue/Walcott –---------------------------- Arshavin
---------------------------------Eduardo--------------------------
 
-------- --------------------Almunia-------------------

---------------Sagna ------– Gallas –------ Vermaelen – ---------Traore-----------

------ -------------------------Song-----------------------
---------- -----Fabregas-----------------------------------Denilson-------

--------------Eboue/Walcott –---------------------------- Arshavin
---------------------------------Eduardo--------------------------


Diaby!?!?!
 
fabregas atakuwa bench hayuko fit enough to start thats the bad news at the moment.


almunia,varmelen,sagna,gallas,traore,denilson,song,diaby'nasri'eduardo na arshavin.


sjapenda eduardo kuanza atarukaruka tu, mechi hiko too physical for him bora angemuanzisha eboue angesaidia kudefend pale kati na pia ana pace nzuri tu kupeleka mashambulizi.


kila la kheri wana gunners tupo pamoja.
 
Habari wakuu!! Nawaona vijana wanaingia uwanjani kwa kujiamini, bila shaka watatafsiri kwa matendo!!
 
......Arsenal team in full: Almunia (c), Sagna, Gallas, Vermaelen, Traore, Song, Denilson, Nasri, Diaby, Arshavin, Eduardo
SUBS: Fabianski, Eboue, Silvestre, Fabregas, Ramsey, Walcott, Vela.......
Ni kikosi kizuri sana hata kama Fabregas kuwa nje ni maumivu kwetu lakini kushinda game hii ni muhimu sana
 
Habari wakuu!! Nawaona vijana wanaingia uwanjani kwa kujiamini, bila shaka watatafsiri kwa matendo!!
Unajua morali wanayoingia nayo uwanjani wachezaji uwa inatoa picha ya matokeo, tazama kama kilichotokea kwa Simba juzi na mechi ya Yanga waliingia kinyonge na kweli wakatoka kinyonge baada ya 120 mins
 
MpigaFilimbi, asante sana......vipi Noel kwako, ilienda vyema? Natumaini Mbu, Arsene, BAK, Richard, Balatanda, Next Level, Ngwaza,Radical, Sipo, kweli n.k wamesheherekea vyema huko waliko.......nilisikia kuwa kweli, mbu na Balatanda wapo Iraq, sijui walisherekeaje huko.......tehe

Macho na masikio yetu yapo kesho na hao vijana wa Aston.
Ndugu BM nashukuru sana ni kweli kuwa nilisherehekea kwa amani kabisa xmass mimi na familia yangu, majirani na rafiki zangu. Naamini hapo kwako ulifanya the same. Sasa nakutakia mwaka mpya wenye fanaka, najua ushindi wa Arsenal leo utanogesha sherehe za mwisho na mwanzo wa mwaka
 
Usishangae mkuu, last time alicheza vizuri sana, naona Wenger kaamua kuweka imani kwake, so far ameanza vizuri pia leo!!
Diaby ni kijana mzuri so far tatizo tu makosa yake huwa yanaigharimu klabu hasa kwenye mechi muhimu kama hizi. But still nina imani kubwa naye tu leo na anaweza kufanya jambo la muhimu let us wait those 90 mins
 
jamani hii mechi vipi naona maji kwenye kwapa langu....duuuh! let's wait, who comes in!!!!!
 
we played good the first half but villa defended well too.defence yetu ilianza vibaya lakini baadae waka improve na wamejitahidi sana ku-intercept mipira mingi hili kuwazima wakina agbo na young.take eduardo out n bring in eboue or ramsey n we should win it.
 
Back
Top Bottom