Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Hongereni sana Man Utd kwa ushindi mnono wa leo....
6 kwa 3 ni magori meng but all ts part of the game wale jamaa ni hatari saana! Hongera kwa Pelegrini kaongeza kitu kwa The Citzen.
..COYG..
we will be back strong,wilshare cost arsenal a defeate,giroud should have score two goals
sihitaji kubishana na wewe kwenye maandishi, tutaonana uwanjani
Hahaaaaaaaaaaa......
Man Utd mnafurahisha kweli, ina maana mnafurahia Arsenal kufungwa na Man City?....
Hivi si hawa hawa Man City waliwafunga 6-1 mpaka mkaitwa Man Six?...
Nawaona wazee wa 9th............a.k.a Jezi nambari 9 mgongoni....
Watu hamjuhi na hamjagundua kuwa Arsenal huwa inafungwa na Timu zinazojituma na kucheza rafu. MAnure wao huwa wanajua sikuzote ukitaka kuwafunga Arsenal ni kuwakaba mwanzo mwisho na kuwapiga buti. Pia Angali Aston vila, Westbromich, Dotmund, Na sasa Everton wote walijituma sana na kutukaba ndio maana waliweza kutufunga.
Mechi ya Shity haina pressure hawa tutawafunga kwa kuwa wancheza mpira na hawana uwezo wa kucheza Intensy game kama Everton, man,westbrom.
Mechi ya Pensioners haina pressure sana ila tatizo ni kasumba ya Mournho kutokufungwa na WengeR tu ndicho kinacho tusumbua zaidi ya hapo, timu yao ni mbovu na tunaweza kuwafunga.
Kiujumla ukiangalia beki zote za City na Pensioners ni mbovu.
kaka salama.....niliahidi tungekuwa wote kushuhudia mpambano huu lakini shughuli zilinikabaa....nasikia u were hit for six.....!!!!!hawa man city hatari kaka.....hio wanaita 'reality check'.....poleni ndio ukubwa huo
ts part of the game mkuu na kwa sasa 2najipanga kwa game ya ijayo. All in all see you at Villa Park.
Vipi tena ndoto za ubingwa zimeshakufa? Naona mmerudi kwenye ule ubingwa wenu wa siku zote "TOP 4"Usibishane nae huyo.....Bishana na walio Top 4, Namba 9 sio size yetu sisi Nkwingwa....
Sisi wa kubishana nao sasa hivi ni Man City, Chelsea na Everton ......Hao wengine ni #Mburukenge tu
Mimi simo........
chacha nyie mlisema profu ni hatari na mchimu huu anabeba ndoo chacha.Wacha1 aka Wacha6 anaumwa ngoja nimsaidie leo
View attachment 126822
Agueroooooooooooooo alianza
View attachment 126823
Akafuatia Negredooooooooooooo
View attachment 126824
Per anataka kumchapa makofi Masudi Wazir
View attachment 126825
Kijana amechanganiykiwa
View attachment 126826
Na mwisho ubao ndio huo