Hatuwez kuchukua ubigwa kwa fowad ya Giroud kamwe
Tumefungwa kwa makosa ya kizembe sana kama Wilshere,Sagna kupoteza mipira kirahisi kabisa.....
#Beki zetu Leo hazikuwa katika kiwango bora cha mchezo....Set-pieces bado zinatushinda sana.
#Refa hakuwa fair enough...Alitunyima penati clear kabisa,goli la kwanza la City lilikuwa offside likitengenezwa
#Giroud anakosa nafasi za Wazi sana...ambalo ni kosa kwa mechi kubwa kama hii...
#Bado tumeonyesha tuna uwezo WA kufunga goli nyingi..;;
MPIRA NI MCHEZO WA MAKOSA NA CITY WAMAYATUMIA KUTUMALIZA...
Sorry Gunner
we didn't turn up today and we got what we deserve.
Hatuwezi kuwalalamikia sana waamuzi wa game pamoja na kwamba wamechangia kwa kiasi kikubwa kwenye kupoteza point tatu.
Sikuzipenda Substitutions za Wenger. In fact, Wenger huwa ni mbovu sana kwenye kubadilisha wachezaji.
Mechi tatu za muhimu katika siku sita siyo lelemama.
Lets forget and move on kwa sababu hakuna muda wa kufikiria zaidi. It's gone and we are still on top of the league.
Usiku mwema wandugu.
Once a Gunner, Always a Gunner.
Sorry Gunner
we didn't turn up today and we got what we deserve.
Hatuwezi kuwalalamikia sana waamuzi wa game pamoja na kwamba wamechangia kwa kiasi kikubwa kwenye kupoteza point tatu.
Sikuzipenda Substitutions za Wenger. In fact, Wenger huwa ni mbovu sana kwenye kubadilisha wachezaji.
Mechi tatu za muhimu katika siku sita siyo lelemama.
Lets forget and move on kwa sababu hakuna muda wa kufikiria zaidi. It's gone and we are still on top of the league.
Usiku mwema wandugu.
Once a Gunner, Always a Gunner.
nafasi ilionekana zaidi alipotoka Flamini ndio tulikwisha muda ule,
Nimeona kwenye news eti wanaulizia maamuzi ya ref na lines man wake ni ya kutatanisha
Leo wengi walitaka Arsenal wafungwe kwani timu zote kutoka Manu, Chelsea hata Liverpool walihitaji Arsenal kupunguzwa kasi
Wachezaji walikuwa wamechoka na maamuzi hayakuwa upande wetu,
nasubiri gemu inayokuja
Acha kulialia wewe,Arsenane aka Arsesix
Tembeeni mkiomba duaaa mjaaaliwe jumatatu ya tarehe 23 angalau goli zipungue zisiwe km Leo!
Hahaaaaaaaaaaa......Acha kulialia wewe,Arsenane aka Arsesix
Ndiyo maana hawaonekani hapa eh?
Au wanaingia kwa subscription?
Usibishane nae huyo.....Bishana na walio Top 4, Namba 9 sio size yetu sisi Nkwingwa....Umefufuka leo ulikuwa unaangalia kwa chati
Najuwa mburukenge leo wamejaa humu
sijalia makosa yalitokea na hata vyombo vya habari wamethibitisha
eti waandishi wakiuliza kwa arseno kuhusu uchovu wa gemu tatu kubwa lakini Coach wala hakusema kama ndio sababu tunangoja gemu nyengine
Kile nilichokuwa nimekiwaza ndicho kilichotokea...anyway hii ndiyo football!
Na ninahisi tulichokipata leo tutakipata kwa Chelsea pia. Daah nimeumia sana! Sita?