BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hahahahaha lol!!!! Huyo hajui tu huu uzi una umuhimu kiasi gani kwa mashabiki na wapenzi wa Gunners.
ah ah, ati wa wapenz wa gunners wakipeana moyo, ama kweli ngoma ya watoto huwa aikeshi, gurners mmecheza ovyooo,,,[/QUOTE]
Tumefungwa kwa makosa ya kizembe sana kama Wilshere,Sagna kupoteza mipira kirahisi kabisa.....
#Beki zetu Leo hazikuwa katika kiwango bora cha mchezo....Set-pieces bado zinatushinda sana.
#Refa hakuwa fair enough...Alitunyima penati clear kabisa,goli la kwanza la City lilikuwa offside likitengenezwa
#Giroud anakosa nafasi za Wazi sana...ambalo ni kosa kwa mechi kubwa kama hii...
#Bado tumeonyesha tuna uwezo WA kufunga goli nyingi..;;
MPIRA NI MCHEZO WA MAKOSA NA CITY WAMAYATUMIA KUTUMALIZA...
That is good analysis brother...kuteleza leo si kuanguka. By the way chelsea na Manu wameshapita hapo Eti2?
Manu walipita na nne hapo
Are you sure? Labda mashabiki wa gunner walishtukia matokeo na kuomba Mod watu awe anaruhusu watu kuingia kama kwenye lile jukwaa la kikubwa.
Invisible amesharekebisha mambo baada ya Balantanda kulalamika.Hahahahaha lol!!!! Huyo hajui tu huu uzi una umuhimu kiasi gani kwa mashabiki na wapenzi wa Gunners.
Kile nilichokuwa nimekiwaza ndicho kilichotokea...anyway hii ndiyo football!
Na ninahisi tulichokipata leo tutakipata kwa Chelsea pia. Daah nimeumia sana! Sita?