Manchester City vs Arsenal - EPL (Dec 14, 2013)

Manchester City vs Arsenal - EPL (Dec 14, 2013)

Wacha nichekeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Matokeo kama haya yalinifanya niitose 'aseno', nilijiuliza kwa nini nakosa raha kwa timu ya mzungu, nashindwa kula na kulala!: bila shaka hata leo kuna watu watafuata nyayo zangu.
 
Jamani km kawaida ngoma ya watoto haikeshiiiiiiii!

Goma limekwisha

Man city 6

Arsenal 3

Muda si mrefu tutaelekeza macho yetu Kwa mabingwa wa ulaya Wa kwanza Wa London Yani matajiri wakiwa Darajani kugawa dozi nzito dhidi ya vibnde!

Sasa watoto Wa Wenger mfufua vipaji wanaongoza Kwa tofauti ya poin 2!

Mpaka January watakua nafasi ya 3
 
Sio mbaya sana, mcheza kwao hutuzwa....na Arsenal bado wapo kileleni.
 
Matokeo kama haya yalinifanya niitose 'aseno', nilijiuliza kwa nini nakosa raha kwa timu ya mzungu, nashindwa kula na kulala!: bila shaka hata leo kuna watu watafuata nyayo zangu.
Unanikusha wale wakikuyu (kama sikosei ni msimu wa 2011-2012) walipo amua kuharakisha safari yao ya kurudi kwa baba. Sintashangaa nikisia na leo yamejirudia
 
Yaaani arsenal wamepigwa migoli kama mbwa mwizi
 
Jamani km kawaida ngoma ya watoto haikeshiiiiiiii!

Goma limekwisha

Man city 6

Arsenal 3

Muda si mrefu tutaelekeza macho yetu Kwa mabingwa wa ulaya Wa kwanza Wa London Yani matajiri wakiwa Darajani kugawa dozi nzito dhidi ya vibnde!

Sasa watoto Wa Wenger mfufua vipaji wanaongoza Kwa tofauti ya poin 2!

Mpaka January watakua nafasi ya 3

Haya nenda zako kwenye jukwaa lenu. Tuachieni jukwaa letu tupange mikakati yetu.
 
Haya nenda zako kwenye jukwaa lenu. Tuachieni jukwaa letu tupange mikakati yetu.

Asante Mkuu nakwenda!

Tutakutana tena USO Kwa USO na siku ya Arsenal v/s Chelsea!
 
Matokeo kama haya yalinifanya niitose 'aseno', nilijiuliza kwa nini nakosa raha kwa timu ya mzungu, nashindwa kula na kulala!: bila shaka hata leo kuna watu watafuata nyayo zangu.

attachment.php
 
wanakwambia ukitaka kukiona kinyeo cha kuku basi subiri upepo...
Teh teh teh leo upepo umevuma na tumekiona kinanihii cha Arsenal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom