Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,447
Naona mambo sasa yamekaa sawa. Leo mnajihakikishia ubingwa mapeeemahahahaaah!! Hilo goli la Aguero lilinipotezea umakini.
Naona mambo sasa yamekaa sawa. Leo mnajihakikishia ubingwa mapeeemahahahaaah!! Hilo goli la Aguero lilinipotezea umakini.
Nasema Ivi! Nakupa mechi 3 kuanzia hii ya Leo lazima uwe nafasi ya 3! Niko hapa jamvini utaniambia!
Siku ya kufa nyani miti yote telezaaaaaa!
Goli la pili Kwa City!
Tatizo lako unaongea sana.! Kwa vigezo gani niwe nafasi ya 3? Mashabiki wa Simba na Yanga utawajua tu!
Nakupa mechi ya Leo na ya Chelsea na Newcastle lazima upoteze! Nafasi ya 3 ni yako baba kuanzia Leo!
Naam! Arsenal Au watoto wanapoteza beki wao mahiri Kwa kuumia na Kutoka nje na linabaki lile beki refuuuuuuuuuuuuu kweli Yani Jerumani! Metusaka!!