Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Walcoooooooooooooot
1-1
1-1
Dalili za kufungwa hizo hahahaha
Arsenal wanapata nafasi lkn Hawa watot hawajui wafanye nini!
Lalala ni hatari langoni mwa watoto!
Utajiju weye na presha yko!
Naona mambo sasa yamekaa sawa. Leo mnajihakikishia ubingwa mapeeemahahahaaah!! Hilo goli la Aguero lilinipotezea umakini.
Nasema Ivi! Nakupa mechi 3 kuanzia hii ya Leo lazima uwe nafasi ya 3! Niko hapa jamvini utaniambia!
Siku ya kufa nyani miti yote telezaaaaaa!
Goli la pili Kwa City!
Tatizo lako unaongea sana.! Kwa vigezo gani niwe nafasi ya 3? Mashabiki wa Simba na Yanga utawajua tu!