Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naaam watizamaji Kwa Mara nyingine tena yule kocha Wa kufufua vipaji Au Mwalimu Wa watoto atakua na kibaruaaa kigumi dhidi ya Vijana mahili Vijana Wa dozi 7 si wengine Bali ni Vijana Wa Etihadi! Leo hapewi mtoto pipi anapewa Makande!
 
Pamoja na kuwa mimi ni mpenzi wa kufa wa Arsenal lakini sina budi kuwaambieni wanazi wenzangu wa Arsenal kuwa hii game ni ngumu sana kwetu...siyoni jinsi yoyote ya kushinda hii game zaidi ya kufungwa tu.

Any way mpira ni dakika 90 acha tusubiri tuone...ila ninauhakika hii game tunafungwa tu. Eee Mungu tusaidie!!
 
Pamoja na kuwa mimi ni mpenzi wa kufa wa Arsenal lakini sina budi kuwaambieni wanazi wenzangu wa Arsenal kuwa hii game ni ngumu sana kwetu...siyoni jinsi yoyote ya kushinda hii game zaidi ya kufungwa tu.

Any way mpira ni dakika 90 acha tusubiri tuone...ila ninauhakika hii game tunafungwa tu. Eee Mungu tusaidie!!


Pole sn Mkuu! Jipe moyo!
 
Pamoja na kuwa mimi ni mpenzi wa kufa wa Arsenal lakini sina budi kuwaambieni wanazi wenzangu wa Arsenal kuwa hii game ni ngumu sana kwetu...siyoni jinsi yoyote ya kushinda hii game zaidi ya kufungwa tu.

Any way mpira ni dakika 90 acha tusubiri tuone...ila ninauhakika hii game tunafungwa tu. Eee Mungu tusaidie!!

Uko sahihi kabisa mate...Hii ni mechi ngumu sana kweyu tangu msimu uanze...

Inabidi tuwe makini sana na Silva, Agguero, Toure, Negredo na Nasri...

Game imeanza
 
Tumekoswakoswa....

Hali ni tete, tumechezewa nusu uwanja dakika hizi 5 za kwanza.
 
Pamoja na kuwa mimi ni mpenzi wa kufa wa Arsenal lakini sina budi kuwaambieni wanazi wenzangu wa Arsenal kuwa hii game ni ngumu sana kwetu...siyoni jinsi yoyote ya kushinda hii game zaidi ya kufungwa tu.

Any way mpira ni dakika 90 acha tusubiri tuone...ila ninauhakika hii game tunafungwa tu. Eee Mungu tusaidie!!

Usikate tamaa mapema wewe ushindi leo upo.
 
Back
Top Bottom