Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Thats why it is called a Champions League you need to beat best teams to triumph..
hamna uchochoro...

Man U na Chelsea wao wamezoea vibonde ndio maana wanatushangaa wanaume tunapangwa na wanaume. :tape:midomo yenu
 
Man U na Chelsea wao wamezoea vibonde ndio maana wanatushangaa wanaume tunapangwa na wanaume. :tape:midomo yenu

Punguza pumba ,ManUnited na Chelsea wameshachukua huo ubingwa wewe endelea kuwa msindikizaji
 
Punguza pumba ,ManUnited na Chelsea wameshachukua huo ubingwa wewe endelea kuwa msindikizaji

Sasa Mkuu mbona unakariri soka, kwahiyo unafikiri Arsenal hatokaa achukue huo ubingwa? Football is beyond your thinking
 
Bad news for them,van persie nje mwezi mmoja kwa maumivu ya nyama za paja,Wenger sold an injury prone player for £24m!
 
Kwa Mara nyingine tena ile timu ya watoto Au km wajulikanavyo wapotezaji Leo tena watakua uwanjani Etihad kukamirisha ratiba Yao ya upotezaji chini ya Kiongozi wao Wa uchumi!

Mashabiki Wa Watoto kaeni mkao Wa Presha!

Asante

===========
UPDATES:

Dk 13: Man City 1 - 0 Arsenal (Aguero)

Dk 31: Man City 1 - 1 Arsenal (Walcott)

Dk 38: Man City 2 - 1 Arsenal (Negredo)

Dk 50: Man City 3 - 1 Arsenal (Fernandinho)

Dk 62: Man City 3 - 2 Arsenal (Walcott)

Dk 65: Man City 4 - 2 Arsenal (Navas)

Dk 85: Man City 5 - 2 Arsenal (Fernandinho)

Dk 90+3": Man City 5 - 3 Arsenal (Metasaka)

Dk 90+5": Man City 6 - 3 Arsenal (Per Mertesacker)

FT: Man City 6 - 3 Arsenal
 
Kwa Mara nyingine tena ile timu ya watoto Au km wajulikanavyo wapotezaji Leo tena watakua uwanjani Etihad kukamirisha ratiba Yao ya upotezaji chini ya Kiongozi wao Wa uchumi!

Mashabiki Wa Watoto kaeni mkao Wa Presha!

Asante
Usilikimbie Jukwaa tu hapo badae!! I note you!!
 
Nipo City kwa mkopo ebo mnashangaa nini nani aliwaambia mashabiki hawawezi kuazimwa kwa muda mtashangaa leo sioni mtu wa kumzuia Silva na Aguero.
 
Hii game saa ngapi wadau..mi liver naomba mungu arsenal apoteze hii game angalau nimsogelee..
 
Back
Top Bottom