Mbona maneno mengi hivyo?
Duh! leo naona watu wamefufuka aisee walikuwa wametoweka kweli!
But anyway hongeren watu wa Manure kwa ushindi.
wewe unatokea pandi zipi?
Leo kila mtu amefufuka kutowa pole hata Mossad amekuja, sawa ligi ngumu leo sina maneno lakini sikiliza maneno yangu
RVP huu ndio msimu wake wa mwisho kuifunga Arsenal hata Rooney leo alimshangaa lakini mimi ninasema huu ndio msimu wake wa mwisho kuifunga Arsenal msimu unaokuja utakuja kunieleza
mfarisayo unaua aisee...jamaa wanachungulia kwenye jukwaa lao...
Hiyo ndiyo tabia halisi ya #mburukenge, kujificha kwenye nyumba yake...
..... King'asti wewe ushabiki wako Arsenal ikifungwa tu?!....
Haya, subiria 2nd half...
Napita tu kuna mtu nilikuwa namtafuta nimemkosa.
Naona Vinyangarika aka Mburukenge mmevamia kweli humu ndani.
Niendelee kusubiri swahiba?
Mara ya mwisho ARSENAL kumfuga MANCHESTER
UNITED pale OT
- Rais wa Tanzania alikuwa Mkapa
- TBC ilikuwa inaitwa TVT
- Diamond alikuwa anaitwa
NASIBu DOMO wa TANdale
- Scandinavia ndo yalikuwa
Magari ya Kijanja
- Kulikuwa na shilika la ndege la
AIR TANZANIA
- Misanya BiNG ndo alikuwa
Presenter mkali Bongo
- Nauli ya mwanafunzi ilikuwa 50.
- Yahoo & MSN ndo ilikuwa
mitandao maarufu
- Nick Minaj alikua Flat kama
muhndi
- Nokia 3310 ndo ilikuwa Latest
Phone
- The bold and the beautful days
ndo zilikuwa Tamthilia kali
- Osama alikuwa Mapangoni
- Kulikuwa na CTN TV
- Airtel iliitwa CELTEL
- Kim Kardashian alikua BIkRA
**nimeitoa hukooo
Hongereni sana kwa ushindi......Booooommm...leo tumemuwowa mke wetu...
Cc: BAK Balantanda Wacha1 makelele alikuwa anaweweseka toka jana..alijua atakachopata kutoka kwa mme wake...
Chifu naona unashangilia kama ndo safari imeisha vile.......Duh! mfarisayo unaua kabisa...naona wenyewe wamekimbia kwao...
Wapi BAK Balantanda kashengo MwafrikaHalisi Shadow Nyaluhusa87 Piere. Fm Mutambuki Likwanda MpigaKelele Ng'wamapalala Ulimakafu godsonswai
Wote kimya....
Mm* wenu akiwa hapa, muwe na adabu.
Chifu, mbona kelele nyingi?. Ninaamini unafahamu tabia ya kabumbu. Kuna kushinda na kushidwa.Duh! mfarisayo unaua kabisa...naona wenyewe wamekimbia kwao...
Wapi BAK Balantanda kashengo MwafrikaHalisi Shadow Nyaluhusa87 Piere. Fm Mutambuki Likwanda MpigaKelele Ng'wamapalala Ulimakafu godsonswai
Wote kimya....
Mm* wenu akiwa hapa, muwe na adabu.
Chifu, mbona kelele nyingi?. Ninaamini unafahamu tabia ya kabumbu. Kuna kushinda na kushidwa.
Kwa leo sina budi kukupa pongezi kwa kunusa nusa kilele cha league kutoka sijui nafasi ya ngapi kule chini mpaka ya tano.
Yes, we missed a great opportunity to take three points back to Highbury.
Naona mfarisayo kama vile macho yamefunguliwa na hakutegemea kama Manu U wanaweza kuchukua pointi tatu.
Mpe salamu zangu na mwambie mechi haikuwa ni fainali bali ni league yenye michezo 38 na kwa sasa michezo 11 tu imeishachezwa huku Manu U wakiwa wa tano kwenye meza ya ushindi.