Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahahahaha! Raha tupu, mchumba tumechukua!

Hakuna excuse, same old Arsenal, kipa hawezi kucheza krosi, hatuwezi kucheza free-kicks na kona. Kwa kweli inauma sana. Anyway ubingwa tusahau kama kawaida nafasi zetu ni ya 3 ama 4.

Nilikuwa nasubiri kuona watoto waki-switch kama ulivyoahidi, lakini wapi sioni kitu....naona wanaangukaanguka tu!
Anyway, ni vizuri umejua nafasi zenu kwenye PL kwamba ni 3 na 4.
Poleni sana.
 
Huyu Alumnia bure kabisa yaani hatuna keeper ilikuwa ni kama vile jezi imetundikwa golini kila linalokuja ni goli.Imedhihirisha timu bado changa sana.....ohhhh its a time for Wenger TO GO.........hana jipya.
 
Huyu Alumnia bure kabisa yaani hatuna keeper ilikuwa ni kama vile jezi imetundikwa golini kila linalokuja ni goli.Imedhihirisha timu bado changa sana.....ohhhh its a time for Wenger TO GO.........hana jipya.
Mmmh! Kwa magoli hayo mliyofungwa ulitaka Almunia afanye nini hasa?! Kati ya magoli yote 3 ni lipi unafikiri ni uzembe wa kipa?
 
Mmmh! Kwa magoli hayo mliyofungwa ulitaka Almunia afanye nini hasa?! Kati ya magoli yote 3 ni lipi unafikiri ni uzembe wa kipa?
Yote 3 ni uzembe wake kipa hawasiliani na mabeki ...kwa mfano la kwanza alishindwa hata at least kuufata mpira juu kwa juu akabaki kuusindikiza kwa macho.
La pili..ilitakiwa amwambie Varme miss ili atoe yeye anarukaruka tuuu.
La tatu lililokopigwa ndo alikobana huko huko....sasa huyu ni kipa au gogo???Bora hata Manonne angekuwa golini...its also time for him(alumnya) to go.
 
Yote 3 ni uzembe wake kipa hawasiliani na mabeki ...kwa mfano la kwanza alishindwa hata at least kuufata mpira juu kwa juu akabaki kuusindikiza kwa macho.
La pili..ilitakiwa amwambie Varme miss ili atoe yeye anarukaruka tuuu.
La tatu lililokopigwa ndo alikobana huko huko....sasa huyu ni kipa au gogo???Bora hata Manonne angekuwa golini...its also time for him(alumnya) to go.

Jukumu si la kipa pekee kuongea na walinzi, bali hata walinzi wana jukumu la kuwasiliana na kipa.
Soka si ndondi au kuogelea kusema ikishapigwa kengele basi hamuongei
 
Jukumu si la kipa pekee kuongea na walinzi, bali hata walinzi wana jukumu la kuwasiliana na kipa.
Soka si ndondi au kuogelea kusema ikishapigwa kengele basi hamuongei
Tatizo lingine Gunners imejaza wakuja hakuna hata mmoja mtoto wa hapo north London mwenye usongo na timu kama ilivyokuwa kipindi cha akina Ian wright,tonny Adams,Keown etc.wote waliopo ni mamluki nomaa sana...
 
Tatizo lingine Gunners imejaza wakuja hakuna hata mmoja mtoto wa hapo north London mwenye usongo na timu kama ilivyokuwa kipindi cha akina Ian wright,tonny Adams,Keown etc.wote waliopo ni mamluki nomaa sana...

Hapa umetudanaya mkuu labda kama unaongelea wazawa wa England, lakini Ian Wright anatoke Woolwich (South east London) na Keown anatokea Oxford! Arsenal wanao English players kwa sasa kina Walcott na Wilshire. Poleni lakini.
 
Hapa umetudanaya mkuu labda kama unaongelea wazawa wa England, lakini Ian Wright anatoke Woolwich (South east London) na Keown anatokea Oxford! Arsenal wanao English players kwa sasa kina Walcott na Wilshire. Poleni lakini.
Yeah sure nilikuwa na maana wazawa wa England wanaoijua Arsenal sio hawa mamluki wanacheza huku wanawaza kuhamia Barcelona next season.
 
Yote 3 ni uzembe wake kipa hawasiliani na mabeki ...kwa mfano la kwanza alishindwa hata at least kuufata mpira juu kwa juu akabaki kuusindikiza kwa macho.
La pili..ilitakiwa amwambie Varme miss ili atoe yeye anarukaruka tuuu.
La tatu lililokopigwa ndo alikobana huko huko....sasa huyu ni kipa au gogo???Bora hata Manonne angekuwa golini...its also time for him(alumnya) to go.

Kwanini huwapi wafungaji sifa kwa kufunga magoli mazuri (Drogba na Vermaleen) badala yake unamlaumu kipa?! Hakuna goli la kipa pale, magoli ya Drogba mazuri (kipe yeyote aingezuia), la Vermaleen ni makosa ya mabeki kushindwa kudeal na cross! Yaani unashindwa hata kutoa sifa kwa A. Cole kwa mchango wake kwa magoli mawili ya kwanza?!
 
Arsenal have been raped again with Chelsea. Football is not for kids
 
Vijana wa VETA bado wanahitaji kukua, Wenger was wrong!
Na sio kila timu ni Man United! hhaaa hhhaaa; poleni.
 
Hivi Mbu yupo jamani?


Huyu hapa.....

Arsenal-v-Chelsea-Andrey-Arshavin-pain_2391176.jpg
 
When you have two strikers (RVP & Bendtner) sidelined with injuries this is what happens;

1. Confidence inashuka
2. You can not score in the same way as before so una-invite mashambulizi
3. Mabeki wa chelsea hawakuwa na any threat so the guys were thinking about scoring

Solution; buy a strong center-forward eg Agbonlahor

To me the team is still okay except injury za strikers zinatuumiza. By the way chelsea got 2 goals and were playing most of the time behind the ball, at that point it was not easy to score.

Keep your head up Gunners, winning the next game will re-build the lost confidence.

Ukiona tunasemwa sana ujue timu nzuri.
 
We keep faith in our team. I can see the light at the end of the tunnel despite the shortcomings!!
 
Poleni sana ,watoto bado hawajagraduate tunawapa misimu 2 zaidi
 
Back
Top Bottom