Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpambano ndio umeanza, yetu macho, masikio, miguu na mikono kwa wale wenye midadi!!
 
si mchezo babake...Arsenal wanatandaza soccer........i love their style
 
Ashley cole Drogba Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
baooooo la pili...duuuh...vijana pamoja na soka zuri lakini mnashindwa technique za ushindi duuhhh
 
tunahitaji kushinda mechi tunapocheza vizuri. makosa yanatuadhibu, hata hivyo ni mpira, tuna dk 45 zingine.
 
Wazee kuna nini hapa leo? Naona watu wanashangilia tu..
 
Back
Top Bottom