TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,547
- 18,665
Arsenal 2 Man City 0
Kwakweli magoli ya leo huwezi kumalumu mtu yoyote na hata hao Mancity sio kila siku wanweza kufunga vile
hizo two crackers si za kawaida, naona wenger kama anaumwa tumbo la kuhara