Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal 2 Man City 0

Kwakweli magoli ya leo huwezi kumalumu mtu yoyote na hata hao Mancity sio kila siku wanweza kufunga vile

hizo two crackers si za kawaida, naona wenger kama anaumwa tumbo la kuhara
 
Kwakweli magoli ya leo huwezi kumalumu mtu yoyote na hata hao Mancity sio kila siku wanweza kufunga vile

hizo two crackers si za kawaida, naona wenger kama anaumwa tumbo la kuhara

Duuu Tumbo la Kuhara mmmhhh
 
watoto leo walikuwa wanarukaruka tu na wahsukuru ni goli tatu manake zilitakiwa kuwa nyingi.sasa wanamecho moja ya champions league kucheza baada hapo warudi kwenye reserve league yao wasubiri mwakani tena manake wamepoteza oportunity ya kucheza mechi muhimu.
 
Kwakweli magoli ya leo huwezi kumalumu mtu yoyote na hata hao Mancity sio kila siku wanweza kufunga vile

hizo two crackers si za kawaida, naona wenger kama anaumwa tumbo la kuhara
mkuu na wewe pia humo kumsaidia masanilo kuwanga? hawa watoto ndio waliokufunga mpaka wakafika hapa mbona rafa hakujiarishia? wenger asumbuliwi kabisa na kombe la watoto hili wale wasio jiamini kama mark hughes ndio wanakuja full nondo hawaogopi injury wala fatigue.

unajua ukiwa timu kubwa mechi nyingi sana zingine kama hizi lazima utumie kuwaandaa watoto wa kwani sio.
 
wenger asumbuliwi kabisa na kombe la watoto hili wale wasio jiamini kama mark hughes ndio wanakuja full nondo hawaogopi injury wala fatigue.

unajua ukiwa timu kubwa mechi nyingi sana zingine kama hizi lazima utumie kuwaandaa watoto wa kwani sio.

"We have not won a trophy since 2005 but I don't consider that if you win the Carling Cup we parade around and say we have won the trophy. For me it is a competition where we develop our young players. I don't believe that next season if we had won the Carling Cup I would say 'we won a trophy last year'. To play in the Quarter-Final or Semi-Final or Final of the Champions League is10 times more difficult to win the Carling Cup." - Wenger
 
"We have not won a trophy since 2005 but I don't consider that if you win the Carling Cup we parade around and say we have won the trophy. For me it is a competition where we develop our young players. I don't believe that next season if we had won the Carling Cup I would say 'we won a trophy last year'. To play in the Quarter-Final or Semi-Final or Final of the Champions League is10 times more difficult to win the Carling Cup." - Wenger

Maneno ya mfa maji hayo! huwezi dharau kikombe kama hicho while huwezi kuchukua hivyo vingine, huwezi hdarau shilingi 10 wakati huna ishirini, unless utakuwa chizi, nina wasi wasi huyu babu Wenger ameshachanganyikiwa huyu. Sasa kama kwake kikombe hakina maana ndio ashindwe japo kushikana mkono na kocha mwenzake? kama sio kuchanganyikiwa ni nini sasa! Arsenal na nyie mmeshakubuhu sasa, wazee wa kugongwa 3 tatu!
 
If you are not Arsenal fan; Have you imagined before kuwa shabiki wa Arsenal,kipindi kama hiki utakuwa na hali gani?.... naona kila kona 'wanalonga kwa lugha mbalimbali kama manabiii', Lol..!, wakishinda tu, watasema mwaka huu treble yao, mkidungwa game mbili tu, mshakata tamaa, nyie vipi?..Lol!

BTW;Poleni lakini, thats soka.
 
Poleni watani mana dozi mlizofufulizwa si mchezo!..Ndiyo kandanda hiyo!!!

Shukrani Mpwa ila ndio mpira huo, mwenzako akinyolewa na tia maji kichwani, 3 mfurulizo sio mbaya ila nduguzangu Lpoor wao nao mwakumbuka walivyo tembezewa doze? hicho ni kipindi cha mpito tu kitapita, sisi tatizo letu sana ni chenga twawala zimekuwa nyingi sana.🙄

 
Maneno ya mfa maji hayo! huwezi dharau kikombe kama hicho while huwezi kuchukua hivyo vingine, huwezi hdarau shilingi 10 wakati huna ishirini, unless utakuwa chizi, nina wasi wasi huyu babu Wenger ameshachanganyikiwa huyu. Sasa kama kwake kikombe hakina maana ndio ashindwe japo kushikana mkono na kocha mwenzake? kama sio kuchanganyikiwa ni nini sasa! Arsenal na nyie mmeshakubuhu sasa, wazee wa kugongwa 3 tatu!

Ashikane mkono na mtu anayesupport mabuti ya uso.
 
If you are not Arsenal fan; Have you imagined before kuwa shabiki wa Arsenal,kipindi kama hiki utakuwa na hali gani?.... naona kila kona 'wanalonga kwa lugha mbalimbali kama manabiii', Lol..!, wakishinda tu, watasema mwaka huu treble yao, mkidungwa game mbili tu, mshakata tamaa, nyie vipi?..Lol!

BTW;Poleni lakini, thats soka.

Nadhani soka na michezo yote ndio ilivyo, kwamba kuna kuongea unaposhinda.

Mfano umewahi ona bondia anasema ntapigwa but al do my best au jamaa simuwezi, etc.

Tha is the reason hata Wolverhampton ina fans, otherwise they would have had none!
 
"We have not won a trophy since 2005 but I don't consider that if you win the Carling Cup we parade around and say we have won the trophy. For me it is a competition where we develop our young players. I don't believe that next season if we had won the Carling Cup I would say 'we won a trophy last year'. To play in the Quarter-Final or Semi-Final or Final of the Champions League is10 times more difficult to win the Carling Cup." - Wenger

and how do you expect kufika huko na hawa watoto wake. Huyu jamaa sasa anaanza kuboa where is the arsenal that went all season undefeated hawakua watoto wale.

its time he accepted the truth kids will not bring trophies hata hii carling cup once wakifika kwenye stage hizi wanagonga mwamba.

The humiliation waliopewa na chelsea jumapili inaonesha bado hawako on the same level with them or Man U for that matter.

Jana umesikia Wenger kasusa kumpa mkono mwenzake baada ya mechi, analeta hasira za kitoto kwa kuwa anashinda sana na watoto. Na funds zipo za ku-spend anauzi kwa kweli huyu babu sasa.

Anaulizwa why you refused to shake hands eti its his decision to shake or not to shake hands. Hila attitude anapofungwa tu akishinda haa hi is very happy what a pathetic french man.
 
and how do you expect kufika huko na hawa watoto wake. Huyu jamaa sasa anaanza kuboa where is the arsenal that went all season undefeated hawakua watoto wale.

its time he accepted the truth kids will not bring trophies hata hii carling cup once wakifika kwenye stage hizi wanagonga mwamba.

The humiliation waliopewa na chelsea jumapili inaonesha bado hawako on the same level with them or Man U for that matter.

Jana umesikia Wenger kasusa kumpa mkono mwenzake baada ya mechi, analeta hasira za kitoto kwa kuwa anashinda sana na watoto. Na funds zipo za ku-spend anauzi kwa kweli huyu babu sasa.

Anaulizwa why you refused to shake hands eti its his decision to shake or not to shake hands. Hila attitude anapofungwa tu akishinda haa hi is very happy what a pathetic french man.

Lakini hata mie kama tungeshinda only Carling cup this year I would not say we have ended trophy drought.

By the way let's see what happens in January 2010 kwenye dirisha dogo coz I know atasajili but the question is who? I still believe in this team!
 
Lakini hata mie kama tungeshinda only Carling cup this year I would not say we have ended trophy drought.

By the way let's see what happens in January 2010 kwenye dirisha dogo coz I know atasajili but the question is who? I still believe in this team!
mkuu unapoteza mda kujibu comments za watu nimezisoma na nimegundua wengi ni wageni kuhusu kombe la carling cup kwahio waache wabwabwaje tu na sisi tutaendelea kulitumia kombe hili kuwapa vijana wetu mechi zaidi.

its cheap kujaribu kutufananisha na man city wao wanakwambia mara mwisho kufika stage ya quarter final carling cup ni 1981 na kumbuka sisi tuna mechi nyingi sana kwahio wao hawana hasara yoyote.

kama wao wanapiga kelele kwa vile ni arsenal kafungwa basi hapo nawakubalia sawa tumefungwa na tumekubali tulizidiwa.na kuna mechi nyingine pia ya champions league wanaweza kuja kubwabwaja watoto watacheza kwa vile tushapita.

kolo toure na adebayor walikuwa wanapumzika mechi kama ya jana kwa vile sasa hivi wako kwenye timu ndogo inabidi wacheze tu hawana jinsi lol.
 
mkuu unapoteza mda kujibu comments za watu nimezisoma na nimegundua wengi ni wageni kuhusu kombe la carling cup kwahio waache wabwabwaje tu na sisi tutaendelea kulitumia kombe hili kuwapa vijana wetu mechi zaidi.

its cheap kujaribu kutufananisha na man city wao wanakwambia mara mwisho kufika stage ya quarter final carling cup ni 1981 na kumbuka sisi tuna mechi nyingi sana kwahio wao hawana hasara yoyote.

kama wao wanapiga kelele kwa vile ni arsenal kafungwa basi hapo nawakubalia sawa tumefungwa na tumekubali tulizidiwa.na kuna mechi nyingine pia ya champions league wanaweza kuja kubwabwaja watoto watacheza kwa vile tushapita.

kolo toure na adebayor walikuwa wanapumzika mechi kama ya jana kwa vile sasa hivi wako kwenye timu ndogo inabidi wacheze tu hawana jinsi lol.

we kweli una ndoto za ali nacha kama za huyu babu si ajabu ukachukua na jina lake, man city wamewafunga arsenal already in the premier league na wale pia walikua watoto au pia kombe hilo pia hawalitaki. in reality the average arsenal squad is 24-23 in most games so dont put excuses. Atumi watoto bali ana depth kwenye squad.

Man city na chelsea wao hiyo desturi ya kukuza talent kwao hiyo amna hivyo utegemei waweke watoto na vile wanahitaji kombe to justify their spending any will do.

tazama wenzao hawa watoto hata wangecheza na watoto wa Man U, ingekua tundu. mchezaji kama welbeck, Raphael, Nani au yule mtoto wa kitalioano sina uhakika na jina vizuri something like Macheba. Wangekua arsenal ni regulars on the squad. Timu ni mbovu tu na aina depth.

Kama kombe angekua alitaki asinune basi, no ana ndoto za kuamini kwamba ana uwezo wa ku win titles na watoto. Na ukweli wenyewe kila wakifika stage za kukutana na premier league ndio unakuwa mwisho wao wa ktk hili kombe. Hii ndio henri akaanza, fabregas only loyalty ndio inamuweka god knows for how long and asharvin has already expressed his feelings spending is needed. arsenal need experience now angalia the january transfer market utajua amekubali ukweli.

Sunderland 1 Arsenal 0 kisa van persie out of the team huu upuuzi inabidi uishe. Labda uiwelewe Premier League Vizuri. This season its either Arsenal or Liverpool one is going to lose on the top four sports, whatch this space.
 
Back
Top Bottom