Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Japokuwa si mshabiki wa arsenal lakini kwa heshima ya soka la uingereza ntaendelea kupiga kelele jamani timueni babu huyu anaidumaza arsenal!
 
Sasa hivi watu wamechoka, mashabiki hawatakubali tena kusubiri mpaka February ndio timu ianze kupigania nafasi ya nne. Kama uliwaona vizuri kwenye mechi ya Villa watu hawakuwa na subira mpaka dakika 90 ndipo waoneshe hasira zao. Kuna mawili, wapoteze support ya mashabiki wakiendelea na ujinga au wasajili vizuri na waache porojo. Watu waliaminishwa huu ndio msimu tutakuwa na nguvu financially na tutasajili mapema ili kujiimarisha kwahiyo patience ilizidi kupungua jinsi siku za msimu kuanza zilivyokaribia. Jana Wenger amehojiwa na Daily Mirror akasema mashabiki wapunguze negativity itawaathiri wachezaji na kutuharibia msimu lakini negativity kaileta mwenyewe kwa ukaidi wake. Sio rocket science kwamba kuanza msimu na wachezaji 15 wa kikosi cha wakubwa walio fit ni risk kubwa sana. Na wala haijachukua mechi nyingi kuonesha tuna management mbovu mno. Kwahiyo ni chaguo lake, kusuka au kunyoa lakini mashabiki hawana subira tena.

According to BBC,Arsenal Supporters' Trust DO NOT WANT ARSENE WENGER'S CONTRACT TO BE EXTENDED. AST is official club supporters and has 1100 members including small shareholders...Club didnt comment on the matter.
 
Sasa hivi watu wamechoka, mashabiki hawatakubali tena kusubiri mpaka February ndio timu ianze kupigania nafasi ya nne. Kama uliwaona vizuri kwenye mechi ya Villa watu hawakuwa na subira mpaka dakika 90 ndipo waoneshe hasira zao. Kuna mawili, wapoteze support ya mashabiki wakiendelea na ujinga au wasajili vizuri na waache porojo. Watu waliaminishwa huu ndio msimu tutakuwa na nguvu financially na tutasajili mapema ili kujiimarisha kwahiyo patience ilizidi kupungua jinsi siku za msimu kuanza zilivyokaribia. Jana Wenger amehojiwa na Daily Mirror akasema mashabiki wapunguze negativity itawaathiri wachezaji na kutuharibia msimu lakini negativity kaileta mwenyewe kwa ukaidi wake. Sio rocket science kwamba kuanza msimu na wachezaji 15 wa kikosi cha wakubwa walio fit ni risk kubwa sana. Na wala haijachukua mechi nyingi kuonesha tuna management mbovu mno. Kwahiyo ni chaguo lake, kusuka au kunyoa lakini mashabiki hawana subira tena.
cc tunakereka sn tulio mbali natamani wale walio uiengereza wangesusa hata km wameshakata tiketi mechi 2 tu wangetishika
 
Howard webb appointed for fulham vs arsenal game. Meanwhile, Anthony Taylor dropped this week, the mug cost us 3 points and koscielny .,
 
Watu wachache walinielewa humu, wengi waliona niko negative sana. Tumesahau mapema sana kuwa tungefungwa na Newcastle tusingekuwa kwenye CL qualifiers hilo pekee linaonesha kikosi ni dhaifu na kinahitaji wachezaji world class watatu au zaidi. Lakini tuna kocha ambaye anataka kutuaminisha kuwa kikosi kilichoingia CL qualifiers kwa HATI HATI kitabeba ubingwa msimu huu. Alas! Look where we are. Tunapigwa nyumbani na Aston Villa. Laumu refa, sawa. Lakini refa hakuwa anazuia wachezaji wetu kufunga. Haya ni matokeo ya kuwa na kikosi dhaifu. Una benchi lenye beki mmoja tu alafu useme unataka kubeba kombe?

Baada ya hapa, baada ya kujifanya wachezaji tunaotaka kuwanunua wako overpriced na sisi kung'ang'ania valuation zetu as if market inatungoja sisi, tunajikuta katika wakati ambapo tuko desperate kununua wakati we had all the time in the world. Huu ndo wakati tutapandishiwa bei zaidi kwa kuwa kila mtu anajua how desperate we are. Huu ndio wakati wa kununua magarasa kama yale tuliyofanyia jitihada kubwa kuyaondoa. Hii inaonesha ni jinsi gani Van Persie (and it hurts me to say this) alivyokuwa sawa kutoa statement na kusema anataka kuondoka kwa kuwa wanatofautiana direction na management. Yeye anataka makombe sisi 'just top four will do'. I apologize for thinking he is a c*nt before. **Unajua ni kiasi gani inauma kufungwa na Aston Villa na kisha kumuona Van Persie (aliyetoka kupiga goli mbili za ushindi kwenye ngao ya hisani) akiifungia Man United magoli mawili maridadi?**

On the other hand, this is not the Wenger I fell in love with. He is deluded. And as much as I think he is a great coach, he does not help himself. Wenger keeps saying hakuna "top top quality" players out there. So Higuain hakuwa "top top quality" lakini Sanogo ni "top top quality" si ndio? Madhara ya kukataa kutoa 30m pounds kumnunua Higuain tunayaona.. Leo kuna tetesi za kumtaka Michu. Unadhani atauzwa chini ya 25m? Na kuna tetesi release clause yake ni 30m?

I am really tired of this. And I do not care if this will pan out and we start doing well. Wenger has lost the hunger to win big. He is more concerned about developing his youngsters than helping Arsenal win trophies. I just think you chose your own fate. You make your own luck. We do not have to go through the same rubbish year after year. This is mismanagement of the Arsenal football club and there is no one else to blame than the board and Wenger who have allowed us to be mediocre and a laughing stock.

I feel sorry for the players who try the best to help the team ila uwezo wao unapoishia wanahitaji wachezaji wenye exceptional quality kuweza kuwafikisha level nyingine kama timu. This is why wachezaji wamekuwa wakiondoka year after year. Mwaka huu, kama tutaendelea hivi bila kusign wachezaji wa maana, tukatoka kapa, naomba niseme mapema kuwa nitawasupport wachezaji wote watakaotaka kuihama timu kwa kuwa hatuko ambitious enough. And one of the atakuwa Koscielny ambaye alishaweka wazi, "Sorround me with Champions or I'm off"!

Nataka kusupport timu yangu kwenye ups and downs lakini sio kwa mtindo huu wa kujitengenezea matatizo wenyewe. I used to be very positive about my team and the gaffer but I have had enough and I am not the only one here are others.

Mkuu, mimi nakuelewa sana maelezo yako na uko sahihi 100%

Wenger kwa sasa hana watu wazuri kwenye kufanya makubaliano na mchezaji wanaetaka kusajili, na hii ipo wazi tokea David Dein aondoke baada ya kuondolewa na bodi.

Wanakosa "Personality" ya kufanya mazungumzo na mpaka sasa Gazidis na timu yake wamefeli.

Jambo lingine ni kwamba Wenger na watu wake wanapofanya valuation ya mchezaji husika wanakuwa hawako sawa kwani soko sasa hivi linalotawaliwa na mawakala kibao wenye nguvu linaweka dau kubwa.

Ukiangalia thamani ya Higuain sio £23 milioni bali ilikuwa ni £34milioni na Napoli wakaja na hio wakamsajili, Jovetic nae wakaweka £20 lakini Man City wakaja na zaidi ya £27 milioni wakamsajili.

Mchana huu wamejaribu kuweka £12 milioni kwa Yohan Cabaye huku wajifahamu kwamba kiasi hicho ni kidogo na Newcastle wamekataa hii inakuwa kama mchezo fulani vile?

Pia wanataka kuwapa £35 milioni kwa wachezaji Michu na Ashley Williams na hio ni £25 kwa michu na 10 kwa Williams lakini huenda Swansea wakakataa valuation hiyo kwa kutaka pesa zaidi yaani £15milioni kwa Williams na £27milioni kwa Michu.

Ni soko kwa sasa ambalo limebadilika na kama Wenger na timu yake hawako makini na kufanya valuation za wachezaji basi wataambulia patupu ikifika tarehe 2 September.

Wapenzi tayari tumempa tumeandika barua kwa bodi na wameisoma na mambo mengine yameongelewa hata na Lady Nina Bracewell-Smith kwenye Tweeter (wamefuta entry hiyo), nae ameeleza kwamba anajuta kumuuzia hisa Stan Kroenke ambae anaona (Lady Smith )kwamba ni afadhali David Dein arudi kwenye bodi ya wakurugenzi ambayo kwa kweli inehitaji kuchanganya watu wa aina mbalimbali.

Mechi ya Jumamosi haikuwa ni mechi ya kuipoteza ukizingatia kwamba tulikuwa tunaongoza kwa goli moja.
 
IMO...This is too little too late

Arsenal step up chase for Yohan Cabaye as panic sets in at the Emirates

• Gunners to increase offer for France midfielder
• Oxlade-Chamberlain may be out until the new year


Yohan-Cabaye-008.jpg

Yohan Cabaye was left out of Newcastle's team at Manchester City on Monday and may well be heading to Arsenal. Photograph: Owen Humphreys/PA


Arsenal will return to Newcastle United with an improved offer for the France midfielder Yohan Cabaye as desperation sets into their attempts to strengthen the squad and with the club fearful they have lost Alex Oxlade-Chamberlain to a knee injury until the turn of the year.
An opening bid for Cabaye of around £10m was rejected by Newcastle, who described the offer as "derisory", though there is an acceptance that the 27-year-old may well leave St James' Park before the close of the transfer window on 2 September having grown unsettled at the club. He was omitted from the team for defeat at Manchester City and the Newcastle owner, Mike Ashley, while still a reluctant seller, will seek nearer £20m for a player who joined from Lille two years ago; he would hope Arsenal's bid sparks an auction for his services.

Arsenal step up chase for Yohan Cabaye as panic sets in at the Emirates | Football | The Guardian
 
IMO...This is too little too late

Arsenal step up chase for Yohan Cabaye as panic sets in at the Emirates

• Gunners to increase offer for France midfielder
• Oxlade-Chamberlain may be out until the new year


Yohan-Cabaye-008.jpg

Yohan Cabaye was left out of Newcastle's team at Manchester City on Monday and may well be heading to Arsenal. Photograph: Owen Humphreys/PA


Arsenal will return to Newcastle United with an improved offer for the France midfielder Yohan Cabaye as desperation sets into their attempts to strengthen the squad and with the club fearful they have lost Alex Oxlade-Chamberlain to a knee injury until the turn of the year.
An opening bid for Cabaye of around £10m was rejected by Newcastle, who described the offer as "derisory", though there is an acceptance that the 27-year-old may well leave St James' Park before the close of the transfer window on 2 September having grown unsettled at the club. He was omitted from the team for defeat at Manchester City and the Newcastle owner, Mike Ashley, while still a reluctant seller, will seek nearer £20m for a player who joined from Lille two years ago; he would hope Arsenal's bid sparks an auction for his services.

Arsenal step up chase for Yohan Cabaye as panic sets in at the Emirates | Football | The Guardian

Huyu La profesa mbahili ndio kaibukia huku sasa duuuu!! This is an act of desperation!
Desperate times..........................................desperate measures!
 
Yaani we acha tu Mkuu VUVUZELA...Timu ambayo ilikuwa inahitaji nyongeza ya wachezaji watatu au wanne tu ili kuweza kuchukua taji la EPL miaka michache iliyopita sasa imekuwa mdebwedo wa hali ya juu kiasi cha washabiki kuanza kusema hovyo. Mie niliishiwa nguvu kabisa walipoamua kumuuza one of the best players in the World, Van Persie. Timu kama MANU, Chelsea na Liverpool kamwe huwezi kuziona zinafanya makosa makubwa kiasi hicho cha kumuuza mchezaji wao kinara. Alichoomba VP ni msaada katika usajili ili kuweza kulitwaa taji lakini baada ya kuvumilia miaka nenda miaka rudi akaamua naye kusepa, badala ya kumsikiliza na kutimiza matakwa yake wao wakaona ni bora wachangamkie ngawira!!! Sasa wanahaha huku na kule kutafuta wachezaji.

Huyu La profesa mbahili ndio kaibukia huku sasa duuuu!! This is an act of desperation!
Desperate times..........................................desperate measures!
 
Last edited by a moderator:
it seems vijana wako poa its too earl tp givup lets wait and see,: gunners 4 life
 
Mkuu, mimi nakuelewa sana maelezo yako na uko sahihi 100%

Wenger kwa sasa hana watu wazuri kwenye kufanya makubaliano na mchezaji wanaetaka kusajili, na hii ipo wazi tokea David Dein aondoke baada ya kuondolewa na bodi.

Wanakosa "Personality" ya kufanya mazungumzo na mpaka sasa Gazidis na timu yake wamefeli.

Jambo lingine ni kwamba Wenger na watu wake wanapofanya valuation ya mchezaji husika wanakuwa hawako sawa kwani soko sasa hivi linalotawaliwa na mawakala kibao wenye nguvu linaweka dau kubwa.

Ukiangalia thamani ya Higuain sio £23 milioni bali ilikuwa ni £34milioni na Napoli wakaja na hio wakamsajili, Jovetic nae wakaweka £20 lakini Man City wakaja na zaidi ya £27 milioni wakamsajili.

Mchana huu wamejaribu kuweka £12 milioni kwa Yohan Cabaye huku wajifahamu kwamba kiasi hicho ni kidogo na Newcastle wamekataa hii inakuwa kama mchezo fulani vile?

Pia wanataka kuwapa £35 milioni kwa wachezaji Michu na Ashley Williams na hio ni £25 kwa michu na 10 kwa Williams lakini huenda Swansea wakakataa valuation hiyo kwa kutaka pesa zaidi yaani £15milioni kwa Williams na £27milioni kwa Michu.

Ni soko kwa sasa ambalo limebadilika na kama Wenger na timu yake hawako makini na kufanya valuation za wachezaji basi wataambulia patupu ikifika tarehe 2 September.

Wapenzi tayari tumempa tumeandika barua kwa bodi na wameisoma na mambo mengine yameongelewa hata na Lady Nina Bracewell-Smith kwenye Tweeter (wamefuta entry hiyo), nae ameeleza kwamba anajuta kumuuzia hisa Stan Kroenke ambae anaona (Lady Smith )kwamba ni afadhali David Dein arudi kwenye bodi ya wakurugenzi ambayo kwa kweli inehitaji kuchanganya watu wa aina mbalimbali.

Mechi ya Jumamosi haikuwa ni mechi ya kuipoteza ukizingatia kwamba tulikuwa tunaongoza kwa goli moja.



Tatizo lingine wanalokutana nalo Arsenal kusajairi mwaka huu ukiachilia mbali ubahili wao, ni kwamba walishaitangazia dunia kwa mbwembwe kwamba msimu huu wana pesa ya kumwaga na watasajili mchezaji yeyote wanaemtaka. Kwa hiyo vilabu vinajua pesa ipo ndo maana dau nalo linakuwa juu pale Arsenal wanapotaka kusajili.
 
Kwa kweli kwa upande wangu naamim the time for Arsene Wenger is Over kwasababu mara baada tu ya msimu uliopita kuisha alianza kutaja majina kibao bila kusajiri sa hivi baada ya kupata kipigo ndo kapata presha ya kusajili matokeo yake ndo atakurupuka kusajili wachezaji wengi halafu wanakuwa wabovu kama ilivynkuwa msimu aliopigwa pori nane ndo akakurupuka kusajili wachezaji watano kwa mkupuo lakin katika hao watano ni wachezaji wa wawili tu ndio wameonyesha uimara mpaka sasa, Na kipindi hiki pia naamin itakuwa ni muendelezo tu kwasababu kashapata presha kutoka kwa mashabiki atakurupuka kusajili halafu mwishowe anasajili mchezaji garasa kama ilivyokuwa kwa Park au Santos.
 
it seems vijana wako poa its too earl tp givup lets wait and see,: gunners 4 life

Duh!

Ona hapa mmoja wa wakongwe wa Arsenal anavyomruka pulofesa Chenga, oopps Wenga.

Tony Adams criticises Arsenal's playing style and calls for new wage structure at the club!

Tony Adams has his eyes on Arsene Wenger's job
By Richard Beech | 20 Aug 2013 14:36

Former Arsenal captain Tony Adams has criticised the wage structure at the club, and says that it needs to be reconsidered if the Gunners are to attract top players.

Adams also took aim at Arsenal's playing style under Arsene Wenger, claiming that Arsenal are 'too open', and calling for a more defensive style.

"The club are paying in excess of £150m on players' wages but there have been a lot of average players on £50,000 a week when the big teams now need four or five players on a lot of money," Adams told Zapsportz.com.

"Arsenal do not attract those big players because of their wages structure."

But Tony Adams defended the club's record when it comes to spending money on transfer fees.

"I know Arsene would not spend £25m on buying Bayern's goalkeeper Manuel Neuer for example, no matter how much he might need a new keeper," Adams said.

"I think that is a great policy, but the club needs to restructure its wages spend, that is a vastly different matter."

The Arsenal legend has his eyes on the Wenger's job, but said that he wouldn't be able to win with the current crop of Arsenal players.

His solution? Bring in more defensive minded players.

"Arsene plays too open. I've more of a defensive eye. That's not to say I would be defensive, but the club have bought too many players like Santi Cazorla and Tomas Rosicky and not enough Patrick Vieira types.

"One hundred per cent I'd like to be Arsenal manager.

"Of course my heart says 'yes, yes, yes', but my head says 'can I win with this current team?' My answer is no, I can't and I am not sure anyone can.

"I would want assurances if I walk through the door, those assurances meaning I'm given the go ahead to build a new team.

"I would get my teeth into building a new team but to achieve that, you would need to spend.

"To keep hitting the top four and qualifying for the Champions League is great, and Arsene has done such a great job, but there is going to come a day, and that won't be far away, when Arsene leaves.

"For a long time he has been a one-man band, but that won't happen again. The next man appointed will be the head coach, not the manager."

Source

http://www.mirror.co.uk/sport/football/news/tony-adams-criticises-arsenals-playing-2191832?utm_source=twitterfeed&utm_medium=twitter
 
Prof haendi kokote, msimu ndio kwanza tumecheza mechi moja wanoko na magazeti ya udaku ambao wamepewa mpunga na yule mrusi mjinga wanafikiri wanaweza kuwatetemesha Gunners.Kronke keshasema hamuuzii share zake yeye aendelee huko pembeni kujenga kambi lakini the programmme of Prof ipo pale pale. Msione wengi maneno mengi ni fitna pamoja na wivu.

Wote hawa kina
Chelsick peas of ants pamoja na ma-sugar daddy wao wanafikiri tutaweweseka, mechi tumepoteza moja out of 38 what is the big deal? Its a marathon. mambo yote kesho kule kwenye kuwania CL si mnachubiri tufungwe mpige tarumbeta karibuni. Hii inaonyesha jinsi tunavyoweka agenda mtashangaa wenyewe time will tell.
 
article-2397851-1B60931E000005DC-910_634x614.jpg



Shiner: Arsenal left-back Kieran Gibbs turned up
for training with a huge plaster over his left eye






article-2397851-1B609B7F000005DC-725_634x407.jpg


Striped affair - Prof. Arsene Wenger (centre) addresses
his garishly-dressed team in training






article-2397851-1B609D6D000005DC-954_634x663.jpg



Under fire: Wenger (left) has come under intense criticism
after his side's 3-1 loss against Aston Villa





article-2397851-1B60A587000005DC-737_634x371.jpg


Fighting fit: Olivier Giroud (left) and Laurent Koscielny (centre) lead
Arsenal's players on a light jog





article-2397851-1B5D0046000005DC-660_634x421.jpg


Sidelined - Alex Oxlade-Chamberlain could be out
for up to six weeks with a knee injury




article-2397851-1B60A754000005DC-531_634x487.jpg


Jack Wilshere stretches as Arsenal prepare
for the crucial play-off clash






article-2397851-1B60AE0D000005DC-308_634x400.jpg


Talking tactics: Arsene Wenger and Steve Bould (centre right)
look on as the team train






article-2397851-1B60AE06000005DC-652_634x502.jpg

Jack Wilshere concentrates as he plays a pass
to team-mate Emmanuel Frimpong




article-2397851-1B60B23F000005DC-482_634x374.jpg



Arsenal must beat Fenerbahce in the Champions League play-off
to reach the group stage





article-2397851-1B60B117000005DC-317_634x500.jpg

Down to the bare bones: Yaya Sanogo (right) and Carl Jenkinson
join in training




article-2397851-1B60A7E7000005DC-976_634x494.jpg

In full flight? Theo Walcott (left) gets his shooting boots
on as Aaron Ramsey warms up





Timu imetua Uturuki kwa mpambano wa kesho ..... .... .... .....


 
.....the Ox out miezi sita.... 🙁
Kwa Arsenal na setbacks zilivyo, huyu ndio mpaka May mwakani...
The season (and world cup dreams) are over for him!

Babu Wenger as long as 4th spot ni between us and Spurs, hana presha kiviiiile....
Kombe keshawakabidhi "top three!" Waligombee.

....huyu mzee ni akili zake au board ndio inamuongoza? maana hata tuchonge sanaaaa, at the end of a day Bank account yake inaingiza £7.5m a year!

Tungepata "ruthless" owner, akili ingemkaa sawa.


Ni wiki sita tu mkuu kutokana na habari rasmi kutoka kwa Gunners ....miezi sita majungu ya wanoko . ...
 
Howard webb appointed for fulham vs arsenal game. Meanwhile, Anthony Taylor dropped this week, the mug cost us 3 points and koscielny .,


Umeona eh! Wacha tutakomaa nao tu mwaka huu. Kumbuka ni huyu huyu refa alimpa kos red card mwaka jana ..... .. tutafika tu pamoja na vituko vyao.
 
......game ijayo Man U wakipoteza utaskia mashabiki wao wanaitaka shingo ya Moyes!

Mourinho kasema sawasawa, ligi haitabiriki...yeyote aweza adhiriwa next game....so far anakwambia kuna 6 contenders wa EPL title!

.....Arsenal tunahitaji addition angalau wachezaji watatu wapya....

Wale madogo Gnabry, Akpom na Ensfield pamoja na Ryo Miyaichi watatufaa kwenye FA na Capital One tournents
 
Huyu La profesa mbahili ndio kaibukia huku sasa duuuu!! This is an act of desperation!
Desperate times..........................................desperate measures!

Prof gani asiyekuwa na akili mbadala?Babu ovyo sana.........
 
Back
Top Bottom