Wandugu Masanja
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 1,584
- 553
hivi yule Mertesacker huwa anafanya nini pale kati tulikuwa tufungwe magoli mawili zaidi ni mzito wa kukaba, goli la tatu kama mchezaji mzoefu alikuwa ahakikishe kuna mtu wa kulinda nyuma kabla ya kwenda mbele
Arsenal wanapoteza mvuto kuishabikia inataka unazi wa kweli
Arsenal wanapoteza mvuto kuishabikia inataka unazi wa kweli