Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Prof haendi kokote, msimu ndio kwanza tumecheza mechi moja wanoko na magazeti ya udaku ambao wamepewa mpunga na yule mrusi mjinga wanafikiri wanaweza kuwatetemesha Gunners.Kronke keshasema hamuuzii share zake yeye aendelee huko pembeni kujenga kambi lakini the programmme of Prof ipo pale pale. Msione wengi maneno mengi ni fitna pamoja na wivu.
Wote hawa kina Chelsick peas of ants pamoja na ma-sugar daddy wao wanafikiri tutaweweseka, mechi tumepoteza moja out of 38 what is the big deal? Its a marathon. mambo yote kesho kule kwenye kuwania CL si mnachubiri tufungwe mpige tarumbeta karibuni. Hii inaonyesha jinsi tunavyoweka agenda mtashangaa wenyewe time will tell.
Wenzako wanacholalamika mmefungwa na Aston Villa ambayo ilinusurika kushuka daraja msimu uliopita Mmefungwa uwanja wa nyumbani na timu imecheza vibaya na hakuna matumaini.Wachezaji wengi ni majeruhi na Wenger hana habari ya kufanya usajili,wapinzani wenu Totenham,Liverpool wamefanya usajili mzuri na timu zao zinaonyesha matumaini. Unategemea nini ukija kukutana na Chelsea,Spurs,Manu au ManCity?