Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
Presure inapanda, pressure inashuka
hahahahah Tarehe 29 Nov haiko mbali.....wachumba hao!!
Presure inapanda, pressure inashuka
hahahahah Tarehe 29 Nov haiko mbali.....wachumba hao!!
...na ijeee, kichapo chenu kipo pale pale...idadi ya magoli tu imepungua!
....AW alisema November Nuksi! 😡
lakini naye kazidi u-patriotic kwa makocha wenzie!
Angalia Lampard, cashley cole, Rio, et al ...wooote hao wali pull out kwenye hizi meaningless 'internationals' kwa kisingizio cha ugonjwa/majeruhi kuji-protect na hizi unnecessary injuries!
AW alizidiwa maamuzi hata na Stuart Pearce summer, matokeo yake Theo Walcott mpaka sasa majeruhi!... tumshukuru Mungu tu Gallas na Vermaelen wapo salama, laisvyo mnhhh!!!
January ifike mapema, labda Maroune Chamoukh atakuja kuziba pengo la Van Persie... huyu (Van Persie) harudi mpaka mwisho wa Msimu...
huu ndio mwisho wa arsenal kwa wasiojua!
gonga hapa:http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/sport/football/2731068/Arsenes-hopes-torn-to-pieces.html
kila kitu kitakuwa poa mkuu geoff wala sio mwisho wa arsenal hizo habari zimeshakanushwa na hii hapa habari mpya kutoka arsenal officials wenyewe.huu ndio mwisho wa arsenal kwa wasiojua!
gonga hapa:http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/sport/football/2731068/Arsenes-hopes-torn-to-pieces.html
huu ndio mwisho wa arsenal kwa wasiojua!
gonga hapa:http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/sport/football/2731068/Arsenes-hopes-torn-to-pieces.html
Eduardo atacheza nafasi ya Van Persie na maana amekua akianza na kukaa bench na huenda mechi na Chelsea Theo Walcott nae akacheza.
Tunawasubiri Chelsea 29 November.
huu ndio mwisho wa arsenal kwa wasiojua!
gonga hapa:http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/sport/football/2731068/Arsenes-hopes-torn-to-pieces.html
Kaka mbona majeruhi wetu unawaona kama sio majeruhi vile. Nina hakika katika hao uliowataja ni Terry tu ana possibility kubwa ya kucheza, tena this weekend na Wolves, lakini A. Cole, Drogba (?), Lamps(?) na Bosingwa inawezekana wakakosa Arsenal game wote!Kwa kweli kuumia RVP ni pigo kwetu kwa kiasi, akicheza RVP tumekuwa tukicheza formation ya 4-3-3 tukifanya mashambulizi na kugeuka 4-5-1 tunaposhambuliwa, formation hii imetupa mafanikio sana msimu huu, zaidi kwenye ile mechi ya Spurs, sasa kwa vile hatuna RVP na Bendtner option inakuwa ndogo, itabidi tucheze 5 midfields na lone striker (Eduardo) akiongoza mashambulizi.
AW ana muda wa kutosha kuandaa vijana na formation kwa ugeni wa Chelski, inabidi Vela na Ramsey wajinoe vya kutosha.
France wanacheza tena Paris, versus Ireland J'tano! Wasiwasi wangu tusiongeze majeruhi (Gallas na Sagna). Mechi yao ya J'mosi iliopita kule Dublin ilikuwa ngumu, na hii ya Paris itakuwa ngumu vilevile, hofu yangu kwa Gallas na Sagna mpaka ikifika J'mosi ijayo dhidi ya Chelsea wanaweza kuwa burned-out, watakuwa wamecheza mechi 3 ngumu katika muda wa wiki (Dublin-Paris-Sunderland!) Mungu atatusaidia.Lakini Chelsea wanaonekana wamekuwa na kawoga! Eti Lampard kaumia ndegeni? ikifika tarehe 29 utawaona wote wamepona kimiujizaujiza Lampard, Terry na Drogba! Na bora tu waje na kikosi kamili ili tukiwafunga wasitafute na sababu.
Mwaka huu mtajaribu kila kitu, miaka minne bila trophy si mchezo, mtaroga sana!
Kuweka kumbu kumbu sawa ni miaka mitano trophy less!
Mkuu Mkulima najua muna majeruhi lakini kwa key players wenu pengine Ashley na Bosingwa tu ndio watakosekana lakini Terry, Drogba na Lamps nina hakika watarudi ifikapo 29/11, Drogba hajaumia ki ivo na Lampard ni geresha ya kukimbia mechi ya England friendly tu.Kaka mbona majeruhi wetu unawaona kama sio majeruhi vile. Nina hakika katika hao uliowataja ni Terry tu ana possibility kubwa ya kucheza, tena this weekend na Wolves, lakini A. Cole, Drogba (?), Lamps(?) na Bosingwa inawezekana wakakosa Arsenal game wote!
BTW, naona RVP yeye kaamua kwenda kwa mganga wa jadi ili apone haraka, anaweza kucheza mechi ya Chelsea....si unajua tena mambo ya SANGOMA.....kwi kwi kwi. Mwaka huu mtajaribu kila kitu, miaka minne bila trophy si mchezo, mtaroga sana!
Ahsante mkuu! Nini maoni yako kuhusu RVP kwenda tibiwa kwa sangoma wa Serbia kwa kutumia placental fluid massage? Desperation or stupidity?!Mkuu Mkulima najua muna majeruhi lakini kwa key players wenu pengine Ashley na Bosingwa tu ndio watakosekana lakini Terry, Drogba na Lamps nina hakika watarudi ifikapo 29/11, Drogba hajaumia ki ivo na Lampard ni geresha ya kukimbia mechi ya England friendly tu.