Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tumelikosa hili kombe sasa ni wazi msimu huu nao unapita bila kombe lakini WENGER anaendelea kuwa Manager. Truth to be said, we the GUNNERS are suffering from insanity in the sense that, we keep doing same things in the same way expecting a different result. Trash WENGER!
 
mmh! ngoja tuwasubiri hao munich tuone yatakayojiri, na kama watatuacha sijui..

Kwa timu na Manager wake tulonavyo wala sitegemei tupite kwa Munich. 2shapigwa chini tena msimu huu unapita bila kombe!
 
Huyu refa simpendi...!

.....it is now official...

Mike Dean 19 - 2 Arsenal

Huyu refa anatutia nuksi tu. Katika mechi 21 alizo officiate, tumeshinda mbili tu!

Pheww....thx God jumanne hatakuwa mtu kati na Bayern Munich.

Keep ur heads up, jumanne tutatoka kidedea....
 
It's very sad tonight. Hata watu hapa uwanjani walivyo kimya utafikili kuna matanga. SOMETHING'S GOT TO GIVE.
 
The club is managed in a prudent way.

We ask for your understanding, and we will raise the price of tickets every season.

Please continue to support the club, and sorry for what happened.

Mkuu usipotoshe umma hapa.

Arsenal kwama huu hawatapandisha bei za tiketi.

Tiketi huwa zinanunuliwa mwezi April kila mwaka na mwaka huu hakutakuwa na ongezeko.

Karibu Arsenal mkuu.
 
Useless guns, can't shoot even the headless Venky's chickens at your own backyard. What a bunch of losers!
 
.....it is now official...

Mike Dean 19 - 2 Arsenal

Huyu refa anatutia nuksi tu. Katika mechi 21 alizo officiate, tumeshinda mbili tu!

Pheww....thx God jumanne hatakuwa mtu kati na Bayern Munich.

Keep ur heads up, jumanne tutatoka kidedea....

still loading kazeni mnaweza pita bwana..
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Gunners wamejichimbia Colney wanakula mazoezi kama kawa, wanoko wanawewesekaweweseka tu hawana cha kusema. Wanachubiri mtanange wa uhakika kutoka kwa Gunners tukianza na Blackburn na kuwakaribisha wajerumani Emirates ... ... ... T5 yuko fit kwa mtanange wa J1 wakati Jack yupo 50/50 ... ....moto wa kuotea mbali huyu ... .... Kosc yupo kama Jack naye 50/50 ... .... ..... .. COYG

Wewe umeshapoteza....unaelekea kudata kabisa.

Ebu jichekeni!!!!
 

Attachments

  • 7da324bab7e29a7bccea58c33535d923.jpg
    7da324bab7e29a7bccea58c33535d923.jpg
    71.7 KB · Views: 44
mmh! ngoja tuwasubiri hao munich tuone yatakayojiri, na kama watatuacha sijui..

Bradford knocked you out
Blackburn have knocked you out
Bayern Munchen will knock you out

Remember the letter B
 

Attachments

  • 565bfe13d6017aa6a9811cc7b2808405.jpg
    565bfe13d6017aa6a9811cc7b2808405.jpg
    24.6 KB · Views: 36
.....it is now official...

Mike Dean 19 - 2 Arsenal

Huyu refa anatutia nuksi tu. Katika mechi 21 alizo officiate, tumeshinda mbili tu!

Pheww....thx God jumanne hatakuwa mtu kati na Bayern Munich.

Keep ur heads up, jumanne tutatoka kidedea....

Mbu karibu sana naona wanoko wanashehereka ati tumefungwa, chacha walipokuwa wanampa brown envelopes Mike Dean walikuwa wanafikiri nini? Wacha Invisible awaletee keki wafaidi vizuri. Gunners ndio timu pekee ambayo inaogopwa na kila timu .. .... ... tumewaachia kikombe hicho washinde kiulaini .. .. ... .. ..

MD kazi aliyopewa ni kulilia mechi za Gunners.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wakuu wa Gunners msiwe na wasiwasi na hawa wanoko wanaofikiria ni lazima tushinde kila mechi, mechi nyingine tunapoteza kutokana na ufisadi uliokubuhu pale FA ... ...kila chenye mwanzo kina mwisho.

Next Emirates CL J4 .. .... ... .. COYG.
BTW kama Mbu alivyosema ... ... ..Statisticians OptaSports:

"Arsenal have lost their lastthree cup ties when Mike Dean has been the referee and have won one of the last17 Premier League games under him."
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wakuu wa Gunners msiwe na wasiwasi na hawa wanoko wanaofikiria ni lazima tushinde kila mechi, mechi nyingine tunapoteza kutokana na ufisadi uliokubuhu pale FA ... ...kila chenye mwanzo kina mwisho.

Next Emirates CL J4 .. .... ... .. COYG.
BTW kama Mbu alivyosema ... ... ..Statisticians OptaSports:

"Arsenal have lost their lastthree cup ties when Mike Dean has been the referee and have won one of the last17 Premier League games under him."




Utalia sana mwaka huu....another trophyless season. Weka picha tafadhali.
 
Mbu karibu sana naona wanoko wanashehereka ati tumefungwa, chacha walipokuwa wanampa brown envelopes Mike Dean walikuwa wanafikiri nini? Wacha Invisible awaletee keki wafaidi vizuri. Gunners ndio timu pekee ambayo inaogopwa na kila timu .. .... ... tumewaachia kikombe hicho washinde kiulaini .. .. ... .. ..

MD kazi aliyopewa ni kulilia mechi za Gunners.

.....haha, thx bro....hawa jamaa mie hawaniumizi tena kichwa, halafu washinde wana ubavu?....
The Gunners tuna priorities zetu bana,...tunawapa all these years wapate msemo, tukianza watimulia vumbi
itakuwa balaa hapa...
 
article-2279675-179F612C000005DC-448_964x379.jpg




article-2279675-179F1B9B000005DC-382_634x404.jpg



Msaidizi wa Mike Dean .... ... .... .


article-2279675-179F1D29000005DC-173_634x456.jpg




Gerv amekosa magoli lukuki msimu huu ... .... .. .. .
Je anafaa kuvaa jezi ya
Gunners ... ...


article-2279675-179F1C0D000005DC-782_634x469.jpg




Kila aina ya fujo alifanyiwa Giroud .. ... .


article-2279675-179F1F8B000005DC-794_634x606.jpg



Rosicky back in form .. ... ..



article-2279675-179F4C8A000005DC-870_634x413.jpg




Theo . .. .. . gutted

Jack was absolutely miserable majibu J4
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom