mmh! ngoja tuwasubiri hao munich tuone yatakayojiri, na kama watatuacha sijui..
Huyu refa simpendi...!
The club is managed in a prudent way.
We ask for your understanding, and we will raise the price of tickets every season.
Please continue to support the club, and sorry for what happened.
.....it is now official...
Mike Dean 19 - 2 Arsenal
Huyu refa anatutia nuksi tu. Katika mechi 21 alizo officiate, tumeshinda mbili tu!
Pheww....thx God jumanne hatakuwa mtu kati na Bayern Munich.
Keep ur heads up, jumanne tutatoka kidedea....
Gunners wamejichimbia Colney wanakula mazoezi kama kawa, wanoko wanawewesekaweweseka tu hawana cha kusema. Wanachubiri mtanange wa uhakika kutoka kwa Gunners tukianza na Blackburn na kuwakaribisha wajerumani Emirates ... ... ... T5 yuko fit kwa mtanange wa J1 wakati Jack yupo 50/50 ... ....moto wa kuotea mbali huyu ... .... Kosc yupo kama Jack naye 50/50 ... .... ..... .. COYG
Sina maneno leo :confused2:
mmh! ngoja tuwasubiri hao munich tuone yatakayojiri, na kama watatuacha sijui..
.....it is now official...
Mike Dean 19 - 2 Arsenal
Huyu refa anatutia nuksi tu. Katika mechi 21 alizo officiate, tumeshinda mbili tu!
Pheww....thx God jumanne hatakuwa mtu kati na Bayern Munich.
Keep ur heads up, jumanne tutatoka kidedea....
Wakuu wa Gunners msiwe na wasiwasi na hawa wanoko wanaofikiria ni lazima tushinde kila mechi, mechi nyingine tunapoteza kutokana na ufisadi uliokubuhu pale FA ... ...kila chenye mwanzo kina mwisho.
Next Emirates CL J4 .. .... ... .. COYG.BTW kama Mbu alivyosema ... ... ..Statisticians OptaSports:
"Arsenal have lost their lastthree cup ties when Mike Dean has been the referee and have won one of the last17 Premier League games under him."
Mbu karibu sana naona wanoko wanashehereka ati tumefungwa, chacha walipokuwa wanampa brown envelopes Mike Dean walikuwa wanafikiri nini? Wacha Invisible awaletee keki wafaidi vizuri. Gunners ndio timu pekee ambayo inaogopwa na kila timu .. .... ... tumewaachia kikombe hicho washinde kiulaini .. .. ... .. ..
MD kazi aliyopewa ni kulilia mechi za Gunners.