Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

955702-15704318-640-360.jpg



Giroud .. .... ..



WILSHERE_1674854a.jpg


SHERE AGONY ... Gunners, midfielder jack

 
Mbu karibu sana naona wanoko wanashehereka ati tumefungwa, chacha walipokuwa wanampa brown envelopes Mike Dean walikuwa wanafikiri nini? Wacha Invisible awaletee keki wafaidi vizuri. Gunners ndio timu pekee ambayo inaogopwa na kila timu .. .... ... tumewaachia kikombe hicho washinde kiulaini .. .. ... .. ..

MD kazi aliyopewa ni kulilia mechi za Gunners.

Kweli DAMU nzito kuliko maji. Chali pwaaaa. hahahahahaha;Hivi mara ya mwisho kuchukua kikombe ilikuwa lini vile????
 
955702-15704318-640-360.jpg



Giroud .. .... ..

Hoi, "sijui nasisi tusepe?" "Samir Nasri kisha kamata ndoo,Robin van Persie nae mambo yanamwendea vizuri, ngoja summer nisepe zangu team la kikuda hili, lasivyo itakula kwangu. mwaka wa 8 huu hamna kitu, kazi kupiga piga pasi nyingi lakini vikombe tunaviona kwenye picha tu mambo gani haya".
 
hodi hodi washika ukuta oooh sorry washika bunduki wa London...
Nasikia leo Bata kameza Boga...teh teh
 
Mshaanza kumsingizia Mike Dean,kwa kiwango kile hata mkicheza na Yanga mnafungwa. Ina maana Mike Dean alimroga Gervinho asifunge magoli?
 
Utalia sana mwaka huu....another trophyless season. Weka picha tafadhali.

....yeah, tunakwenda sambamba na "Guiness World Record" ya idadi ya makocha wenu ktk miaka hii nane.

....hivi ni 8/8 ehh mpaka sasa?
 
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeees...... Wacha 1 and company...mnasikitishaje!!!!!

Eti gunners....bunduki zisizo na firing pin.lol
 
Last edited by a moderator:
....yeah, tunakwenda sambamba na "Guiness World Record" ya idadi ya makocha wenu ktk miaka hii nane.

....hivi ni 8/8 ehh mpaka sasa?





Karibu sana mkuu. Naona ulikuwa umejificha ukiomboleza kimyakimya. Ni vizuri kwa afya yako kwamba umetoka na kuja kuomboleza hadharani, angalau tunaweza kukupa pole kwa vichapo. Naona msimu wenu unaweza kuishia ndani ya wiki hii moja....ooops! Sorry, kumbe bado mnafukuzia lile kombe lenu la nafasi ya nne:becky:
 
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeees...... Wacha 1 and company...mnasikitishaje!!!!!

How? Only an I d i o t can not know that in any game there is only two probabilities.


Eti gunners....bunduki zisizo na firing pin.lol

Our record isn't that bad and we do not buy trophies.



Tuna Europa na FA still at hand...hahahahahahahahaha...

That depends on your sugar daddy if he can cough some dosh!


IN ARSENE WE TRUST :biggrin1:

Absolutely, as you can see mnawanga hapa kwa sababu anawanyima usingizi.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!
 
Bradford knocked you out
Blackburn have knocked you out
Bayern Munchen will knock you out

Remember the letter B

Kumbe hata hujui timu yako ilitolewa kwenye kombe la mbuzi au wewe ndio unacheza fainali?

Karibuni mid table

Mid-table ipi unayoiongelea? Au hii ni cup game ya wagagagigikoko wa ARPAIO SHERRIF? Tena wewe huwa huonekani hapa kwa sababu misiba imezidi kwenye katimu kako ka uchochoroni phew! Ati unakuja kono mbele kuonesha na wewe umo .. ... .you aren't there son/sister!
 
Mbu karibu sana naona wanoko wanashehereka ati tumefungwa, chacha walipokuwa wanampa brown envelopes Mike Dean walikuwa wanafikiri nini? Wacha Invisible awaletee keki wafaidi vizuri. Gunners ndio timu pekee ambayo inaogopwa na kila timu .. .... ... tumewaachia kikombe hicho washinde kiulaini .. .. ... .. ..

MD kazi aliyopewa ni kulilia mechi za Gunners.




Gervinho kasosa goli la wazi - kosa la Mike Dean.
Rosicky kagonga mwamba - kosa la Mike Dean.
Szczesny kapangulia mpira miguuni kwa Kazim-Richards ambaye kafunga kwa nafasi hiyo - Kosa la Mike Dean
Wenger kaweka bench wachezaji wake wanne wazuri - Kosa la Mike Dean.
Wenger na Board wanauza wachezaji wazuri kila msimu na kununua wabovu - Kosa la Mike Dean
It's never your fault....blame somebody else for your own fault....that's Arsenal's culture (adopted from Liverpool).
 
Kumbe hata hujui timu yako ilitolewa kwenye kombe la mbuzi au wewe ndio unacheza fainali?

Ushasema kombe la mbuzi!! Sisi hatugombanii vikombe vya namna hiyo.

We aim higher - tunacheza anga za UCL, FA na EPL titles!!
 
Back
Top Bottom