Wandugu Masanja
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 1,584
- 553
TV5 yuko 90/10 kucheza gemu ya j1 lakini Wilshere yko 50/50
Acha kukariri wewe, maneno ni hayo hayo tu kila siku!
Tunamkaribisha Gervinho na Alex Oxlade- Chamberlain.
ARSENAL TEAM NEWS vs Blackburn Rovers: Arsenal Starting XI: Szczesny, Coquelin, Vermaelen, Koscielny, Monreal, Diaby, Rosicky, Arteta, Gervinho, Oxlade-Chamberlain, Giroud
Kumbe yupo huku...Wakuu mnamkumbuka David Bentley? naona yupo kwenye bench la wachezaji wa akiba wa Blackburn Rovers.
Bentley amesajiliwa kwa mkopo kutoka Tottenham Hotspurs.
Huyu refa simpendi...!Refa wa mchezo wa leo ni Mike Dean.