Walcott, Wilshere na Cazorla wangecheza kama kawaida na Wenger angewatoa na kuwaingiza wale watatu alioanza nao yaani Gervinho, Oxdale Chamberlain na Thomas Rosicky.
Hapo kwa kweli Wenger "tactically" amekosea sana na hii haikuwa ni game la kushindwa na timu ya daraja la chini.
Kinachofanyika ni kuwapa nafasi wale "haters" wa hii club nafasi ya kutapika maneno yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.