mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
Tutachukua unasemaje? Au na huku nako unaanza kuwa na Wivu?
BTW 40 hazijaisha kuna matanga ya Chelsick.
Kila laheri
Tutachukua unasemaje? Au na huku nako unaanza kuwa na Wivu?
BTW 40 hazijaisha kuna matanga ya Chelsick.
![]()
Wakuu kama mlivyosikia UEFA wanasema 4 yrs ago mechi iliyochezwa ndani ya England bahasha zilitembea ile mbaya chacha wale waliokuwa wananilaumu mimi kwa kusema ukweli wanagwaya wanaona soni maana Manure na Chelsick ndio zao kuwanunua waamuzi na kupewa 50/50. Rejea magoli yaliyofungwa na Chelsick tulipokwaana nao pale kwenye cowshed .... ...... ..adhabu haikutolewa na faulo ilitokea goli la kwanza la pili bonge la Dive kutoka kwa nani chijui yule oscar chijui ana-mata au ni hazards tupu.
Kila chenye mwanzo kina mwisho na kabla hujafa hujaumbika.
:biggrin1: yaani wenyewe wako proud na statistics mpaka wamekuja kuziweka hapa wakati game hawajashinda and they r nowhere near the top 4 kazi kweliiii
Kuifunga Arsenal ni kazi rahisi sana hakuna haja ya kununua waamuzi
Wanalijua hilo vizuri sana ila hawana jinsi ndo kisingizio chao kikubwa ili kupunguza pressureKuifunga Arsenal ni kazi rahisi sana hakuna haja ya kununua waamuzi
Kuifunga Arsenal ni kazi rahisi sana hakuna haja ya kununua waamuzi
Unamnunua tu Wacha1 na biashara imekwisha. khe khe khe kheeeeeeeeee!!
Liverpool game allegedly investigated
February 5, 2013
Liverpool have been thrust into a worldwide match-fixing scandal, with reports emerging Europol are investigating Hungarian side Debrecen after a 2009 Champions League clash.
Danish newspaper Ekstra Bladet stated on Monday evening that Europol sources had confirmed to them that Debrecen were under investigation for their 1-0 loss at Anfield in a group stage match. It is said goalkeeper Vukasin Poleksic was approached to let in at least three goals in order to trigger an 'over 2.5 goals' bet, but on the night Dirk Kuyt's strike was all that separated the teams.
Further to the report, Poleksic received a two-year ban from UEFA for failing to report a match-fixing approach later in the group stage when the Hungarians went down 4-3 to Fiorentina. The Telegraph newspaper claims German police have already established that match was subject to match-fixing from a Croatian-led crime syndicate.
Hao unawaita mashoga kila wakikutana na wewe lazima wakubake,na tutaendelea kuwabaka hatutawasamehe hata mkiendelea kulialia
Mbona timu yako ya mshoga unaiacha si uweke hapa ... ... kuhusu brown envelopes na wale walio kwenye pay roll ... .... .... .. khe khe khe kheeeeeeeeeeee chijui mtakimbilia wapi mwaka huu ... ..
Mbona timu yako ya mshoga unaiacha si uweke hapa ... ... kuhusu brown envelopes na wale walio kwenye pay roll ... .... .... .. khe khe khe kheeeeeeeeeeee chijui mtakimbilia wapi mwaka huu ... ..
Kamuulize Fungie atakwambia khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
Wacha1 gervinho tumemrudisha haya mlalamike tena....
Oooops chikukuona . ... .. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeee kuhusu Gerv. prof katema haya ... ... ... ''on Gervinho…
Gervinho has arrived back [from the Africa Cup of Nations] on Friday but he is not in the squad for Sunderland. We have given him five days off.'' ... .... .. Chacha masemaje?
Tina wachezaji lukuki usitie shaka ... ... ... ... .. ....