Husda na wivu ndio unaowakosesha wapinzani wetu usingizi yale mambo ambayo Prof anafanya. Manure chacha hivi uwanja hawana, ati wanachubiri summer ndio waweke nyasi mpya wakati ndio kwanza tupo katikati ya msimu ... .. talk about planning, ndio maajabu ya Old Trashford. Chacha Fungie kabla ya mtanange wake ameonekana na camouflage pale Emirates kazee kazima kanakula chewing gum kama katoto kadogo ... .. pathetic! Washukuru Brown envelopes bila hivyo kilio kingesikika kwenye jua. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Chichi Gunners ahhhh mambo mswano chitaona kama watafuzu na hizo brown envelopes zao kwenye CL.
BTW pics zinawaumiza wapinzani wetu hivyo hawaturuhusu , anayeruhusiwa niMungiki Brotheret al. COYG msijali wamebana wataachia khe khe khe khe kheeeeeeekama kawaida yao.