MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
Ni kweli mkuu, LFC wametoka nyuma magoli mawili pale Emirates!
Match Stats: Possession: Arsenal 56% - Liverpool 44%
Shots: Arsenal 21 - Liverpool 10
Shots on target: Arsenal 11 - Liverpool 5
Ni kweli mkuu, LFC wametoka nyuma magoli mawili pale Emirates!
Match Stats: Possession: Arsenal 56% - Liverpool 44%
Shots: Arsenal 21 - Liverpool 10
Shots on target: Arsenal 11 - Liverpool 5
Statistics zenu ni hizohizo toka 2005!!!!!!
Statistics zenu ni hizohizo toka 2005!!!!!!
pole sana mkuu! :becky:
Coyg!
Zaidi ya huyu ni mchezaji gani mwingine tunamfukuzia?Muda wowote kutoka sasa,beki wa kushoto wa malaga Nacho Monreal 26yrs atatua emirates kwa dau la pauni milioni 10,stay tuned!
Zaidi ya huyu ni mchezaji gani mwingine tunamfukuzia?
Bila Gibbs kuumia nadhani tusingesajili. Yule Diame hata ku-bid tumeshindwa?
Hatuko serious kweli nia yetu kumaliza wa nne.
Wakuu mpoo!
Muda unazidi kuyoyoma na mambo bado kimya.
Mzee Wenger hataki kabisa habari yoyote ile kuvuja.