Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nacho Monreal hawezi kucheza kwenye CL ila atacheza Premier Leaguena FA Cup.

Hiyo inamaanisha kwamba ngome ya Arsenal itakayocheza na Bayern Munich itaundwa na Sagna, Mertesacker, Koscielyn na Vermaelen ambae itabidi acheze kama beki wa kushoto.
 
Bila Gibbs kuumia nadhani tusingesajili. Yule Diame hata ku-bid tumeshindwa?

Hatuko serious kweli nia yetu ni namba nne.

:biggrin1: mi sielewagi mind ya wenger hua inafanyaje kazi alafu inaelekea uamuzi anafanya mwenyewe sio bodi wala washauri wake wanamsaidiaga...

alisema striker safari hii ni a must what happened? defensive midfielder? hapana...kuna uozo pale central defence kanunua center half? hapana hapana kaenda kununua left back...ONLY ARSENE KNOWS!!
 
:biggrin1: mi sielewagi mind ya wenger hua inafanyaje kazi alafu inaelekea uamuzi anafanya mwenyewe sio bodi wala washauri wake wanamsaidiaga...

alisema striker safari hii ni a must what happened? defensive midfielder? hapana...kuna uozo pale central defence kanunua center half? hapana hapana kaenda kununua left back...ONLY ARSENE KNOWS!!

Mind ya Wenger ina mpango wa kuondoa wachezaji wote ambao ni flops kama Arshavin, Chamakh, Djourou, na Squillaci.

Tatizo Chamakh analipwa 60,000k kwa wiki na pamoja na kwamba yupo West Ham ni Arsenal ndio wanamlipa mshahara huo.

Arshavin nae analipwa 90,000 kwa wiki na ameshindwa kabisa kucheza mpira, hivyo kuwa substitute.

Wenger anaamini kwamba timu ya sasa ina wachezaji ambao wameiva na wanaweza kucheza kwa ushindani, bila kutambua kwamba DM hatuna tokea Alex Song aondoke.

Hivyo set up ya timu haina tatizo isipokuwa kukosekana kwa DM mwenye nguvu na ambae ataweza kuzuia mashambulizi.

Kwahio anataka kufanya usajili wa DM ifikapo July.
 
:biggrin1: mi sielewagi mind ya wenger hua inafanyaje kazi alafu inaelekea uamuzi anafanya mwenyewe sio bodi wala washauri wake wanamsaidiaga...

alisema striker safari hii ni a must what happened? defensive midfielder? hapana...kuna uozo pale central defence kanunua center half? hapana hapana kaenda kununua left back...ONLY ARSENE KNOWS!!

Nacho, nacho..😀😀😀😀😀😀
 
January was a time when Arsene Wenger strengthened the squad to maintain his challenge for a Champions League place and although he brought in a player, it simply wasn’t enough and it has been claimed that the Frenchman made a move to try and sign another top-quality striker, in the dying moments of the window.
“We were close to one more signature, yes,” revealed Wenger.
“It did not happen because of the desires of the clubs to sell or not to sell, it is only linked with that.
“It was not a money problem, it was more a desire from other clubs to keep their players.” (Daily Mirror)

For some reason, which many can’t understand, Wenger decided to leave it until the very last minute to buy players and nobody can see the point of that. But the chance to sign David Villa was right there and because he left so late. He missed out on one of the best strikers in the world and has left many fans questioning whether he is the man for the job
 
[h=1]Tasty Nacho[/h][h=2]
monreal_1665301a.jpg
[/h]NEW MAN ... Nacho Monreal
 
vipi gemu leo? pale kati bado hakuna mbakaji, juzi tumeona goli la mwanzo Sagna makosa yake yamewacha Ramsey atowe pande na kurudi tena kwa Sagna kuongeza makosa
Lini Arteta anarudi?
 
Team News Vs Stoke

Arsenal team: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Diaby, Arteta, Wilshere, Oxlade-Chamberlain, Walcott, Giroud

Arsenal subs: Mannone, Jenkinson, Santos, Ramsey, Rosicky, Cazorla, Podolski
 
Team News Vs Stoke

Arsenal team: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Diaby, Arteta, Wilshere, Oxlade-Chamberlain, Walcott, Giroud

Arsenal subs: Mannone, Jenkinson, Santos, Ramsey, Rosicky, Cazorla, Podolski

Naona Carzola leo kapumzishwa. Tuombe Mungu Koscienly na Mater waelewane.

Kila la kheri gooners wenzangu; mie siwezi kuona game leo nawategemea kwenye uchambuzi wa game sana sana kuhusu beki wetu mpya wa kushoto
 
Naona Carzola leo kapumzishwa. Tuombe Mungu Koscienly na Mater waelewane.

Kila la kheri gooners wenzangu; mie siwezi kuona game leo nawategemea kwenye uchambuzi wa game sana sana kuhusu beki wetu mpya wa kushoto
Usijali mkuu, hapa utapata updates zote. Hope leo hawa Center backs hawatatuzingua. Tuombe mungu pia asiumie yeyote kati yao cuz hata bench hamna namba 4 wala 5!
 
Please my dear club,i need my birthday gift from you coz it is my birthday today!
 
Naona ni HT na bado hakijaeleweka. Diaby n Arteta playing well at midfield! Chambo with decent shots. So far kipa wa Stoke ndiye man of the match
 
Back
Top Bottom