Aren't: Nchimbi be careful

Aren't: Nchimbi be careful

Yaani nyie kila siku ni chokochoko TU..mkitoka huku mnahamia kule mnarudi huku ilimradi nchi isitàwalike..nchimbi ni msaidizi wa mama mpaka 2030 then nae ataanza 2030 mpaka 2040
Nchimbi hawezi kuwa Rais wa kuchaguliwa, unless kitokeee kitu kingine.
 
Nchimbi be careful

Wherever you do, you go, you sleep, you eat,you drink

They what to do something then after election you will sleep then...

Na wataweka the man of their Network.

ili kuendelea kutubagaza because wewe umekuwa na power kwenye vyombo ingawa wewe Ni mwenzao nikwambie wanaogopa utawageuka.
Unaweza kuwa sahihi! Ila waanzilishi wa mtandao ni pamoja na yeye akiwa loyalist wa nzee ya nsoga, akiwa chairman wa UVCCM. Nsoga aanze, afuate mamvi, akamilishe imma. Mungu nifundishe kukaa kimya
 
Nchimbi be careful

Wherever you do, you go, you sleep, you eat,you drink

They what to do something then after election you will sleep then...

Na wataweka the man of their Network.

ili kuendelea kutubagaza because wewe umekuwa na power kwenye vyombo ingawa wewe Ni mwenzao nikwambie wanaogopa utawageuka.
Kwani Nchimbi mwenyewe hana akilizake za kufikiri? Atakubali vipi kulinajisi taifa hili hadi kufikia hatua hii bila ya yeye mwenyewe kujuwa anacho fanya.

Mbona atakuwa ni mtu bwege sana kujiweka kwenye nafasi mbovu kama alivyo jiweka sasa bila ya kujitambua!
 
Unaweza kuwa sahihi! Ila waanzilishi wa mtandao ni pamoja na yeye akiwa loyalist wa nzee ya nsoga, akiwa chairman wa UVCCM. Nsoga aanze, afuate mamvi, akamilishe imma. Mungu nifundishe kukaa kimya
Hapana. Usikae kimya huko kutakufanya mshiriki wa uovu juu ya taifa lako na waTanzania wenzako.
Haya unayo sema hapa siyo siri, ni mambo yanayojulikana siku zote.
Labda sema tu kwamba unakumbushia watu waliosahau historia hiyo uliyo ieleza wewe.

Sasa nami nauliza. Nchimbi huyu alihusika vipi kumwondoa roho Ipyana; kijana wa Malicela; maana kifo kile kilikuwa ni wazi kilitokana na misuguano ya utafutaji wa nafasi hiyo ya uenyekiti wa vijana wa CCM.

Ni hao hao "Mtandao" walio mfanyia kazi hiyo Nchimbi?
 
Nchimbi be careful

Wherever you do, you go, you sleep, you eat,you drink

They what to do something then after election you will sleep then...

Na wataweka the man of their Network.

ili kuendelea kutubagaza because wewe umekuwa na power kwenye vyombo ingawa wewe Ni mwenzao nikwambie wanaogopa utawageuka.
He is the man who will be running the show!.
P
 
Nchimbi be careful

Wherever you do, you go, you sleep, you eat,you drink

They what to do something then after election you will sleep then...

Na wataweka the man of their Network.

ili kuendelea kutubagaza because wewe umekuwa na power kwenye vyombo ingawa wewe Ni mwenzao nikwambie wanaogopa utawageuka.
TUmalize na slowslow chitori ingine zoote ichubiri,tutaikutamooo
 
Hata zile rumours zilizopita hapo katikati kabla ya kuchukua fomu kuwa Nchimbi anataka kumpindua mama, wanamtandao wamezitunza rohoni. Watamjibu kwa namna ya tofauti sana.
Nitakwambia kwa nini Nchimbi hana lolote la kuogopa toka kwa wanamtandao wenzake.
Huyu wanamhitaji sana, na wataendelea kumhitaji sana huko mbele za safari kutimiza mipango yao.
Nchimbi kama hataonyesha dalili za kujinasua kwenye kundi hilo, ni 'asset' muhimu katika mpangilio wa wao (mtandao) kubaki madarakani.

Ukimwondoa Nchimbi, ni lazima umpate 'substitute' wake atakaye shikilia kwa miaka 10 akiwa kibaraka wao kabla ya kumpa nafasi mtoto wa Kikwete kuendelea madarakani.

Haya yote mTandao wanadhani yatawezekana bila ya waTanzania kukataa upumbavu huo.
 
Watauwa wangapi. Ndo kusema wameapa kuwamaliza wagalatia popote walipo ?????? !!!!!!!
Hapana. Ni kuwatafuta tu wanao endana na mahitaji yao; mbona wapo wengi tu!

Kuua ni pale inapolazimu; mhusika akionekana kuwa na msimamo hasi dhidi ya kundi na maslahi yao..
 
Hizo inteligensia za kuchunga nani anamuua nani au kumpindua nani tungeziweka kwenye utunzaji wa rasilimali zetu na kupigia kelele wezi (ukizingatia wote wanaiba) nadhani tungekuwa tumepiga hatua kuliko tulipo sasa..
 
chadema huu ujinga mnaleta mtandaoni hautawasaidia kitu ndugu zangu jikiteni kuimarisha kijiwe chenu
 
it makes sense, ukichukulia ni Christian, id be careful kama ningekuwa yeye ...
Inakuwa rahisi kuli'frame' kama ulivyo fanya hapa; ambayo imekuwa ni 'tragedy' ya taifa letu sasa hivi.

Nielewavyo mimi hili kundi haijalishi ni mtu wa dini gani; kama anatishia maslahi yao, huyo hata angekuwa ni sheikh mkuu atashughulikiwa tu!
Mzee Kibao hawakuwa na huruma yoyote naye; kwa vile alighusa maslahi.

Naomba unielewe ninacho jaribu kueleza: hili swala la udini watapenda sana kulitumia kufarakanisha waTanzania kwa sababu kwa kufanya hivyo wao wananufaika; kama sasa hivi wanavyo muinua Samia Suluhu Hassan; lakini lengo lao kuu ni maslahi yao tu.
Kikwete sikumbuki kama hakuwapa joto ya jiwe baadhi ya waislam wenzake wakati wa utawala wake. Sasa hivi, pamoja na kuwatumia hao hao waislam kujiegemeza kwake; lakini lengo ni kupata manufaa binafsi kupitia mgongo wao.
 
Nchimbi anawinda Urais kwani katiba ya Tanzania itampa Urais pindi Utabiri wa Sheikh Yahya ukitimia mama kuwekwa Bench yeye kuwa Rais ndipo kesi nyingi mfululizo za ufisadi zitafunguliwa ili kuisafisha ccm, watu wengi watafungwa Nchimbi akiwa Rais
Ina maana wwewe unamsoma tofauti kabisa Nchimbi, kuliko wanavyo msoma hao wanaomtumia sasa hivi?
 
Wanachotetea ni haki au ????
"HAKI"?
Mbona hili neno matumizi yake sasa yanatafutiwa maana tofauti kabisa na ile inayosimamiwa na neno hili miaka yote?
Kwa mfano: Samia sasa hivi anahangaika sana kutafuta "HAKI"; anawapa waTanzania fursa nzuri kabisa ya kumchagua yeye kwa HAKI; ndiyo maana anahangaika kufanya kampeni hizi kubwa kila siku!

Hii ndiyo maana ya HAKI sasa!
 
Back
Top Bottom