Aren't: Nchimbi be careful

Aren't: Nchimbi be careful

Yaani nyie kila siku ni chokochoko TU..mkitoka huku mnahamia kule mnarudi huku ilimradi nchi isitàwalike..nchimbi ni msaidizi wa mama mpaka 2030 then nae ataanza 2030 mpaka 2040
Hakuna wa kumpa hio room 2030, Watu wako tayari kutoa maini ya Watu Ili wawache watu wao kwenye kiti Kikuu,
 
Kama hamjui huyo jamaa n mwana wa Wanamtandao ndio anaandaliwa kama itatokea bahati mbaya basi yeye ndie aje kuwa kifupi Wanamtandao wanaongoza 5-0 mpaka Sasa hv sub uliopo nje ni Moja tuu na inaweza kufanya comeback ya maana ni wewe tuu mtanzania.
Hao kugeukana ni muda wowote tu aisee, Ukizingatia Mkwere umri umesogea panaweza kuwa na Series ya Matukio mengi sana Kuelekea 2030 tutakuwa surprised kuona CCM inamleta Rizimoko kama Flag bearer mana Ile signal ya Mzee wake kumsifia hadharani kuwa amepita bila Kupingwa inaleta Ukakasi sana
 
Mchezo wa kuwahiana. Kuna siku bendera inaweza kusimamia at half-mast kwa either of them. Atakaye muwahi mwenzake.
Kumbuka huyu nae ni mbobezi anaonekana kama fala but sio fala kiivyo ova
 
Wana mtandao wa watu wengi, Simbachawene vipi hafiti nafasi ya Vp au Mp?
Wapo wengi tu walio tayari hata kumtumikia shetani mwenewe mradi wakidhi mahitaji yao; bila kujali taifa lao linapitia hali gani.
Kwani akina Kabuti Kalamaganda hatuwaoni?
Wakati wa Magufuli hao hao walijivika uzalendo kushinda wengine wote; ukiwauliza leo bila hata ya aibu watakupigia hadithi za kipumbavu.
 
Wapo wengi tu walio tayari hata kumtumikia shetani mwenewe mradi wakidhi mahitaji yao; bila kujali taifa lao linapitia hali gani.
Kwani akina Kabuti Kalamaganda hatuwaoni?
Wakati wa Magufuli hao hao walijivika uzalendo kushinda wengine wote; ukiwauliza leo bila hata ya aibu watakupigia hadithi za kipumbavu.
Kabudi ni mpumbavu alikua anatoa namuona yule pale ukutani anaeonyesha picha ya Nyerere ikulu siku ile sio wa kumbagaza lile zee mpumbavu sana now limeweka mkia matakoni lile zee nafiki sana
 
Kama ni mtu wa haki atasimama imara na atashuhidia anguko la waovu, kwakua imeandikwa hivyo kwenye Biblia
 
Yaani nyie kila siku ni chokochoko TU..mkitoka huku mnahamia kule mnarudi huku ilimradi nchi isitàwalike..nchimbi ni msaidizi wa mama mpaka 2030 then nae ataanza 2030 mpaka 2040
sw Ridhione tumekusikia
 
Back
Top Bottom