X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,809
Kwani ni kosa ndugu yangu, uoni hata huyo aliyelitumia hajui maana yake?X-Paster,
Unaishi dunia gani wewe, hujuwi hata maana ya "kufulia"? Kiswahili kinakua kila kukicha rafiki yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni kosa ndugu yangu, uoni hata huyo aliyelitumia hajui maana yake?X-Paster,
Unaishi dunia gani wewe, hujuwi hata maana ya "kufulia"? Kiswahili kinakua kila kukicha rafiki yangu.
Kwani ni kosa ndugu yangu, uoni hata huyo aliyelitumia hajui maana yake?
Poa, ila Pape alikuwa anaingilia hapa na kutokea pale... Naona katumia neno hata yeye alikuwa alijui maana yake.Siyo kosa lako kwa kweli rafiki yangu, maana kila kitu ni kujifunza. Naona dada Preta ametoa maana yake na mimi nikaongezea kidogo nafikiri sasa umeelewa maana yake vizuri.
Ha ha haa......... nimecheka sana eti Mbatia na Mrema wote watang'ang'ania uenyekitiDuh ngoja iendelee kuwa tetesi mpaka siku ipite.
Mbatia na Mrema wakihami wote watataka kuwa wenye viti.
Luteni said:Akizungumza na gazeti hili jana, Mrema alisema sababu za kuhama vyama vyao ni kutokana na kukosekana kwa ushirikiano imara wa kuiondoa CCM madarakani na kuwapo mitafaruku ya hapa na pale katika vyama hivyo.
Luteni said:Kiyabo alipoulizwa juu ya hatua hii ya kupokea vigogo hao wa kisiasa kujiunga na chama chake, alitabasamu na kushindwa kuzungumza zaidi ya kumwambia mwandishi wa habari hizi: "Nina furaha sana lakini kwa kuwa kesho (leo) ni Aprili mosi,
ahmadnajab Rais wa Iran atakuwa mgeni rasmi wakati wa mapokezi ya akina Mrema, Mbatia na Mapalala
sii hipendi sana hii siku.-Leo ni Siku ya Wajinga Duniani- Mhariri Source : [URL said:http://habarileo.co.tz/kitaifa/?n=6467[/URL]