Janja ya nyani kwisa gundua... kula ndisi peke yakeKwa watumiaji wa Voda/TiGO/Zain/Zantel/TTCL; leo mtapata nafasi ya kupiga simu bure kuanzia saa 00:00-00:30 hrs kwenda namba yeyote ile mahali popote pale duniani! Ukisoma tangazo hili mwarifu na mwenzio!
***Don't miss your chance!
Utafulia ndio nini!?hehehehe, dont miss your chance! opportunity comes once in a lifetime!
mkuu, hapo utafulia!
na hauwezi kupata mjukuu mpaka uwe na mtoto kwanzaMajuto ni mkuu!
Sasa wee Pape ndio nini hivyoo, mi nakuuliza wewe unacheka...! Utafulia ndio kitu gani hichoo?
Hivi huwa ukiulizwa huwa ujuwi kujibu? Kama na wewe ufahamu tuwaachie wenye kujuwa watufahamishe.Hahahaha! You are kidding!
Majuto ni mjukuu!
Sasa wee Pape ndio nini hivyoo, mi nakuuliza wewe unacheka...! Utafulia ndio kitu gani hichoo?
kufulia maana yake ni kuishiwa fedha (kuchacha) japo watu wanaitumia kwa matumizi mbalimbali lakini maana halisi ni hiyo