The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
2018 ni offline
2018 ni offline
Ingia hapa

ukiweza nistue
Ila mm inanizingua mkuu, kwn we unayo ya mwaka gn
Hii ni online au offline mkuu
Hio link aliyoweka chief mkwawa ni online au offlinetoxic9 mkuu Chief-Mkwawa aliwapa link easy sana kuhack hilo game na unapata coins hutazimaliza mpka unafika elite division..
Hyo ni online au offline
Naomba link ya hii km ni offline mkuu
both offline and onlineHyo ni online au offline
Wakuu hakuna game kali ya soccer km Pess wakuu narudia tena hakuna, nimei download dls kwakweli haiwezi kuifikia Pess hata kdg.both offline and online
Kifupi mkuu games za android zipo kimaslahi zaidi, kama una simu kali jaribu pes 2013 ama fifa 15 za Nintendo wii kupitia dolphin, otherwise psp.Wakuu hakuna game kali ya soccer km Pess wakuu narudia tena hakuna, nimei download dls kwakweli haiwezi kuifikia Pess hata kdg.
Ni offline ila nimepumzika kwenye haya madude mkuu..,Ni kitambo.Naomba link ya hii km ni offline mkuu
Mkuu online inachezwaje?Ninalo 2019 nilicheza na mtanzania mwenzangu online nilimpiga magoli mpaka akanikimbia kenge yule alifikiri Mimi wakuja
Ila sio siri online gumu kichizi kuna mimtu inagada kule mpaka myengine kabla hata mechi haijaanza unajua tu hapa sitoboi![]()
Ukifungua gemu si linakuletea zile option tatu Kuna ile ya kwanza unacheza offline ya pili ndo utaclick hapo unacheza online na pia unaweza cheza na mtu kwa kuunganisha Wi-Fi.. I mean hapo utakuta pameandikwa local multiplayer hapo achana napo we click juu kwenye hilo li jedwali likubwa huku data zikiwa on ndo watakuunga na mchezaji mwengine ulisakate..
Ni za offline mkuu?!Wakuu hakuna game kali ya soccer km Pess wakuu narudia tena hakuna, nimei download dls kwakweli haiwezi kuifikia Pess hata kdg.
Okey mkuu kuna mtu kakimbia mechiUkifungua gemu si linakuletea zile option tatu Kuna ile ya kwanza unacheza offline ya pili ndo utaclick hapo unacheza online na pia unaweza cheza na mtu kwa kuunganisha Wi-Fi.. I mean hapo utakuta pameandikwa local multiplayer hapo achana napo we click juu kwenye hilo li jedwali likubwa huku data zikiwa on ndo watakuunga na mchezaji mwengine ulisakate..

He he.. hiyo kawaida wanakulaga Kona wakiona maji shingoni😂Okey mkuu kuna mtu kambia mechi
Timu yangu Rahim fc
Mwingine nimemchapa, hapo kama unavoonaView attachment 1441774View attachment 1441775
Sent using Jamii Forums mobile app
Elite divisionHe he.. hiyo kawaida wanakulaga Kona wakiona maji shingoni
Hata Mimi nakulaga kona Kama kipigo kimezidi
Upo division ya ngapi..?