Apk ya Dream League soccer 2017

Apk ya Dream League soccer 2017

092830c7202e0cad8b1138a60d587c2a.jpg

1.Anza kwa kudownload lucky patcher

a6ab5d4ccacb1d6a018f54e8d914d375.jpg

2.Then ifungue app ya lucky patcher na utafute Dream league ilipo

3de1d977ec2e6697f8aedcb5bdffcc0f.jpg

3.Fungua sehemu ilivyoandikwa hivyo

6946160e6a3e18a78bd684f098921737.jpg

4.Bonyeza sehemu iliyoandikwa Create Apk kama nilivyomark

af7f17a8d83b6de6f027c3148b31b986.jpg

5.Bonyeza sehemu iliyonyoandikwa hivyo

8c03934c38442b7684f17543d997c511.jpg

6.Bonyeza rebuild up na uiache iprocess kama kwa dakika 2 nzima
Ikimashamaliza itakuletea option ya kuinistall/unstall game
Fanya hivyo



f8afa8e3a1ee9b4edc73bd680e0e6f44.jpg

Likisha install rudi nyuma kawaida na ufungue App ya DLS kawaida.
Likishafunguka na ukasajili captain wako bonyeza pale kwenye COINS

7a6a4307b55caaa63236d938d365cdad.jpg

Ukishabonyeza kwenye COINS itakuletea hiyo option na weka TICK kama nilivofanya hapa
Ni comment yako zamani Ila bado inaishi na itaendelea kuishi. Sasa mkuu binafsi nimefuata utaratibu wote mpaka pale kuunstall na kuinstal na kurudi kwenye DLS yenyewe na kuifungua ili nisajili captain alafu niende kwenye coin, lakini baada ya kuifungua inaniniletea ujumbe "download paused because no network is available" wakati Nina MB za kutosha na Data iko on
Nifanyeje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninalo 2019 nilicheza na mtanzania mwenzangu online nilimpiga magoli mpaka akanikimbia kenge yule alifikiri Mimi wakuja😜
Ila sio siri online gumu kichizi kuna mimtu inagada kule mpaka myengine kabla hata mechi haijaanza unajua tu hapa sitoboi😅
 
Ninalo 2019 nilicheza na mtanzania mwenzangu online nilimpiga magoli mpaka akanikimbia kenge yule alifikiri Mimi wakuja
Ila sio siri online gumu kichizi kuna mimtu inagada kule mpaka myengine kabla hata mechi haijaanza unajua tu hapa sitoboi
Vp kwenye upande wa data haili sn? Au nielekeze unahitaji mb kiasi gani per day ili kucheza hyo game online
 
Vp kwenye upande wa data haili sn? Au nielekeze unahitaji mb kiasi gani per day ili kucheza hyo game online
Haha hata usihofu haili mb hata ukiwa na mb 500 unacheza mpk unachoka..
Labda uwe tu na ma apps mengi yatakayokutafunia data zako!..
Ila jiandae Kuna watu wanagada huko😅
Utanipa mrejesho kikubwa uwe na network nzuri ndo itakuwa bomba..
 
Kama ndo wewe niliekufunga pole sana usirudie mule sio pa kuja ngalo Kama nyinyi.. tena nilifurahi nilipoona bendera ya tz nikasema hii kobe itajuta ninavyofungwa hivi lazima nilipishe kisasi
Ikala Kona hata mpira haujaisha
Mkuu nimepakua game ya pes lkn bado nashindwa ku install yn kule kwenye ppsspp halijatokea, naomba msaada mzee
 
Hyo dls ina ukubwa gn? Na je ipo offline au ni online tuu
Mkuu nikiangalia kwenye kitochi changu naona mb 885! Sasa hizi sijui na ukubwa wa matumizi!!!
Nachoelewa na uhakika lina mb 300 na kitu maana nakumbuka siku nalidownload lilikuwa na ukubwa huo..

Hili una play online na offline pia vile utakavyo tu..
Ila nilijua tayari unalo😜 Kama ndo process ya kulipakuwa ndugu unayo kazi kuzipita zile division kujenga uwanja kununua wachezaji kuwaongezea nguvu kazi unayo😅

Ukitaka mtelemko fatilia humu kuna namna ya kuli hack ukapata mikoin ya kutosha ila lipakuwe kwanza mengine yatafuata chukua dream league 2019...
 
Mkuu nikiangalia kwenye kitochi changu naona mb 885! Sasa hizi sijui na ukubwa wa matumizi!!!
Nachoelewa na uhakika lina mb 300 na kitu maana nakumbuka siku nalidownload lilikuwa na ukubwa huo..

Hili una play online na offline pia vile utakavyo tu..
Ila nilijua tayari unalo Kama ndo process ya kulipakuwa ndugu unayo kazi kuzipita zile division kujenga uwanja kununua wachezaji kuwaongezea nguvu kazi unayo

Ukitaka mtelemko fatilia humu kuna namna ya kuli hack ukapata mikoin ya kutosha ila lipakuwe kwanza mengine yatafuata chukua dream league 2019...
Dah hatimaye nimefanikiwa kuli install Pess mkuu, game tamu sn hili ila kuna settings fulani nahitaji mwenye nalo ili anihelp
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom